BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,346
Ukiuliza NDICHELIWE GUEST aliyekuwa RCO Iringa baadaye RPC Dodoma Omary Mganga aliwahi kukimbia nje na boxer kutokana na mauzauza aliyoyaona hapo Guest lakini ni hapo hapo guest ukitaka story za hilo tukio utazipata.Ndo tabia za wachawi, wachawi hawapati faida yoyote wao wanataka kuona mtu anateseka tu ndo furaha yao. Hicho kisa ni cha kweli na kimetokea Ludewa mkoa wa Njombe ukiweza ulizia wenyeji wa huko watakuambia na jamaa amekuwa tegemezi wa kupewa misaada tu, miaka ya nyuma 2000's hiki kisa kiliandikwa kwenye gazeti fulani, it's a true story.