Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Naam mkuuNimepata tabu sana kukuelewa ili mwishoni ndio nimekulewa vyema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam mkuuNimepata tabu sana kukuelewa ili mwishoni ndio nimekulewa vyema.
Sio poa kabsa mkuu
Uchawi hauitaji details, uchawi unataka sababu tu mtu akipata sababu hata ya kukusababishia unakwenda na maji. Anaweza akaja kukuomba chumvi kile kitendo cha kumnyima tu ni sababu tosha, '' ''tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu''.Kumbe uchawi mpaka wajue detail zako, na uchawi hauwezi kufanyika bila kua na hizo detail
Kama haiwezekani kupata detail kwa kutumia uchawi, sasa mbona vijiweni kuna stori mingi kua waganga wanaagua bila wewe kusema chochote wewe hii unaizungumziaje? Kwako mwalim kashasha
It's Scars
Mmmmh akadhurika?Dah uchawi uacheni tu kuna mtu juzi kigoma kapigwa na "radi" yetu ile yenye kimvua cha kusulisuli huku akiwa anasima Biblia
Mkuu kama sio chai aisee ni balaaaNikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaHahahahMiaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
Hahaha
[emoji16][emoji16]
Nina kisa kimoja kilitokea Huko MWANZA nyegezi ndani ya Saut Kuna makabuli pale wakiristo wanazikana basi siku yenyewe ilikua jioni sasa akaibuka kiumbe mmoja binti anamanywere mengi basi Tuliokua pale chuoni kusikia hivyo wote mbio kumuona aliefufuka radio ya chuo ikawa inatangaza mtu kafufuka kilikua kimbembe cha hatari police walikuja wakauchukua wakampeleka Bugando wenyeji Kumbe walikua wanajua hadi kwao alikufa miaka kazaa badaa ya kumaliza shule hapo shule ya msingi nyamalango akaugua maralia kwa mjibu wa mama mzazi jina kama namkumbuka walikua wanamwita Maria gembe hakukaa Sana pale Bugando C1 akafa tena. Ngoja niishie Hapa
Me pia ninacho cha busisi ferry nikikaa sawa nitakimwagaNikikaa sawa nitaleta cha Mafia
Sasa huu ni uchawi au?si movie hivi vitu vipo mie nina jirani ambaye wamezaliwa mapacha yaani pacha wake macho yake ni mabaya akiangalia kitu basi hakitoenda sawa mfano unapika utachochea wee lakini hakiivi hadi umwambie kishika tu basi mambo yana kuwa sawa
Sent from my iPhone using JamiiForums