Hujaeleza kwa mifano halisi, yenye mantiki na vigezo, vinavyoweza kuthibitishwa katika jukwaa la mpambano wa mawazo.kikwetu ilo jina Kiranga ua lnamaanisha mtu mwenye kiherehe mjuaji sana kumbe ajui ktu ndio mana kwel unaendana na hilo jina unaboa sana
Hiyo dawa ipo,,kuna kakiji anakupa muda unaongea na demu unaemta kinakuwa mdomoni ***** hata awe Hamisa Mobeto hachomoi unamgonga tuu,,huwa wanauza elfu tanoo,,ila sio hawa masai w Dar ni matapeli,,hicho kijiti kuna kabila wanaitwa NDOROBO wanapatikana Ngorongoro,Simanjiro,Kilindi ndo huwa wana hiyo dawa na ile dawa inatakiwa akukabidhi mwenyewe na akikupa itafanya kazi kwako tu na ile ni nzuri haina madhara tofauti na ile ya kiarabu wanayokupa unga wa kupaka usoni ile ukitumia utapata mademu ila hela hutokaa uwe upate na hata ukipata zinaisha hovyoIvi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Umepitia mengi, halafu ina harufu fulani hivi ya kuvutiaHiyo dawa ipo,,kuna kakiji anakupa muda unaongea na demu unaemta kinakuwa mdomoni ***** hata awe Hamisa Mobeto hachomoi unamgonga tuu,,huwa wanauza elfu tanoo,,ila sio hawa masai w Dar ni matapeli,,hicho kijiti kuna kabila wanaitwa NDOROBO wanapatikana Ngorongoro,Simanjiro,Kilindi ndo huwa wana hiyo dawa na ile dawa inatakiwa akukabidhi mwenyewe na akikupa itafanya kazi kwako tu na ile ni nzuri haina madhara tofauti na ile ya kiarabu wanayokupa unga wa kupaka usoni ile ukitumia utapata mademu ila hela hutokaa uwe upate na hata ukipata zinaisha hovyo
Kwa tulio dar tunaipataje?Hiyo dawa ipo,,kuna kakiji anakupa muda unaongea na demu unaemta kinakuwa mdomoni ***** hata awe Hamisa Mobeto hachomoi unamgonga tuu,,huwa wanauza elfu tanoo,,ila sio hawa masai w Dar ni matapeli,,hicho kijiti kuna kabila wanaitwa NDOROBO wanapatikana Ngorongoro,Simanjiro,Kilindi ndo huwa wana hiyo dawa na ile dawa inatakiwa akukabidhi mwenyewe na akikupa itafanya kazi kwako tu na ile ni nzuri haina madhara tofauti na ile ya kiarabu wanayokupa unga wa kupaka usoni ile ukitumia utapata mademu ila hela hutokaa uwe upate na hata ukipata zinaisha hovyo
Lazima usafiri mkuu,,ina masharti yake pia ukifika ukimwambia ina maana anavoenda kuichukua huko msituni anapoileta lazima akukabidhi mkono kwa mkono,,ikipita mkononmwingine kabla yakufika kwako haitafanya kazi,,,,,ila ukiwa nayo ile utagonga demu yeyote yulee hata awe mke wa kigogo wa serikaliKwa tulio dar tunaipataje?
Tatzo ni hizi dini na maisha tunayoishi ndio yanapoteza nguvu za asili ila kila mtu ana za asili... leo hizi dini ukiwa na nguvu za asili waambiwa ni ushetan, ni dhambi kufanya utabiri mara utaambiwa mapepo ukaombewe kumbe kwenye kuombewa ndio unaenda kuzipoteza hao wanakuombea wanazchukua bila ww kujijua...Mama yangu mzazi na Bibi mzaa baba hawa watu nawaogopa sana..sio kwamba ni wachawi no ila Nadhani wana nguvu fulani hivi ya Asili (Psychic Power/Nature's power) kama umesoma mambo ya roho na akili utanielewa.
Mama angu akikuambia usifanye kitu kweli usifanye..ukifanya kitakachokupata shauri yako. Siku moja nilichukua pikipiki Akanikatalia rudiaha ndani mm nabisha nasema haiwezekani ipo ndani afu mimi sijui kuendesha, kakataa mimi nikangangana. Akanimbia endesha ila kitakachotokea utajiju.
Nikaitoa nikaiwasha pale pale pikipiki ilinirusha juu kidogo nivunje kichwa sijui hata niliponaje..nikarudisha ndani.
Nikiwa mdogo nilikua nachezea shoka Akanimbia acha kucheze shoka mm naendelea kuchezea shoka kama gari yaani haikupita dk 5 shoka ilinipiga kwenye ugoko hadi mfupa nikawa nauona..alinidunda kwanza ndio akanipa first id. Yapo mengi sana huyu mwanamke kayatenda naona.
Nilichogundua ni muoga sana kwetu wanawe hataki tufanye kitu cha hatari na ukifanya kama hajaruhusu moyo wake lazima yakukute mambo..Mwaka 2015 aliniambia siku nikinywa pombe kitakachonipata nitasimulia. Vijana tuna mambo mengi kwa dunia ya sasa mpaka sasa nishakunywa kama mara 4 na mara zote hizo hua naugua sana full kutapika hadi damu mapuani. Hapa nampango nimbembeleze avunje maneno yake haya maana maisha haya pombe kila mahali.
Wadogo zangu washateuka sana mikono kwa kutomsikiliza. Yaani ukimshirikisha kitu kama asipokubali kwa moyo mmoja hukitimizi ng'o. Sasa hofu zake zinatukosesha mengi.
Kwa bibi yangu yeye ni tofauti. Yeye akiwa anasononeka ajili yako ujue unalo.
Siku moja nikikua naenda sehemu fulani ila bibi akawa na na mikwaruzano na baba juu yangu. Akawa anasononeka ajili yangu, binafsi hakupenda niende hiyo sehemu.
Safar ilikua ya masaa 10 ila yaliyonikuta njiani sitasahau. Nilipata ajali mara tatu. Yaani unatoka ndani ya gari unawaza hapa tumepona vipi. Mara tatu nikibadirisha gari maana zilikua zinaharibika kabisa.
Ila ya mara ya tatu ndio ikawa bab kubwa maana tuligongana uso kwa uso, kidogo nivunjike miguu Niliumia vibaya sana miguu maana nilikua kwa dereva huko.
Nikamwambia baba kua nimepata ajali tuliyegongana nae kafariki. Baba ndio akajiongeza akamfuata bibi kumakalipia kua kama ikitokea nimekufa atanila nyama mbichi. Bibi kusikia hvo aliogopa maana ananipenda sana (nina jina la mumewe) So ilibidi aache kuwaza waza kuhusu mimi ili nifike salama.
Kuna watu wameumbwa na midomo mibaya akikusemea kitu lazima kikupate tu. Bahati mbaya hawa watu hua hawaelewi nguvu walizonazo wanasemea watoto zao mabaya tu.. laiti wangekua wanayatumia kunenea mafanikio ingekua vizuri sana.
Mkuu hawa walikuwa wanatafuta sadaka za kondoo humu ndani...mambo ya soko huria hayo ukijichanganya umeliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapa uliongea madini... ukiona mtu anajisemesha hakuna uchawi, hakuna uchawi unaoshindakana kwa yesu sijui sheik ujue bdo hajamalza stage za maisha... tena wengne hukohuko makanisan na kwa masheikhe ndio wanachukuliwa hadi nyota zao kabsa...!!! Hii dunia ina vitu vya ajabu mnoWatu wana vifungo vya nguvu za giza , watu wengi wanateseka na kuaribiwa maisha na nguvu za giza it’s not a small matter .
Twende mbele turudi nyuma , Tanzania kuna wachawi wa kutisha, Mabilionea wengi ndan na nje ya nchi wanakimbilia Kwa waganga kuchukua nguvu za kiroho /giza . Na mtu akishaingia kwneye nguvu za giza ni ngumu sana kupambana nae , ngumu sana Sijui uwe na nguvu za Mungu kias gani Ndo Uweze kujinasua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ok MkuuTatzo ni hizi dini na maisha tunayoishi ndio yanapoteza nguvu za asili ila kila mtu ana za asili... leo hizi dini ukiwa na nguvu za asili waambiwa ni ushetan, ni dhambi kufanya utabiri mara utaambiwa mapepo ukaombewe kumbe kwenye kuombewa ndio unaenda kuzipoteza hao wanakuombea wanazchukua bila ww kujijua...
