Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Walikuwa wanatwanga nyama za usiku huo ili zinoge vizuri ili siziwabughudhi wakati wa kula[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda ukiwa mzima!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupiga mtungi na kuvuta bangi inaonesha bado unauoga na hofu moyoni. Nenda ukiwa haujatumia hivyo vitu sababu ukiona halafu ukatoka nduki ukaenda kuwasimuliwa watu watakuona bangi na pombe ndizo zinakuchanganya. Hapo utakuwa umefuta ushahidi wote. Nenda ukiwa mzima. Uvute bangi na umelewa halafu uje uniambie umeona mchawi makaburini siwezi kukuelewa.
 
Kupiga mtungi na kuvuta bangi inaonesha bado unauoga na hofu moyoni. Nenda ukiwa haujatumia hivyo vitu sababu ukiona halafu ukatoka nduki ukaenda kuwasimuliwa watu watakuona bangi na pombe ndizo zinakuchanganya. Hapo utakuwa umefuta ushahidi wote. Nenda ukiwa mzima. Uvute bangi na umelewa halafu uje uniambie umeona mchawi makaburini siwezi kukuelewa.
 
Duhh, maninaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana hawaendelei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemkumbuka mwanangu pengo o level mkoa flan aliwahi kumuibia mzee mmoja iv km ustadh mwanangu pengo alikuwa kipofu yan haoni ndan ya week nzima huezi amini hospital walishindwa kujua tatizo, pongezi ticha mitomingi aka alijiongeza tukampeleka mwanetu kwa mtaalamu yai, nazi, sindano ndio vitu vilivyomfanya mwanangu aone tena ndan ya dk40. Tokea siku iyo nikiskia mtu ananiambia ntakuonyesha wew huwa nakuwa km piriton.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahah kuna watu waniona kama chizi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣 🤣 🤣 🤣🤣Hapo walizimia na bastola zao..
 
Mkuu shikamoo[emoji44]..heshima kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umesahau na maandaz hapa[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ....dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasimulia dereva wa Fuso Jangwani.

Hiyo siku wamekaa maskani kama kawaida wakisubiri wateja, haukupita muda akaja mzee wa kiarabu hivi(mburushi).

Mzee akaulizia huduma ya kupelekewa mizigo yake wanapopandia boti za kwenda Mafia, wapo waliomkatalia, akajitokeza kidume, akamwambia mzee twende. Akamwambia kuna vity vyangu nimenunua vingi viko Kariakoo, twende tuvipitie, swala la muda lisikupe tabu, nitakulipa kijana.

Huyu alikuwa ni mzee wa makamo kidogo, basi jamaa mpaka Kkoo, wakapakia safari ikaanza. Kufika pa kupandia boti, mzee akamwambia dereva sasa kijana wangu naomba unielewe hili, naomba twende nyumbani tuvuke pamoja nikakupe pesa yako, swala la muda wa kukuweka huku isikupe tabu. Dereva keshayavulia tena ikabidi akubali tu, safari ikaanza. Wamekwenda, boti ikafika pahala ni kwenye maji bado, yule mzee akamwambia muendeshaji kuwa simamisha hapo mi nimefika.

Kila mtu mle ndani haamin mzee anachokisema, mzee akawaambia simamisha, kweli nahodha wa chombo akatii, mzee akakuta wameshamsubiri tayari vijana wake, wakaanza kupakua mzigo ukaisha boti ikaendelea na safari. Sasa yule dereva akaamua kuwa mpole tu, akaambiwa na yule mzee kwa ukarimu kabisa, usiogope kijana karibu nyumbani, yule jomba akashukuru, wakaingia ndani, kwanza aliposhuka toka chomboni akaona bonge moja la mji, hajawahi fikiria kuliona. Kakirimiwa vizuri, akaambiwa ukitaka kuoa, njoo tu huku nina mabinti zangu hawajaolewa usiogope. Jamaa akapewa pesa yake akapelekwa pale pale aliposhukia akapandishwa chomboni mpaka ng'ambo. Baada ya tukio lile yule jomba hata umwambie nina mzigo nipelekee Temeke, humpeleki.
 
Hahahaaha kubaababke hata mimi sipeleki hata Buza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…