Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Zesh,
Mkuu hujapaka rangi kidogo hapo?
maana natafuta mtu anakuaje nyoka nashndwa kupata jibu ila anywayz ndo mambo ya walimwengu.
 
Hii niliambiwa na jamaa yangu na ilimtokea Dar miaka ya hivi karibuni.

Jamaa waliitwa kwenye interview ya driving! Wakapita, wakaitwa kwenye second interview ambayo ndio angepatikana dereva sasa!

Jamaa akawapoteza wenzie yaani siku ya interview kaenda alone, wenzie hawajaja! Jamaa akapata kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pia nimesikiaa kunaa jamaaa angu aliangaikaga sana kutafuta kaz mjin arusha hapo mpk kupelekeaa kukonda na kuwa na wivu kwa baadhi ya washkaji ambao wamepata ajiraa sasa cku moja aliomba kazi shirika mojaa mkoaa wa jirani manyara aise cku ya interviews alitokeaa pekee ake tu wengine watano hakuna hata waliofika na kupigiwaa simu hawapatikana ..aisee leo hii huyo Ben yuko kazin na ameoa na kujenga kbsaa ss tuliotanguliaa kupata vibaruaa hakunaa tulichokifanya mpk sasa .nikimuonaga bab ake yule mwana natamani namm anifanyie mpngo kam alivyo mfanyiaa mwanae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii pia nimesikiaa kunaa jamaaa angu aliangaikaga sana kutafuta kaz mjin arusha hapo mpk kupelekeaa kukonda na kuwa na wivu kwa baadhi ya washkaji ambao wamepata ajiraa sasa cku moja aliomba kazi shirika mojaa mkoaa wa jirani manyara aise cku ya interviews alitokeaa pekee ake tu wengine watano hakuna hata waliofika na kupigiwaa simu hawapatikana ..aisee leo hii huyo Ben yuko kazin na ameoa na kujenga kbsaa ss tuliotanguliaa kupata vibaruaa hakunaa tulichokifanya mpk sasa .nikimuonaga bab ake yule mwana natamani namm anifanyie mpngo kam alivyo mfanyiaa mwanae

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na tamaa jombaa huwezi jua mwisho wake
 
Kaka uchawi upo ndugu. Mbona ni dhahiri tu. Kama unawasikiliza akina Kiranga ndugu utapotea. Huyo Kiranga mtoto wa kishua. Na kuna familia au watu Mungu kawajaalia hawajawahi kukutana na misukosuko ya kichawi asilani.
Mkuu Kiranga embu njoo mara moja upande huu utoe ufafanuzi kidogo
 
Uchawi upo... Mimi Nina biashara yangu hapa dar mwaka wa 4 napata faida fresh nikajenga kigamboni na duka likakuwa nikawa nahitaji nafasi zaidi... Nikapata chumba nikaongeza store sasa kile chumba kuna mpangaji mwenzangu mtu wa musoma na yeye anakitaka ila mwenye nyumba akanipa Mimi Yule mpangaji alilalamika Sana kwamba nimependelewa Mimi eti nimempa rushwa mwenye nyumba.

Baada ya hapo basi nilipata hasara kutoka ml 40+ mpaka ml 7 msingi woote. Nikafanya dua kwa mashekh ule msingi ukarudi mpaka ml 19 ndani ya mwezi tuu ila baada ya hapo ikawa mwezi huu napata faida mwezi huu hasara mwezi mwengine sipati faida hata 100 mpaka leo hii sina maendeleo yoyote zaidi ya kupata pesa ya Kula tuu na msingi upo vilevile... Nilimuhadithia mwenye nyumba yaliyonikuta na akasema na yeye yamemkuta kama hyo yangu na anataka kumtimua Yule mpangaji maana ni mchawi.

Kimbembe akina kufukuzwa huyu mpangaji anaweza kuuwa mtu asieee.... Uchawa upo jamani Mimi mpaka leo nahangaika ila fiada inayeyukaa nabaki na pesa ya Kula tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom