Doooh! Kama unaamini hizi ishu basi chap katafute suluhisho.
nyoka hana tako
Umeniweka ignore list halafu hujaweza kuni ignore imebidi unijibu.Deal done unaboa kwakuwa na ujuaji wa kijinga Uzi unasema waliopatwa na Visa vya kishirikina we unachangia ujinga piga kimya mzee unajaza thread tuu bila maanaView attachment 1304837
Umeniweka ignore list halafu hujaweza kuni ignore imebidi unijibu.
What a kind of headless earthworm are you?
Sent using Jamii Forums mobile app
"Kurumbana" ndiyo nini?Mkuu haina haja ya kurumbana,hapa tunajadili kwa uzuri,pia sioni haja ya kulazimisha mtu aamini kile unachoamini wewe,
Sent using Jamii Forums mobile app
kua makini..jini ilo..ukichukulia poa linakuondoa. .take it serious..jiongeze
Kumbe uchawi mpaka wajue detail zako, na uchawi hauwezi kufanyika bila kua na hizo detailMkuu uchawi unakanuni kama ilivyo teknolojia ,mfano,computer unafanya kazi kwa ufanisi na haraka zaidi kuliko binadamu,lakini hawezi kufanywa kazi hizo bila kisababishi ambaye ndo binadamu ambaye lazima ajaze data ndo computer itoe taarifa,huwezi fika kwenye komputer ukasimama tu bila kuipa data then ikakupatia taarifa,hivyo hivyo na uchawi uko hivyo ili mtu akuloge lazima apate taarifa zako kwa usahihi ili ndo akuroge,taarifa hii imfikie Kiranga maana naye haamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Zito aliwai kuchimba mkwara kuwa atakayemgusa kwao hata panya hatabaki ha ha ha ha ha kigoma ni nomaHii ni zaidi ya noma mzee. Kweli Kigoma mwisho wa reli. Na ndo maana Mwami Zitto Kabwe anajiamini sana.
kwa mganga au kusali tena uwe na imani haswa.Mbali na kusali dawa gani ya kutoa jini?
huu nao ni UCHAWI wa ComputerUmeniweka ignore list halafu hujaweza kuni ignore imebidi unijibu.
What a kind of headless earthworm are you?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mzee yuko sawa hyo ngoma nshakutana nayo kwa sisi wachaga inaitwa koromike upande mmoja chuma mwngne nyamaMimi sikuwahi kushuhudia Mambo Kama hayo,huwa nasikia juzi Kati hapa Kuna mzee usiku alikua anahema Sana jasho likimtoka anasema kakutana na jitu jeusi lenye mikono mingi ya chuma
Mi haijaniingia akilini mi nahisi mzee alipatwa na hallunations tu au wenge
Of course sio zote but ziko chache ni genuine kama unamacho ya kupapasa.You tube wako kwa ajili ya kupata views. Ukiwa unaangalia video angalia channel ya muhusika ina husu nini kama ni entertainment au education purpose.
Wengi huwa wanasema kabisa kuwa sio kwelii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, kwahiyo hiyo ndo inafanya hadi ukodishe meno duh, kweli nyama ile tamuu[emoji3][emoji3][emoji3] Nyama ilivyo tamu hasa ya yule mnyama anayepigwa vita kila siku.