Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kiranga mbona kama umechanganyikiwa ndugu?

Nilichokueleza kipo wazi na kinaeleweka kwa kila mtu na kama wewe haujaelewa basi una matatizo yako binafsi.

Unataka nirudie kukuelezea ili ubishani uwe mkubwa zaidi?
na unasema nisiporudia kukuelezea nitakuwa sijui, maana yako nisipobishana na wewe nitakuwa sijui,

Narudia kusema, soma Post yangu ya kwanza kwenye huu uzi, post uliyo ni quote na utaelewa nilichomaanisha, na pia siwezi kurudia kukuelezea sababu naona unataka tubishane zaidi na mimi, ila mimi sina huo mda wa kubishana.

Swali la kizushi kwako Kiranga:
Inawezekana wewe ni mmoja wa owner wa JF hivyo ubishani wako unafanya uwe na hoja zisizoisha kimkakati ili JF iendelee kuwa na viewer wengi?

Nimeongea hivyo sababu nimejaribu kusoma kila hoja zako kwenye nyuzi tulizowai kukutana ila nimeona mara nyingi hoja zako ni za kufikirika, au ni wewe una matatizo binafsi kwa kuzani humu JF hamna mtu mwenye uwezo zaidi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalazimisha nitaelewa wakati sijaona ulipojibu swali na nimekutaka ujibu?

Wewe upo kichwani mwangu sasa?

Huu uvivu gani wa kujadili mambo kiasi ushindwe kufafanua maandishi yako mwenyewe?

Wewe ni mpumbavu au una hila tu?

Naona ushashindwa mjadala unaleta ujinga na uzushi wa kishenzi usio na kichwa wala mguu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale ambao hawaombi,ni wazinzi na bado wanafanikiwa huwa ni nani anawafanikisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani pia anasaidia wafuasi wake ili motoni asiwe mpweke. Kama unaona wamefanikiwa tafuta siri ya mafaniko yao ndo utajua wamefanikiwa au wamefarikiwa. Uzuri wa gari sio rangi ni injini sasa wewe unatazama rangi, fungua injini zao uon uozo.
 
Wale ambao hawaombi,ni wazinzi na bado wanafanikiwa huwa ni nani anawafanikisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani pia anasaidia wafuasi wake ili motoni asiwe mpweke. Kama unaona wamefanikiwa tafuta siri ya mafaniko yao ndo utajua wamefanikiwa au wamefarikiwa. Uzuri wa gari sio rangi ni injini sasa wewe unatazama rangi, fungua injini zao uon uozo.
Bora na wachungaji mmekuja kwenye huu uzi, sasa Uzi umekuwa na kila aina ya watu, safi sana
 
ATTENTION!
ukiona mtu anacomment kupinga uchawi haupo huyo ndo mchawi analinda community yake. Pia niwakumbushe tu kuomba Mungu maana ye ndo mlinzi achaneni na mahirizi sijui chale, mara uende mganga akwambie dawa ataiweka sehemu zako za siri kwa kutumia sehemu zake za siri, shida zote za nini, Omba Mungu Sali sana. UNAPOOMBA MUNGU ACHA YAFUATAYO KWANZA; UZINZI, KULALA NA WAKE AU WAUME ZA WATU, WIVU,TAMAA,MAJUNGU , UMBEA. maana kuna watu wanaomba hawafanikiwi kumbe wanachoomba na wanachofanya haviendani.
Bora hujataja bangi kwenye hiyo list ya vitu vya kuacha.

I moved your cheese!
 
Nimekumbuka hiki kisa,

Mbeya mjini nilikutana na kisanga cha kubebeshwa mkojo na wazee wanacheza drafti, bao na kunywa kahawa,
Unakuta wanacheza wewe unaenda shangaa pale (mimi nilikua nasubiri coaster za usiku za dar) nimeshangaa wee baada ya dk 20 hivi nkabanwa mkojo nkarudi kwa mwenyeji nkamuomba anielekeze pa kujisaidia, nimerudi kujisaidia naenda kushangaa na kuskiliza stori zao, yaani ndani ya lisaa nilienda chooni mara 3, nkawa najisemea mapema yote hii hata maji sijanywa mkojo mwingi hivi?
Kwa sababu nilikua na safari niliogopa kunywa maji japo nilikua na kiu sana kwa hofu ya kusumbua gari njiani kuchimba dawa,

Gari ilivyokuja nkaanza pakia carolight zangu nkamaliza nilipotaka kurudi pale kuendelea kushangaa mwenyeji wangu akaniambia twende huku (hapo tunasubiri gari ijae abiria) tukakaa mahali tunapiga stori za hapa na pale ndio akaniambia nimekuona unabebeshwa mikojo tu hata huelewi, nkabaki namshangaa...
Ndio akaniambia ukienda shangaa pale kama hauko vizuri wale wazee wakiskia mkojo wanakubebesha wewe unaenda kuukojoa badala yao, yaani wanaweza kukaa asubuhi hadi jioni hata chooni wasiende ila wee kila mda unapiga ruti tu..
Hiyo ilikua mwaka 2010 pale uyole.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha ha hii mbinu nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kujibizana na huo ujinga wako,
Wala siko kushindana na wewe.

Nimekueleza matatizo yako ila kama unaona nimekuonea achana na hayo mawazo yangu kwako, ili maisha mengine yaendelee ndugu.
Relax
Unalazimisha nitaelewa wakati sijaona ulipojibu swali na nimekutaka ujibu?

Wewe upo kichwani mwangu sasa?

Huu uvivu gani wa kujadili mambo kiasi ushindwe kufafanua maandishi yako mwenyewe?

Wewe ni mpumbavu au una hila tu?

Naona ushashindwa mjadala unaleta ujinga na uzushi wa kishenzi usio na kichwa wala mguu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kujibizana na huo ujinga wako,
Wala siko kushindana na wewe.

Nimekueleza matatizo yako ila kama unaona nimekuonea achana na hayo mawazo yangu kwako, ili maisha mengine yaendelee ndugu.
Relax

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika huwezi kujibizana, wakati kwa kuandika hivyo tayari unajibizana.

Unajua hata unachoandika ni nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisamehe mkuu,nilikosea wakati wa kufanya quotation
Bora Muongee ninyi wakuu MLEVi Mmoja proskaeur

Majibu yao niliyaona nikaona nivunge kuliko na Mimi nionekane PUNGUANI

Yani ni maneno Machache Sana lakini
Wameshindwa kuelewa Sababu ya ufinyu wa akili

digba sowey Wewe ni PUNGUANI....Yani Mimi niko upande wako unakuja kunitukana Hapa ? Hivi Nani kaonekana MPUUZI hapo mbele ya na wana JF ?

Bushmamy na Wewe Umejiona ulivyo onekana PUNGUANI Mara Mia, bila Shaka umedhihilisha JF Wewe ndio umekula kiporo cha ugali na akili yako ikaganda


Nimetukanwa matusi nisiyo stahili
"Kala kiporo cha ugali sasa akili imeganda kama ugali "
"shame on you son of idiots"

Mnitake Radhi Sana na huo ndio Uungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na mshkj wng niliwahi kuenda kwa mtaalam mmoja nilimsindikiza uyo mshkj wng mimi nilikuwa sina imani na nguvu za giza insuch kipindi iko afu nilikuwa mbishi, sas bana yule mzee alisema kimasihara kuwa kuna dawa nikiwapa unaona wachaw na majin usiku, mshkj wng aliogopa akaikataa mm kwa kiherehere changu niliiomba uku nikijichekesha nakudhan ni mchezo wa kuigiza. Alinipa akaniambia hii utaoga usiku alafu na hii utaipaka kabla ya kulala afu hii kesho asubuhi utaogea na kupaka ili kuiondoa iyo hali ya kuendelea kuona ila sharti ni moyo usizungumze chochote pindi utakapokuwa uona ukizungumza utajijengea mazingira ya uadui..nikakubali, Haha ayse yanii ule usiku siusahau kwa vituko nilivyokuwa naviona dunia ina mambo mengi nyiny zaidi ya unavyoiona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliona nn mkuu. Ulichoona ndio Picha lenyewe. Hapa umetupa trela tuu.

