Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kwan ni lazima uchawi na sayansi vifanane? Unataka ulazimishe uchawi uthibitishwe ki sayansi wakati sayansi huwez kuithibitisha kichawi?
Sasa wewe unanijibu swali kwa swali halafu hapo hapo unanisema nina maswali?

Sayansi imethibitishwa kwa mantiki isiyokanushika katika majaribio yanayoweza kurudiwa na wengine kwa uthibitisho zaidi.

Wewe uchawi unauthibitishaje huu ni uchawi na si kitu kingine usichokijua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That is as vague as it is meaningless.

Sent using Jamii Forums mobile app
Arrogant Atheist sio?
Hivi serious unaamini sayansi inauwezo wa kuelezea kila tukio linatokea ulimwenguni?
Kundi kubwa la watu kwenye huu uzi bro wanashuhudia walioyaona au waliosikia,Je wote wanaweza vipi wakawa wazushi?

Ume suggest methodology yako ya kuthibitisha uchawi upo kea kutaka watu wakuroge......tunaweza vipi kumfanyia Experiment Lab rat asiyeonekana?

Sayansi Ina inherent flaw,FYI Sayansi imejengwa katika assumption moja kuu.... All things are material
Najua unajua nini maana ya Assumption...

Sasa why ubishane na kila mtu Wakati hata unachokiamini still kime base katika assumption?

UKwanini ujitese? Unaweza amini uchawi still ukawa Atheist..Coz sio kila kitu kilicho nje ya scope ya sayansi Basi ni porojo na uzushi
Katika sayansi ya Isaac Newton...time dilation ilikua nje ya scope coz haikuingia akilini time interval kutofautiana katika ulimwengu Mmoja ,Je time dilation ni uzushi Leo?

Amini uchawi upo.....
 
We pimbi huto tukingereza tumekufanya umekua mjinga zaidi kila sentensi mbili Nye Nye Nye basi unajiona msomi wa dunia
"Kurumbana" ndiyo nini?

Wapi nimejadili kwa ubaya?

Wapi nimelazimisha mtu aamini kile ninachoamini mimi?

Ninachoamini mimi ni kipi?

Umejuaje hiki ndicho naamini mimi?

Umejuaje naweka umuhimu wowote kwenye kuamini?

Do not flatter yourself. I don't know you like that.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arrogant Atheist sio?
Hivi serious unaamini sayansi inauwezo wa kuelezea kila tukio linatokea ulimwenguni?
Kundi kubwa la watu kwenye huu uzi bro wanashuhudia walioyaona au waliosikia,Je wote wanaweza vipi wakawa wazushi?

Ume suggest methodology yako ya kuthibitisha uchawi upo kea kutaka watu wakuroge......tunaweza vipi kumfanyia Experiment Lab rat asiyeonekana?

Sayansi Ina inherent flaw,FYI Sayansi imejengwa katika assumption moja kuu.... All things are material
Najua unajua nini maana ya Assumption...

Sasa why ubishane na kila mtu Wakati hata unachokiamini still kime base katika assumption?

UKwanini ujitese? Unaweza amini uchawi still ukawa Atheist..Coz sio kila kitu kilicho nje ya scope ya sayansi Basi ni porojo na uzushi
Katika sayansi ya Isaac Newton...time dilation ilikua nje ya scope coz haikuingia akilini time interval kutofautiana katika ulimwengu Mmoja ,Je time dilation ni uzushi Leo?

Amini uchawi upo.....
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Usiniwekee maneno.

Sijawahi kusema sayansi ina uwezo wa kuelezea kila tukio linalotokea ulimwenguni.

Dhana yenyewe ya "kila tukio linalotokea ulimwenguni" si ya kisayansi.

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna geto flan nlipanga mitaa ya njiro kule seminary aisee ilikuwa ni hatar maana mi kwa asili ganja napuliza sana sasa siku naamia pale mama mwenye nyumba alibadilika maana alivoniona tu tayar nimetoka kukichoma harufu shazi macho yente.

1. Picha linaanza usiku kuna panya anapita kila siku saa sita usiku na sifaham anakokwenda ila anapitia geti kwangu kwa ceiling board nkaona nipuuzie.

2. Nimelala siku hyo cjagusa ganja wala pombe full mzima kabsa kuamka asubuh kitanda kimegeuzwa aisee nililipua ganja hyo siku adi akaja niambia arufu imekuwa kali ana wagen home kwake ila ilikuwa sound. Nakila nkiwah na hela nkiamka asubuh nakuwa broke cna kitu.

3. Nimelala nimeamka asubuh mlango uko waz na niliufunga aisee ilikuwa ni kelele alaf maza house akawa anakaa nnje na kanga tu age kama 50+ yrs tako tako kweli hips kama zimechongwa alaf havai kitu kanga ndembe ndembe.

4. Usiku natoka club ndo nlimshuhudia live aisee wakat nakarbia getin nlisimama sehem nkakojoa ndipo nkaona mtu kaingia getin bla kufungua mlango na nlivogonga geti ili anifungulie ndo yy maaana nguo na koti aliovaa ndo ile ile na ndan alikuwa uchi kavaa dera tu alaf macho meupe mtu ambae hajalala.

