Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

kikwetu ilo jina Kiranga ua lnamaanisha mtu mwenye kiherehe mjuaji sana kumbe ajui ktu ndio mana kwel unaendana na hilo jina unaboa sana
Hujaeleza kwa mifano halisi, yenye mantiki na vigezo, vinavyoweza kuthibitishwa katika jukwaa la mpambano wa mawazo.

Kiranga ni kimbelembele, huko kwenye hajui kitu umezidishia wewe.

Jadili hoja, usihamanike kwa kelele tupu.
 
Ivi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Hiyo dawa ipo,,kuna kakiji anakupa muda unaongea na demu unaemta kinakuwa mdomoni ***** hata awe Hamisa Mobeto hachomoi unamgonga tuu,,huwa wanauza elfu tanoo,,ila sio hawa masai w Dar ni matapeli,,hicho kijiti kuna kabila wanaitwa NDOROBO wanapatikana Ngorongoro,Simanjiro,Kilindi ndo huwa wana hiyo dawa na ile dawa inatakiwa akukabidhi mwenyewe na akikupa itafanya kazi kwako tu na ile ni nzuri haina madhara tofauti na ile ya kiarabu wanayokupa unga wa kupaka usoni ile ukitumia utapata mademu ila hela hutokaa uwe upate na hata ukipata zinaisha hovyo
 
Umepitia mengi, halafu ina harufu fulani hivi ya kuvutia
 
Kwa tulio dar tunaipataje?
 
Kwa tulio dar tunaipataje?
Lazima usafiri mkuu,,ina masharti yake pia ukifika ukimwambia ina maana anavoenda kuichukua huko msituni anapoileta lazima akukabidhi mkono kwa mkono,,ikipita mkononmwingine kabla yakufika kwako haitafanya kazi,,,,,ila ukiwa nayo ile utagonga demu yeyote yulee hata awe mke wa kigogo wa serikali
 
Tatzo ni hizi dini na maisha tunayoishi ndio yanapoteza nguvu za asili ila kila mtu ana za asili... leo hizi dini ukiwa na nguvu za asili waambiwa ni ushetan, ni dhambi kufanya utabiri mara utaambiwa mapepo ukaombewe kumbe kwenye kuombewa ndio unaenda kuzipoteza hao wanakuombea wanazchukua bila ww kujijua...

binafsi kuna kpind nilikuwa na nguvu ya kuona matukio ya mbeleni kabla halijatokea ila lawama nilizokuwa napata nikuambiwa mchawi...baadae ujana nao ukaniharibu uzinzi pombe ile nguvu ikapotea kabisa... Hizi nguvu znahtaj sana kuwa mtu safi na kula vyakula vya asili
 
Hapa uliongea madini... ukiona mtu anajisemesha hakuna uchawi, hakuna uchawi unaoshindakana kwa yesu sijui sheik ujue bdo hajamalza stage za maisha... tena wengne hukohuko makanisan na kwa masheikhe ndio wanachukuliwa hadi nyota zao kabsa...!!! Hii dunia ina vitu vya ajabu mno

Nna mama yangu mkubwa alipwa kipapai akaugua ukichaa na mzee mmoja kisha mipaka ya viwanja hadi anakufa alikosa tiba watu walizunguka kila sehemu makanisa yote alimaliza, visomo vyote alisomewa kwa waganga ndio ucseme....!!! Hii dunia iacheni nyie alufu kuna mtu anataka kujaribu kurogwa daaah utoto kazi sana
 
Ok Mkuu
Tuanzie hapa,humu majukwani watu wanadai sana Uzinzi unamaliza nguvu ya mtu,kama wewe unavyodai. ...kuna agenda gani juu ya hii siri???

Na ni kivipi mkuu??
 
Ok Mkuu
Tuanzie hapa,humu majukwani watu wanadai sana Uzinzi unamaliza nguvu ya mtu,kama wewe unavyodai. ...kuna agenda gani juu ya hii siri???

Na ni kivipi mkuu??
Uzinzi unahusiana na mambo ya kiroho.... kuna watu tunalala nao wanalaana za maukoo yao yanaweza kukumaliza ndio maana kwa waislam ukimaliza ile shughuli unatakiwa ukaonge na kuna dua unasoma ile ni kama ritual tu wanafanya ili kujisafisha ambayo hata kiafrika kuna njia za kuoga nakujisafisha kuondoa hyo mikosi na mabalaa ambavyo havihitaji kwenda hata kwa mganga ni ww mwenyewi kuundaa...

