Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mkuu haina haja ya kurumbana,hapa tunajadili kwa uzuri,pia sioni haja ya kulazimisha mtu aamini kile unachoamini wewe,

Sent using Jamii Forums mobile app
"Kurumbana" ndiyo nini?

Wapi nimejadili kwa ubaya?

Wapi nimelazimisha mtu aamini kile ninachoamini mimi?

Ninachoamini mimi ni kipi?

Umejuaje hiki ndicho naamini mimi?

Umejuaje naweka umuhimu wowote kwenye kuamini?

Do not flatter yourself. I don't know you like that.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uchawi unakanuni kama ilivyo teknolojia ,mfano,computer unafanya kazi kwa ufanisi na haraka zaidi kuliko binadamu,lakini hawezi kufanywa kazi hizo bila kisababishi ambaye ndo binadamu ambaye lazima ajaze data ndo computer itoe taarifa,huwezi fika kwenye komputer ukasimama tu bila kuipa data then ikakupatia taarifa,hivyo hivyo na uchawi uko hivyo ili mtu akuloge lazima apate taarifa zako kwa usahihi ili ndo akuroge,taarifa hii imfikie Kiranga maana naye haamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe uchawi mpaka wajue detail zako, na uchawi hauwezi kufanyika bila kua na hizo detail

Kama haiwezekani kupata detail kwa kutumia uchawi, sasa mbona vijiweni kuna stori mingi kua waganga wanaagua bila wewe kusema chochote wewe hii unaizungumziaje? Kwako mwalim kashasha

It's Scars
 
Mkuu nikukatishe kidogo kwa manufaa ya wengi pia. SERIKALI INAAMINI UWEPO WA UCHAWI, ndio maana tuna sheria inayokataza uchawi, WITCH CRAFT ACT google utaipata ni ya tangu Mkoloni hadi leo inafanya kazi ni vile tu haizingatiwi sababu asilia ni ya mkoloni (nadhani nimeeleweka hapo)


VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
 
Mimi sikuwahi kushuhudia Mambo Kama hayo,huwa nasikia juzi Kati hapa Kuna mzee usiku alikua anahema Sana jasho likimtoka anasema kakutana na jitu jeusi lenye mikono mingi ya chuma
Mi haijaniingia akilini mi nahisi mzee alipatwa na hallunations tu au wenge
 
Kuna geto flan nlipanga mitaa ya njiro kule seminary aisee ilikuwa ni hatar maana mi kwa asili ganja napuliza sana sasa siku naamia pale mama mwenye nyumba alibadilika maana alivoniona tu tayar nimetoka kukichoma harufu shazi macho yente.

1. Picha linaanza usiku kuna panya anapita kila siku saa sita usiku na sifaham anakokwenda ila anapitia geti kwangu kwa ceiling board nkaona nipuuzie.

2. Nimelala siku hyo cjagusa ganja wala pombe full mzima kabsa kuamka asubuh kitanda kimegeuzwa aisee nililipua ganja hyo siku adi akaja niambia arufu imekuwa kali ana wagen home kwake ila ilikuwa sound. Nakila nkiwah na hela nkiamka asubuh nakuwa broke cna kitu.

3. Nimelala nimeamka asubuh mlango uko waz na niliufunga aisee ilikuwa ni kelele alaf maza house akawa anakaa nnje na kanga tu age kama 50+ yrs tako tako kweli hips kama zimechongwa alaf havai kitu kanga ndembe ndembe.

4. Usiku natoka club ndo nlimshuhudia live aisee wakat nakarbia getin nlisimama sehem nkakojoa ndipo nkaona mtu kaingia getin bla kufungua mlango na nlivogonga geti ili anifungulie ndo yy maaana nguo na koti aliovaa ndo ile ile na ndan alikuwa uchi kavaa dera tu alaf macho meupe mtu ambae hajalala.

5. Hii sasa ndo ilinifanya kesho yake nihame maana nlimuota namla kweny ndoto ghafla nkashtuka nkaskia kama mtu kakimbia chumban aisee sikulala tena kula ganja mbaya mbovu had asubuh alioniona anaangalia chin mara anikarbishe msosi mara anatak anisaiidie kufua.

6. Hatak wapangaji wa kike only boys ndo wanaqualify

Kuna mzee wa mtaani nlikuwa nampa hi na kumtania mambo ya mpira ndo aliniita akaniambia vp unaonaje kuna utofaut naupata nkamwambia "ndyo" akasema hama pale utamalizwa maana huyo maama anavosifiagi kuna kijana mpangaji wake anampenda kwel ana adab anakula maganja hatar na ni mstaarab nkajiongeza tu nkaona bob marley nko mwenyw asije akanibaka siku moja nkasepa zangu ila wachaw hatar sana wanaroho ngumu na chuki
 
Umeniweka ignore list halafu hujaweza kuni ignore imebidi unijibu.
What a kind of headless earthworm are you?
Sent using Jamii Forums mobile app
huu nao ni UCHAWI wa Computer
Mtu anakuweka Ignore lkn unarudi km Mzuka
itabidi anyamaze akuache uendelee tu hapa ni Moderator tu ndi mchawi anayeweza mfungia mtu kiOmputer
 
Mimi sikuwahi kushuhudia Mambo Kama hayo,huwa nasikia juzi Kati hapa Kuna mzee usiku alikua anahema Sana jasho likimtoka anasema kakutana na jitu jeusi lenye mikono mingi ya chuma
Mi haijaniingia akilini mi nahisi mzee alipatwa na hallunations tu au wenge
Huyo mzee yuko sawa hyo ngoma nshakutana nayo kwa sisi wachaga inaitwa koromike upande mmoja chuma mwngne nyama
 
Back
Top Bottom