5. Hii sasa ndo ilinifanya kesho yake nihame maana nlimuota namla kweny ndoto ghafla nkashtuka nkaskia kama mtu kakimbia chumban aisee sikulala tena kula ganja mbaya mbovu had asubuh alioniona anaangalia chin mara anikarbishe msosi mara anatak anisaiidie kufua.

6. Hatak wapangaji wa kike only boys ndo wanaqualify

Kuna mzee wa mtaani nlikuwa nampa hi na kumtania mambo ya mpira ndo aliniita akaniambia vp unaonaje kuna utofaut naupata nkamwambia "ndyo" akasema hama pale utamalizwa maana huyo maama anavosifiagi kuna kijana mpangaji wake anampenda kwel ana adab anakula maganja hatar na ni mstaarab nkajiongeza tu nkaona bob marley nko mwenyw asije akanibaka siku moja nkasepa zangu ila wachaw hatar sana wanaroho ngumu na chuki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ko apa mtu anaamin kabisa uchawi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nakumbuka miaka flani maeneo ya Pale kunduchi mtongani kuliku na mzee flani anaitwa x alikuwa anafuga mbuzi basi siku moja mbuzi wake alipotea maeneo ya benaco kule akaanza kulia kwa kuliita jina la yule mzee x mpk wananchi wanampeleka kwa yule mzee
hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao mbuzi wanaojichunga huwa wabaya sana, usiwaguse, mbuzi anafunguliwa kwenye banda tu anajua mwenyewe pa kwenda, mbuzi kabla hajavuka barabara kwanza anageuka kulia na kushoto, ukiwaona waache!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua zamani wakati wachaga bado walikua wanashika dini. Wale wa Magomeni mwembe chai unewaona siku hizi?
 
Kaka uchawi upo ndugu. Mbona ni dhahiri tu. Kama unawasikiliza akina Kiranga ndugu utapotea. Huyo Kiranga mtoto wa kishua. Na kuna familia au watu Mungu kawajaalia hawajawahi kukutana na misukosuko ya kichawi asilani.
Kweli,,
 
Hii story huwa inahamishwa tu maeneo,, maana mara ya kwanza kusikia nilihadithiwa kuwa ilikua ni ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha ukara Ila hapa naona aliekuhadithia sababu alikua dar aka twist mazingira ili kuonekana kuna uhslisia lakini kiukweli hii story ni KAMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasimulia dereva wa Fuso Jangwani.

Hiyo siku wamekaa maskani kama kawaida wakisubiri wateja, haukupita muda akaja mzee wa kiarabu hivi(mburushi).

Mzee akaulizia huduma ya kupelekewa mizigo yake wanapopandia boti za kwenda Mafia, wapo waliomkatalia, akajitokeza kidume, akamwambia mzee twende. Akamwambia kuna vity vyangu nimenunua vingi viko Kariakoo, twende tuvipitie, swala la muda lisikupe tabu, nitakulipa kijana.

Huyu alikuwa ni mzee wa makamo kidogo, basi jamaa mpaka Kkoo, wakapakia safari ikaanza. Kufika pa kupandia boti, mzee akamwambia dereva sasa kijana wangu naomba unielewe hili, naomba twende nyumbani tuvuke pamoja nikakupe pesa yako, swala la muda wa kukuweka huku isikupe tabu. Dereva keshayavulia tena ikabidi akubali tu, safari ikaanza. Wamekwenda, boti ikafika pahala ni kwenye maji bado, yule mzee akamwambia muendeshaji kuwa simamisha hapo mi nimefika.

Kila mtu mle ndani haamin mzee anachokisema, mzee akawaambia simamisha, kweli nahodha wa chombo akatii, mzee akakuta wameshamsubiri tayari vijana wake, wakaanza kupakua mzigo ukaisha boti ikaendelea na safari. Sasa yule dereva akaamua kuwa mpole tu, akaambiwa na yule mzee kwa ukarimu kabisa, usiogope kijana karibu nyumbani, yule jomba akashukuru, wakaingia ndani, kwanza aliposhuka toka chomboni akaona bonge moja la mji, hajawahi fikiria kuliona. Kakirimiwa vizuri, akaambiwa ukitaka kuoa, njoo tu huku nina mabinti zangu hawajaolewa usiogope. Jamaa akapewa pesa yake akapelekwa pale pale aliposhukia akapandishwa chomboni mpaka ng'ambo. Baada ya tukio lile yule jomba hata umwambie nina mzigo nipelekee Temeke, humpeleki.
Hii story huwa inahamishwa tu maeneo,, maana mara ya kwanza kusikia nilihadithiwa kuwa ilikua ni ziwa Victoria kuelekea kisiwa cha ukara Ila hapa naona aliekuhadithia sababu alikua dar aka twist mazingira ili kuonekana kuna uhslisia lakini kiukweli hii story ni KAMBA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alifanyiziwa?? Sio yeye
 
Back
Top Bottom