Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako


Vitu gani vya ajabu vilivyotokea
 

Mmh
 
Mimi n mtu wa maombi sana,huwa wanakujaga wenzangu home tunapiga story then tunaanza ku praise ku worship kisha tunazama kwenye maombi,unajua mnapoomba zile kelele sasa Tuna shout sana.

siku moja nimelala usiku nikaota kuna bibi mmoja nyumba ya jirani alinifata usiku akaanza kunirushia mawe anipige,ila kila akirusha mawe kuna mkono ulikua mbele yangu unayazuia yale mawe,yule bibi akawa anawambia wafuasi wake pigeni mawe huyo

amezoea kutupigia makelele usiku na wenzake,walirusha mawe sana mwisho wakasema na kesho tutakuja tena leo ni trela tu,hapo kumbuka nilikua ndotoni.

Palipokucha asubuhi nilikuta chumbani kumejaa mawe vipande vya matofali mawe ya kila aina,sikuamini macho yangu nilihisi naota,maana ni vingi vingi vingi.

Basi nikavikusanya nikaenda vitupa nnje,mchana umefika nikawa nataka kugongelea msumari mahali,nyundo sina nikasema asubuhi nilitupa mawe ngoja nikachukue kipande kimoja nije kugongea,kwenda pale nilitupa yale mawe Sijakuta hata kipande cha mchanga.
 
[emoji117]Kwakuwa ule mto haukuwa na maji...

unauitaje mto ilihali hauna maji, ama ulikuwa unamaanisha bonde?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sitosahau niliwahi kukutana na mshkj 2013 kipindi iko ni mlevi mno wa pombe ilikuwa pub flan X maeneo ya Sinza. Mimi ni Me ila kiukwl yule mshkj alikuwa complete HB ase af anaswaga mwanzo I thought ni celebrity ule mvuto wake. Unajua tn ushkj wa hapa na pale redbull akaniambia amenikubali nipo mwana ila kanihusia niache pombe. Sitokuja kusahau nilimuona yule mshkj ana apper sehemu tatu kwa wakati mmoja nilihis ni pombe hapna the shit was real. Yan hivi nilimuacha meza ya caunter, nikielekea toilets nilipishana nae akitoka yeye yey, sikuingia toilets kwa hofu nilikimbilia nje ya bar kweny packing huwezi amini nilimkuta kwenye packing wakati alielekea caunter kwa akili za pombe nilikimbilia caunter nihakikishe ivi kweli sikumkuta na chakustajabisha nilimuuliza muhudumu wa caunter akaniambia kaka kalale ilikuwa uko mwenyew apa unaongea hukuwa na mtu..aisee pombe zilikata nilipigwa na kitu kama shoti nilianza kutapika kufika home nahofu niliumwa wiki nzima hoii. Na ndio mwisho wangu wa pombe ile siku. Miujiza ipooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema ilijuaje kuwa hao ni ndio bundi wenyewe ilihali hukuwahi kuwaona kabla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndo funga kazi. Aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekuelewa, basi tuachue huu uzi wetu sisi..walau tupate cha kujifunza, akili za kuambiwa changanya na zako mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee...[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sad[emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo bado unaishi hapo hapo kwenu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo hata hamkuuliwa??[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…