binafsi kuna kpind nilikuwa na nguvu ya kuona matukio ya mbeleni kabla halijatokea ila lawama nilizokuwa napata nikuambiwa mchawi...baadae ujana nao ukaniharibu uzinzi pombe ile nguvu ikapotea kabisa... Hizi nguvu znahtaj sana kuwa mtu safi na kula vyakula vya asili
Uzinzi unahusiana na mambo ya kiroho.... kuna watu tunalala nao wanalaana za maukoo yao yanaweza kukumaliza ndio maana kwa waislam ukimaliza ile shughuli unatakiwa ukaonge na kuna dua unasoma ile ni kama ritual tu wanafanya ili kujisafisha ambayo hata kiafrika kuna njia za kuoga nakujisafisha kuondoa hyo mikosi na mabalaa ambavyo havihitaji kwenda hata kwa mganga ni ww mwenyewi kuundaa...Ok Mkuu
Tuanzie hapa,humu majukwani watu wanadai sana Uzinzi unamaliza nguvu ya mtu,kama wewe unavyodai. ...kuna agenda gani juu ya hii siri???
Na ni kivipi mkuu??
Oooh kumbee,Dunia ina siri nyingi sana.Uzinzi unahusiana na mambo ya kiroho.... kuna watu tunalala nao wanalaana za maukoo yao yanaweza kukumaliza ndio maana kwa waislam ukimaliza ile shughuli unatakiwa ukaonge na kuna dua unasoma ile ni kama ritual tu wanafanya ili kujisafisha ambayo hata kiafrika kuna njia za kuoga nakujisafisha kuondoa hyo mikosi na mabalaa ambavyo havihitaji kwenda hata kwa mganga ni ww mwenyewi kuundaa...
Pili usipo jisafisha vzur maana yake unakuwa mchafu kijoho kwahyo kunakuwa na uwezekano mkubwa viumbe wanabaya kukuingia...
Tatu uzinzi ni dhambi so ukiwa na dhambi unakuwa weak kiroho
Dawa ni ya kizungu siyo ya kimasai, kama una pesa nione nikupeleke kwa mademu visu uchaguwe umle leoleo.Ivi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Mara ghafla umeanza kazi ya ukuwadi.Dawa ni ya kizungu siyo ya kimasai, kama una pesa nione nikupeleke kwa mademu visu uchaguwe umle leoleo.
So hapo ndio umerogwa auMzee baba uko siriaz au unatania? maana hata mie nilikuwaga siamini mambo ya kusikia, Nakumbuka siku moja nipo chuo nakula msuli kimbweta jamaa alinifata akidai hajala tangu usiku wa siku moja kabla ya jana( nimekutana nae jumatano mchana halafu akasema hajala tangu alipokula usiku wa jumatatu), nikaona kama ananipanga tu nikampa buku 2 akasepa. Ila nilikuja kufulia kuna kipindi nikawa nakoroga uji tu geto nakunywa asubuhi afu navunga mpaka usiku tena, ilifikia kipindi nikawa tena sioni haja ya uji navunga tu tangu asubuhi mpaka usiku napiga maji tu ya dawasco, ndo nikajua hakuna jipya chini ya jua.
HAPO NI LUDEWA KISA KILIKUWA MKE WA MTU JAMAA AKAAMBIWA AKAMPANDISHIA MWENYE MKE ETI HAMUWEZI KUAMKA ASUBUHI HNA MIGUU MPAKA LEO ANATEMBELEA WHEEL CHAIR NA ILIWAHI KURIPOTIWA HUMU ITAFUTE SIYO HADITHI HATA WAPANGAJI WA NDICHELIWE GUEST WANAIJUAKijiji kimoja mkoa X, mzee mmoja alipowaona kuku wa jirani wanashambulia mahindi shambani mwake akaamua kuwatimua kwa kuwapiga na mawe.
Alipoamka asubuhi akajikuta mguu mmoja umetoka uko pembeni hakuna damu wala nini, akiwa katika taharuki nini afanye akalala tena kuamka kesho yake mguu wa pili pia umetoka uko pembeni.
Mpaka leo huyo jamaa yuko na ameshakuwa mzee haelewi nini kilimkuta anatumia wheel chair, uchawi upo.
JUMA NJEMBA HAKUWA MTU WA MCHEZO KUFURU ALIKUWA ANAIJUA ILA MUNGU NDIYE MKUU AKAMPUZISHA KWA AMANI HERI YAKO ULIYEMUONA NA KAZI ZAKE MIMI NILIKUWA NMSIKIA TU KWA WAHA TUNAPOKUWA BUFFET KWENYE TRAIN ENZI HIZO NATAMANI NINGEMUONA TABU NILIYO NAYO LEO INGEKWISHA JE HUNA MKALI KAMA HUYO UNI JULISHE IN BOX NANYANYASIKA TO THE MAXIMUM.dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.
ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.
Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.
Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.
Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.
Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.
lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama
picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo
Sent using Jamii Forums mobile app
HUYU AMELANIWA MUSA MWENYEWE ALILOGWA YE NAINI ASEME UCHAWI HAKUNA?kama huamini si bora ukae kimya we dada.
HUYO NI TAAHIRA HUMU HAKUNA ANAYETAKA KUKOPA FEDHA KWA MTU HIVYO TAARIFA KAMA HAIAMINI AMUULIZE JK NA MZEE SALIMU WAKATI WANAGOMBEA URAIS ALIYESHINDWA ALIAMBIWA TAYARI AMECHELEWA JK KESHAPEWA NCHI NA MZEE NJEMBA NAISHIA HAPO.Kijana sio Kila Kitu unataka uelezewe kadri ya uelewa wako...
Chukua Basi/Ndege au Treni nenda Hadi kigoma pale Ujiji ulizia Hilo jina ( Juma Njemba Njemba )... Halafu urudi hapa jukwaani... Ili Sasa ujithibitishie haya yaliyozungumzwa nenda ukaibe ujiji pale posta maeneo ya wakina Suleiman Matola ( Kocha msaidizi wa Simba)
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU KAMA HUTAJALI HUYO BABU NAMUHITAJI TUWASILIANE IN BOX PLEASENina visa vitatu kama ifuatavyo.
Utotoni nikiwa naupiga mwingi, nikajikuta katika shida ya goti kuuma kila ninapokuwa uwanjani, akili ya utoto ikaniambia, 'mpira bongo tena kijijini huku nani atakuona, achana na soka fanya vitu vingine'.
MUNGU si ng'wanamalundi, nikafaulu kuendelea na elimu sekondari huko nikawa kwenye kamati za uhamasishaji pamoja na ufundi kwenye ligi za ndani za shule pamoja na mashindano ya nje.
Kwenye shule yetu kulikuwa na mwamba anaupiga mwingi na ndo alikuwa mshika hirizi, maana yeye kwao ni waganga, tukiwa tunakabiliwa na fainali dhidi ya shule jirani, jamaa akaja asubuhi mazoezini akatuambia iko hatari ya kupoteza kama vipi ile kamati ya ufundi tufanye jitihada za maksudi kutetea taji.
Wanakamati tukaingia mzigoni, ikumbukwe mie nimeingia kwenye kamati kwa sababu ya uwezo wa kuhamasisha ila hizo ishu sijui a wala ba, tumehangaika mishe zinafeli, baadae mwana mmoja kwenye kamati akaja na wazo la kwenda kijiji cha tatu toka shule ilipo, maana kuele kuna babu ni mzuri wa hayo mambo.
Jioni ya siku ile tukaenda wana kama wanne hivi tumefika kwa mzee, tukamkuta tukayasema yetu, babu akatuingiza ofisini kwake, tuka kaa duara kuzunguka ungo babu akachukua punje kumi za mtama akampa kiongozi akazihesabu, akampa anayefata akazihesabu zikapita kwetu sote kila mtu akawa anazihesabu.
Tulivyomaliza, babu akaziweka zile punje kwenye ungo, halafu akawa kama anazipikichia kwenye ungo, ghafla kitu ikawaka full tv aisee kwa mara ya kwanza naona mpira kwenye ungo na ni mpira unaopigwa kesho. Ukapigwa hadi mwisho tukala tano, babu akaanza kufuta, mpqka likabaki goli moja, ikawa kila akijaribu kufuta, inatapakaa damu.
Mwisho babu akaamua kumsaka aliyeroga, mara akatokeza lakini ni chogo tu jitihada za kumgeuza yule mwamba tuone uso zikafeli, babu alichofanya akatupatia op
1. Tukubali kulala kwa lile 1
2. Tufute lile goli ila mtu afie uwanjani.
3. Tumpige sindano yule mwamba pale kwenye ungo na ieleweka kuwa ukichoma sindano kwenye picha ya jamaa hapo kwenye ungo ndo umeua.
Tukaona tabu yote ya nini wacha ikae, cha kushangaza siku ya game ilikuwa kama unaangalia marudio yaani kila tukio unaliona kama lilivyo.
