Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

CCM Ni chama chankichawi kiroho!

Na vyama pinzani pia Kwa mujibu was wazee was chama,hao wazee ndio wenye chama.na walianzisha wao!!

Zipo dalili za ukombozi hapo mbele tutapata ccm takatifu inayojali maslahi ya watz na mwenyekiti wake atakua mcha mungu aliewekwa na mungu!!
 
Kigoma n balaa huko,tena kunasehem wanaita kibondo haaa uko ndio hatar zaidi
 
Kigoma n balaa huko,tena kunasehem wanaita kibondo haaa uko ndio hatar zaidi
Acha kutisha watu.
Wauza dagaa ndio mnadanganyana kuhusu uchawi.
Hebu muulize tajiri hapo kibondo km ameshawahi kuchezewa na hivyo vibwengo.
Unmaskini husababisha akili kutekwa na yyt mwenye ujanja kidogo.
Ndio maana mnauziwa majivu ya kuni mnaambiwa ni kinga.

Ovyo kabisa
 
Kwan kunasehemu umeitwa au kiranga?,kujifanya kujua kumbe hauna unachojua.
 
Ccm ni muunganiko wa vyama 13 vya kichawi nchi nzima.
Mwenge ndio zindiko lao na umasikini wetu ndio kafara lao.
Wazee wa Dar e salaam ndio wazee wenyewe wa kamati ya Giza.
Check walimu na polish pamoja na ugumu wa maisha huwaambii kitu kuhusu ccm.
 
Kwan kunasehemu umeitwa au kiranga?,kujifanya kujua kumbe hauna unachojua.
Kiranga maana yake ni nyodo nyingi.
Wanao ogopa uchawi ndio viranga. Waite hao wachawi wamsaidie mbowe kuwa Rais.
Sio kurogana kipumbavu tu.
Ukosa busara ni hasara kubwa kuliko kukosa mali.
We huna vyote.
Manake ni hatari kuliko cancer
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna kimbelembele mmoja kanishushua hapo juu sijui n muha wa kibondo,baada ya kusema kibondo n kiboko kwa washirikina
 
Kiranga maana yake ni nyodo nyingi.
Wanao ogopa uchawi ndio viranga. Waite hao wachawi wamsaidie mbowe kuwa Rais.
Sio kurogana kipumbavu tu.
Ukosa busara ni hasara kubwa kuliko kukosa mali.
We huna vyote.
Manake ni hatari kuliko cancer
We ungekuwa na busara ungebishana na asie kuwa na busara?ww ndio huna kitu kabisaaa kwendraaaa
 
🤣🤣 huu uzi umenikumbusha mbali
Nilienda kwa mama mdogo Arusha,
Kuna binti aliaminika ni mchawi sababu mama yake ni mchawi na binti alikua akishuhudia mama yake anataka kumfundisha yeye hataki.

Siku tumelala ndani na huyo binti (kila mtu na kitanda chake) usiku mnene nasikia maji yanamwagika chumbani kama bomba limeachwa wazi huku nje kuna kimbunga kikali mnoooo

AKili ikaja tu ni mama wa yule binti
Nililala bila kutikisika huku nikiomba kimoyo moyo Mungu anilinde 😂😂

Asubuhi tumeamka chumba chote kimejaa maji kama bwawa

Siku hiyo hiyo Beatrice alipewa nauli aende kwao sumbawanga
 
We ungekuwa na busara ungebishana na asie kuwa na busara?ww ndio huna kitu kabisaaa kwendraaaa
Andiko linasema "
Wacha kuleta hadithi za kisukuma hapa.
Sungusungu walikuwa wapumbavu flani wanaoneq kila mzee mwenye macho mekundu.
Wasukuma wengi wana imani za kijinga.
Hakuna binaadamu Ana uwezo wa kuleta mvua wala upepo.
Huu upumbavu wenu mmeua wazee wengi wasio na hatia. Mlitakiwa mkamatwe mnyongwe wote.

Mimi ni mkulima na mashamba mengi ya mpunga yanakauka kwa kukosa mvua. Leo kungekuwa na mchawi mmoja tu wa kuweza kuleta mvua Tanzania nzima ingemfahamu.

Nyie kiboko yenu alikuwa magufuli. Tupa ndani miaka 800 .
Nyanoko baghesha.
 
Nyie mmejenga nyumba kwenye sehemu inapita maji mtaacha kupata mafuriko?

Acheni imani za kijinga.
Km ni kweli mpeleke huyo binti pale Haidaru au makanya.
Kuna shida kubwa sana ya maji. Tuone huo uchawi wake.
Watanzania wengine ni hasara tu kwa taifa.
Mnamaliza oxygen bure tu.
Bora ya mbuzi .
 

Sawa mkuu.
 
Kuna kimbelembele mmoja kanishushua hapo juu sijui n muha wa kibondo,baada ya kusema kibondo n kiboko kwa washirikina
Washirikina wapo kila mahala.
Hapa tumeongelea WACHAWI na wewe na wenzako kudanganya umma kuwa wana uwezo wa kumdhuru mtu.

Hizo ni akili bange. Pigeni kazi acheni ujinga.
We kutokuwa na pesa sio kurogwa. Ni aisha uzembe wako au wakati wa Rizki yako haujafika . Na Mungu amekukadiria rizki unayostahili. Acheni imani za kijinga mtaathirika ubongo.
 
Matukio ya kichawi yaakuandamba kila unapotia mguu...

Angalia usije ukawa una mikoba mahala inakusubiria|

Mimi niliwahi kuona majii na mapepo live kabisa. Nahisi viumbe wengine wazuri niliowahi kuona walikuwa labda ni malaika
 
Matukio ya kichawi yaakuandamba kila unapotia mguu...

Angalia usije ukawa una mikoba mahala inakusubiria|

Mimi niliwahi kuona majii na mapepo live kabisa. Nahisi viumbe wengine wazuri niliowahi kuona walikuwa labda ni malaika
Wewe kudai umeona majini na mapepo huenda ulikuwa bange ya Tabora.
Manake ile sio mchezo .
Bora za mwanza sio kali.

Au kuna mboga flani ya majani sisi wasukuma tunaita "mazzumelo"
Ukiila unaanza kuona viumbe wa ajabu.
 
Wewe kudai umeona majini na mapepo huenda ulikuwa bange ya Tabora.
Manake ile sio mchezo .
Bora za mwanza sio kali.

Au kuna mboga flani ya majani sisi wasukuma tunaita "mazzumelo"
Ukiila unaanza kuona viumbe wa ajabu.
Safi mkuu
 
Sio unavyoamini ww basi waafrika waamini.
Na ndo maana dunia nzima matajiri wachache masikini wa kutosha.
Utajiri upo kwa waaminio tuu sio wasomi.
Na siku yakikukuta ndo utajua why kuna miungu mingine tofauti na hiyo waliyoileta hao jamaa watengeneza silaha zinazotumia na binaadamu kuua watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…