Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako


jini atakuwa anakujazia bidhaa pale dukani



Jini anajaza duka kiukwel kwel kabsa na au n visually tu kwamba zinaonekana ila haziwez kuuzika, hii imekaaje mkuu?
 
Mkuu kiimani ni watu wachache sanaa katika huu ulimwengu wenye uwezo wa kuzaliwa kama wako, hii ni karama adimu sana ambayo M/Mungu huwajaalia waja wake ili kujidhihirisha na wasioamini waamini ya kamba yupo na anatenda.
Si watu woote hupata bahati ya kupata ujumbe kupitia malaika kama ilivyo ww na ndo wengi wanateswa sanaa na wale waovu.
Aliyekuwa akipambana ni malaika wako kukuokoa maana ulikuwa kwenye mchakato wa kuingizwa kwenye kazi maalumu. Mshukuru Mungu mkuu kwa kipawa alichokujaalia watu aina yako hata wakifanya sala kwa ajili ya wengine hufanikiwa kwa haraka kupata majibu
 
Duh pole sanaa mkuu, ulimwengu wako wa kipato ushatawalia hapo.Kumpata si rahisi kihivyo kazana sana maombi kwa kufunga katika mjumuisho wa siku 7 au 21 kama unaimani haswa na Mungu amekupa karama utajibiwa ila ni lazima uachane na yoote amabayo ni chukizo kwa Mungu.
 
Sanaa sanaa mkuu me huwa nawaangalia wazee wa leo mtu ana mvi lakini unakuta ni masikini wa kutupwa mpaka huwa najiuliza hivi huyu miaka yoote alikuwa anafanya nini hapa dunianii!!! Kiukweli wengi wanawafanyia wengine kazi hapa duniani.
 
Ukiona tajiri au msanii anagawa pesa hovyo ogopa sanaa ogopa mnoo yaani kimbia haswaa. Hakuna bure hii dunia ya tatu aisee ogopa sanaa wagawa pesa iwe kwa kurusha ama kwa kugawa taratibu.
Kama wanania ya kusaidia watu si wakajenge vituo vya afya huko watu wapate huduma ya kudumu.
 
Mwalimu Christopher Mwakasege liked your post.
 
mkuu azima ndo jini lenyewe? hv linakuaje eti??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi
Hii ya kuitwa imenitokea juzi pia..
ni kawaida kwangu kuwa macho SAA saba mpaka saa kumi alfajiri..
sasa wakati usingizi unakuja nikasikia nimeitwa Mara ya kwanza nikajua ni wenge La usingizi..
Mara nikasikia Mara ya pili..nikaamua tu niendelee kucheza game mpaka palivyokucha
 
Tha.
Thanks huu ndo ukweli wenyewe.
 
Ina nitokea sana
 
Una matatizo yako wewe, hakuna uchawi hapo. Hizo ni stress, tafuta pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaya wako yuko kichwani kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soo kip wanakihiitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…