Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Uko vizuriiiiNipo[emoji137][emoji137][emoji137][emoji137]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko vizuriiiiNipo[emoji137][emoji137][emoji137][emoji137]
Sawa mkuuu haya mambo ya kawaida mbn povuuuKwa wizi huo wa mashuka na vitambaa siku ukija kufanikiwa maishani basi jua litakuwa linachomozea west na kuzamia east..
Chenge anaiba bil 1 wewe unaiba mashuka mawili..
Tibaijuka anatumia mil 10 za wizi kununulia mboga wewe unaiba sabuni gest...
Kama umeamua kuwa mwizi iba vitu vya maana kama magari , vamia benki (lkn usiue)
Kama huwezi bora usiwe mwizi uwe raia mwema tu kama watu wengine na sio kujidharirisha hivyo
Mm ipo hotel dodoma nilipitaga na ɓlanket mpaka naogopa kurud hiyo hotel labda watanikamata
We ni kibaka [emoji1] [emoji1] [emoji1]Niljifunika shuka la kimasai alaf nimebeba mgongoni kama mtoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule Mbunge wa viti maalum ccm anaitwa Mwanjelwa aliiba taulo lodge akadakwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkuu nitakutafuta unigaieee
[emoji23][emoji23][emoji23] muongo weweeeNiliɓeɓa mgongon kama mtt nikajifunika shuka la kimasai
Vile visabuni ni share yako halali siyo wiziMm huwa nachukua vile visabuni vyao