Pili usipo jisafisha vzur maana yake unakuwa mchafu kijoho kwahyo kunakuwa na uwezekano mkubwa viumbe wanabaya kukuingia...

Tatu uzinzi ni dhambi so ukiwa na dhambi unakuwa weak kiroho
 
Oooh kumbee,Dunia ina siri nyingi sana.
Nashukuru Mkuu,

Vipi kuhusu vyakula vya asili vina mchango gani!?

Pia mkuu kuna baadhi ya watu wakiona mtu ana nguvu ya kibiashara au ya kiroho wana tabia za kuuuliza watu hao kuwa wana nyota gani?...

Jee kuna uwezekano kwa hao wanaouliza nyota ni wachawi?

Au kashindwa kumloga muhusika?

Kwa mfano X mambo yake yamenawiri,anamfuata Y na kumuuliza una nyota gani? mbona mambo yako yanaenda?

Nitashukuru Mkuu nikipata ufafanuzi.
 
Ivi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Dawa ni ya kizungu siyo ya kimasai, kama una pesa nione nikupeleke kwa mademu visu uchaguwe umle leoleo.
 
1 . Enzi hizo tunatoka zetu disco tisa usiku hiyo . Tupo watatu tunafika maeneo ya boma la zamani la mjerumani , ghafla mbele yetu tunaona kuna mtu mrefu sana anatembea kuelekea tunakoenda yaani sisi vichwa vyetu vipo usawa wa magoti yake , kumuangalia kwa chini miguuni ana kwato za ng'ombe yaani wote tulitimka balaa kugeuka tulipotoka mbio za kufa mtu . Kufika mbele tukakutana na babu mmoja kikongwe anatembea kashikilia fimbo tumechoka balaa maeneo ya TH hotel tukasimama , akatuuliza vipi wajukuu zangu tukamwambia tumeona mtu mrefu sana ametutisha miguuni ana kwato za ng'ombe , babu akatwambia kama hizi akatuonyesha miguuni kwake naye anakwato za ng'ombe miguuni tulikimbia balaa kurudi tulipotoka hoi bin taaban kufika mbele maeneo ya kanisa la Moravian tumechoka balaa tukakutana na bibi kizee sana akatuuliza vipi wajukuu zangu mnakimbia nini ? tukamwambia tumekutana na babu mmoja ana kwato za ng'ombe miguuni , bibi akatwambia kama hizi , yaani tulipoteana tulikutwa n'nje nyumbani hatujitambui , tukaingizwa ndani ndio ikiwa mwisho wa kwenda disco usiku , tulikuwa hoi sana , hivyo baada ya kueleza mkasa mzima waliitwa masheikh zikasomwa dua ndio watu kurudi hali ya kawaida , ngoma ndefu zinapotembea huwa zinaenda zinaacha moto nyuma yake cheche na moto mkali kama radi .
 
So hapo ndio umerogwa au
 
HAPO NI LUDEWA KISA KILIKUWA MKE WA MTU JAMAA AKAAMBIWA AKAMPANDISHIA MWENYE MKE ETI HAMUWEZI KUAMKA ASUBUHI HNA MIGUU MPAKA LEO ANATEMBELEA WHEEL CHAIR NA ILIWAHI KURIPOTIWA HUMU ITAFUTE SIYO HADITHI HATA WAPANGAJI WA NDICHELIWE GUEST WANAIJUA
 
JUMA NJEMBA HAKUWA MTU WA MCHEZO KUFURU ALIKUWA ANAIJUA ILA MUNGU NDIYE MKUU AKAMPUZISHA KWA AMANI HERI YAKO ULIYEMUONA NA KAZI ZAKE MIMI NILIKUWA NMSIKIA TU KWA WAHA TUNAPOKUWA BUFFET KWENYE TRAIN ENZI HIZO NATAMANI NINGEMUONA TABU NILIYO NAYO LEO INGEKWISHA JE HUNA MKALI KAMA HUYO UNI JULISHE IN BOX NANYANYASIKA TO THE MAXIMUM.
 
HUYO NI TAAHIRA HUMU HAKUNA ANAYETAKA KUKOPA FEDHA KWA MTU HIVYO TAARIFA KAMA HAIAMINI AMUULIZE JK NA MZEE SALIMU WAKATI WANAGOMBEA URAIS ALIYESHINDWA ALIAMBIWA TAYARI AMECHELEWA JK KESHAPEWA NCHI NA MZEE NJEMBA NAISHIA HAPO.
 
MKUU KAMA HUTAJALI HUYO BABU NAMUHITAJI TUWASILIANE IN BOX PLEASE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…