KISHA CHA PILI
16.05.2008, tukiwa tumemaliza mock 4m4 tulipo kuwa tunaishi tulikuwa kama watu 50-60 kwa kuwa wengi walikuwa wanatoka maeneo jirani wana wakalaza mishale tukabaki watu kama saba hivi, jioni wenzetu wakaenda sokoni tukabaki watu wanne.
Shule yetu ilikuwa imejengwa kati ya kijiji na kijiji na hapo vijiji viko umbali wa 7-10 kufika shuleni na eneo lile tulikuwa na wanakijiji wacache sana waliojitenga huku wengine ikisemekana walifukuzwa toka vijiji vingine kwa sababu za ushirikina.
Jioni ile tukiwa ndani, tukasikia kelele toka kwa jamaa ambaye ni mwanafunzi mwenzetu ambaye pia tulikuwa naye ndani ila alitoka kwenda kujisaidia haja ndogo, jamaa kaingia anatweta, tukamuuliza, akasema kamuona mwamba mrefu anafikia nusu ya mkaratusi sasa tulipo kuwa tukiishi kulikuwa na miti ya mikaratusi, moyoni nikajisemea hapa ligi imeanza.
Nikatoa wazo, kwa wale ambao walikuwa hawajala wafanye fasta halafu tulale room moja, wakati tunafanya miamala ya msosi mara walio kuwa sokoni wakaja tukawaeleza mkasa mzima na mipango iliyopo wakakubaliana nasi,
Wakati wengine wanaendela kumalizia kunya miamala ile mwana mmoja akawa kabanwa na mkoja ikamlazimu kwenda nje, lile jengo lilikuwa na kolido lefu halafu kulia na kushoto ndo kuna vyumba ile jamaa anakaribia mrango wa kutokea akakutana na kajitu kafupi kanachungua, jamaa alifunguka huku akisindikiza na yowe, mpaka kwenye rum ambayo wana walikuwa wanakula, ugali ukakanyagwa wana wakawaza fasta wafungue mrango wa mbele tutoke tusepe, ile tunafungua mrango tukakutana na yule ngongoti tukarudi ndani ikawa ni fujo tu full kukanyagana.
Tunakuja kutulia tukashauriana kusepa kwenda kulala kwingine.
*KISA CHA MWISHO
Shule yetu ilikuwa karibu na eneo tulilokuwa tunaliita mtoni kwa kuwa kulikuwa na chemchemi na hapo ndo tulienda kuoga, kufua na kuchota maji ya kutumia, ilikuwa hukosi mtu kila jioni.
Siku moja nikaenda kufua, nilivyofika nikaendela na kilichonipeleka wakati nafua akaja dogo mmoja akachukua sabuni yangu nikamfata nikamnyang'anya, dogo akaenda analia baada ya muda kaja wameongozana na dada ake, walivyofika wakaniazishia tifu wakidai nimemnyanga dogo soap, nikawaeleza hawanielewi. Kumbe ishu ni kuwa dogo alikuja kufua akasahau soap sasa alivyofika akachukua yangu akijua ni yake. Nilivyokqza wakaondoka wakidai nitaona.
Siku hiyo nimepiga msuli hadi saa 4, ile nataka kulala usingizi hakuna nikaona nivute muda kufika saa 8 ndo nikahisi usngizi, nikatoka kujisaidia haja ndogo ile nageuka kurudi ndani, nikasikia kama kuna mtu anatembea batini kucheki sioni mtu, akili ikaniambia hapa tupo vitani.
Nikaingia ndani nikiwa na hofu si ya kawaida, nilivyofika ndani nikazima taa nikaanza kuhangaika kujunjua shuka na kama mjua vyo shuka linakunjuliwa kwa mikono na miguu ile miguu inakunjua kutafuta msawazo wa shuka nikashangaa rum yote imejaa mwanga kama taa za gari aisee nilitetemeka nikashusha miguu taratibu nikajikutanimepitiwa na usingizi nakuja kustukanasikia kelel kwa jamaa wa rum ya jirani, nani atoke full utulivuvwa woga.
Kesho yake asubuhi jamaa nasema alihisi kama anapapaswa awali alidhani ndoto ila baada ys kutuliza akili akanotce ni kweli kujaribu kujinua mikono akagusa kifua cha mwanamke yaani alihisi kama vile kashika matiti, hapo ndo akaachia ukunga.
Vipo vingi ila hivi ni baadhi tu.
Tusameheane tu ikiwa kutakuwa na shida ya maandishi
Sent using Jamii Forums mobile app