Lete mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Uzi ulikuwa mzuri na title yake inasema kwa waliowahi kukutana na nguvu za Giza walete Visa vyao Sasa Kuna mdada mmoja humu wa kiswahili anijiita kiranga anaprove uswahili wake wa kutokuelewa Mambo MAANA UNACOMENT KULINGANA NA HEADING Sasa Kama unawazo vice versa anzisha Uzi vinginevyo matatizo yenu ya kutokuelewa Mambo msiyalete humu mie namuomba tu huyu dada aache Mambo ya ligi za uswahili Mana hapa wanaoleta visa n wahanga nasio watengeneza Giza wao Hilo Giza walikutana nalo hvyo we DADA kiranga punguza ngonjera mie nlikublock Ila naona reply za watu nyingi zikikuleta ukiwa na ubushi wako wa kijinga.

Ukitaka kujua upo au haupo nenda bush Yan Kijiji kwenye maeneo mengi humu wameorodhesha take a tour & study then uje na mrejesho hauitaji kuwa na pesa nyingi Kama research za National Geographic tv n pesa kidogo tuu hata laki haiishi na 85% ya uhalisia utayapata kuliko kuketa ujinga wako wakitoto humu.

Nanyie mnaomuuliza maswali humu mnazidi kudumaza akilini zenu Mana Uzi unasema kwa aliekutana na kisa Cha nguvu ya Giza haya ya mpuuzi mmoja humu yanaharibu Uzi Mana Kuna watu humu wanajifunza, Kuna watu humu wameona Kuna namna ya kuachana na nguvu za Giza,na Kuna watu wameona Kuna haja ya kuzitafuta hzo nguvu za Giza hvyo watoto hasa Hawa wadada muwaache wakuwe siku wakipata yanayowasibu ndio watajua kuwa hvi vitu vipo.

MUACHENI HUYO DADA KIRANGA NA UJINGA WAKE
 
Me mpaka leo huwa nikikumbuka huwa machozi yanakaribia kunilenga ilikuwa hv cku hiyo ilikuwa jmosi huwa ni siku ya mnada ilikuwa mida ya saa 2 kasoro kulikuwa na mbalamwezi imeangaza sana kiasi cha kuweza kumjua mtu ambaye yupo umbali wa 50m ile ya kama jua la saa 4-5 hv tupo watatu kuna sehemu tumeagizwa na wazee kwenda kuchukua mzigo wake kwaajili ya safari ya kesho yake basi tupo na story zetu na kuna njia tuliikwepa ambayo ni shortcut kwa sababu hzo hzo huko kuna miti mikubwa imeshona sana na makazi yako mbali basi tupo na story zetu kuna barabara ni pana tu wala haina miti pako plain kabisa mara kwa mbali tukahisi harufu kama mtu anajisaidia haja kubwa na tukaona kama kuna mtu amechuchumaa mbele na tukaona kitu cheupe kama shuka lililokunjwa kwakuwa ilikuwa kiangazi na cku ya mnada tukajua mtu kanunua mifuko anaenda kuhifadhia mazao lakn kadiri tunasogea harufu inaongezeka tena kali zaidi ikabidi tupunguze mwendo lakn mtu huyo hakunyanyuka mpaka tukafika kama hatua 15-20 ndipo hali ikabadilika na kuwa joto la hatari sana niliskia mwili unasisimka ghafla ni kama upepo flani kitendo cha haraka sana tulikuwa mbele ya kitu kirefu sana na kuona kama giza mbele aiseeee tuligeuza kwa speed ya hatari sana niliwaambia wenzangu tunakufa ila mmoja cjui aligeuza saa ngapi maana kitendo cha kugeuka ashasepa huyu niliyebaki nae alikuwa mfupi nilimshika kwenye mkanda kiunoni tulikimbia jamaa akawa hagusi chini vzr tulikimbia mpaka barabara kubwa tukakutana na watu wanatoka mnadani walituuliza maswali lakn hakuna aliyeweza kuwajibu midomo ilikuwa na kigugumizi sana uzuri walitujua wakatupeleka nyumbani maana tulikuwa tunatetemeka sana hakuna aliyeweza kuhadithia chochote zaidi ya kutokwa machozi wote hadi kesho yake ndio tuliweza kueleza nini kilitukumba ila siku hiyo mzee aliogopa sana sitakuja kusahau kamwe labda lije litokee lingine zaidi ya hilo but namwomba Mungu aniepushie mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom