kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
Ukisoma kwa kutafuta makosa ya kiuandishi utapoteza maana na lengo la jambo unalolitaka.
Ni Makosa ya kiuandishi ambayo yamejitokeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna rangi hapo ni dawa za kishetani hizo mtu usiku anakuwa nyoka, mchana mtu wa kawaidaMkuu hujapaka rangi kidogo hapo,.?
maana natafuta mtu anakuaje nyoka nashndwa kupata jibu ila anywayz ndo mambo ya walimwengu.
Babe kwa Ile kaishi peke yako, mimi sitaki tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bei gani babe tuinunue nataka tuishi huko.
Hii pia nimesikiaa kunaa jamaaa angu aliangaikaga sana kutafuta kaz mjin arusha hapo mpk kupelekeaa kukonda na kuwa na wivu kwa baadhi ya washkaji ambao wamepata ajiraa sasa cku moja aliomba kazi shirika mojaa mkoaa wa jirani manyara aise cku ya interviews alitokeaa pekee ake tu wengine watano hakuna hata waliofika na kupigiwaa simu hawapatikana ..aisee leo hii huyo Ben yuko kazin na ameoa na kujenga kbsaa ss tuliotanguliaa kupata vibaruaa hakunaa tulichokifanya mpk sasa .nikimuonaga bab ake yule mwana natamani namm anifanyie mpngo kam alivyo mfanyiaa mwanaeHii niliambiwa na jamaa yangu na ilimtokea Dar miaka ya hivi karibuni.
Jamaa waliitwa kwenye interview ya driving! Wakapita, wakaitwa kwenye second interview ambayo ndio angepatikana dereva sasa!
Jamaa akawapoteza wenzie yaani siku ya interview kaenda alone, wenzie hawajaja! Jamaa akapata kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila na nyie huko kwenu watu wanga sana aisee😂😂Babe kwa Ile kaishi peke yako, mimi sitaki tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
I don't know man! Ninachojua anayenilinda ni Mungu. Au pengine alituombea dua kwa vizazi vyake.Kwa hiyo Babu yako ndio anayekulinda?
Au wewe ndio umerithishwa uwezo wake aliokuwa nao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni zaidi ya noma mzee. Kweli Kigoma mwisho wa reli. Na ndo maana Mwami Zitto Kabwe anajiamini sana.
Achana na tamaa jombaa huwezi jua mwisho wakeHii pia nimesikiaa kunaa jamaaa angu aliangaikaga sana kutafuta kaz mjin arusha hapo mpk kupelekeaa kukonda na kuwa na wivu kwa baadhi ya washkaji ambao wamepata ajiraa sasa cku moja aliomba kazi shirika mojaa mkoaa wa jirani manyara aise cku ya interviews alitokeaa pekee ake tu wengine watano hakuna hata waliofika na kupigiwaa simu hawapatikana ..aisee leo hii huyo Ben yuko kazin na ameoa na kujenga kbsaa ss tuliotanguliaa kupata vibaruaa hakunaa tulichokifanya mpk sasa .nikimuonaga bab ake yule mwana natamani namm anifanyie mpngo kam alivyo mfanyiaa mwanae
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kiranga embu njoo mara moja upande huu utoe ufafanuzi kidogoKaka uchawi upo ndugu. Mbona ni dhahiri tu. Kama unawasikiliza akina Kiranga ndugu utapotea. Huyo Kiranga mtoto wa kishua. Na kuna familia au watu Mungu kawajaalia hawajawahi kukutana na misukosuko ya kichawi asilani.