Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kwan ni lazima uchawi na sayansi vifanane? Unataka ulazimishe uchawi uthibitishwe ki sayansi wakati sayansi huwez kuithibitisha kichawi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
That is as vague as it is meaningless.

Sent using Jamii Forums mobile app
Arrogant Atheist sio?
Hivi serious unaamini sayansi inauwezo wa kuelezea kila tukio linatokea ulimwenguni?
Kundi kubwa la watu kwenye huu uzi bro wanashuhudia walioyaona au waliosikia,Je wote wanaweza vipi wakawa wazushi?

Ume suggest methodology yako ya kuthibitisha uchawi upo kea kutaka watu wakuroge......tunaweza vipi kumfanyia Experiment Lab rat asiyeonekana?

Sayansi Ina inherent flaw,FYI Sayansi imejengwa katika assumption moja kuu.... All things are material
Najua unajua nini maana ya Assumption...

Sasa why ubishane na kila mtu Wakati hata unachokiamini still kime base katika assumption?

UKwanini ujitese? Unaweza amini uchawi still ukawa Atheist..Coz sio kila kitu kilicho nje ya scope ya sayansi Basi ni porojo na uzushi
Katika sayansi ya Isaac Newton...time dilation ilikua nje ya scope coz haikuingia akilini time interval kutofautiana katika ulimwengu Mmoja ,Je time dilation ni uzushi Leo?

Amini uchawi upo.....
 
We pimbi huto tukingereza tumekufanya umekua mjinga zaidi kila sentensi mbili Nye Nye Nye basi unajiona msomi wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Usiniwekee maneno.

Sijawahi kusema sayansi ina uwezo wa kuelezea kila tukio linalotokea ulimwenguni.

Dhana yenyewe ya "kila tukio linalotokea ulimwenguni" si ya kisayansi.

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka miaka flani maeneo ya Pale kunduchi mtongani kuliku na mzee flani anaitwa x alikuwa anafuga mbuzi basi siku moja mbuzi wake alipotea maeneo ya benaco kule akaanza kulia kwa kuliita jina la yule mzee x mpk wananchi wanampeleka kwa yule mzee
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ko apa mtu anaamin kabisa uchawi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nakumbuka miaka flani maeneo ya Pale kunduchi mtongani kuliku na mzee flani anaitwa x alikuwa anafuga mbuzi basi siku moja mbuzi wake alipotea maeneo ya benaco kule akaanza kulia kwa kuliita jina la yule mzee x mpk wananchi wanampeleka kwa yule mzee
hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua zamani wakati wachaga bado walikua wanashika dini. Wale wa Magomeni mwembe chai unewaona siku hizi?
 
Kaka uchawi upo ndugu. Mbona ni dhahiri tu. Kama unawasikiliza akina Kiranga ndugu utapotea. Huyo Kiranga mtoto wa kishua. Na kuna familia au watu Mungu kawajaalia hawajawahi kukutana na misukosuko ya kichawi asilani.
Kweli,,
 
Hii story huwa inahamishwa tu maeneo,, maana mara ya kwanza kusikia nilihadithiwa kuwa ilikua ni ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha ukara Ila hapa naona aliekuhadithia sababu alikua dar aka twist mazingira ili kuonekana kuna uhslisia lakini kiukweli hii story ni KAMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story huwa inahamishwa tu maeneo,, maana mara ya kwanza kusikia nilihadithiwa kuwa ilikua ni ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha ukara Ila hapa naona aliekuhadithia sababu alikua dar aka twist mazingira ili kuonekana kuna uhslisia lakini kiukweli hii story ni KAMBA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alifanyiziwa?? Sio yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…