Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Pole sana kamanda.......!!! daaah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu za Giza zipo aisee.

Nilikuwa nasoma chuo some where sehemu ambayo tunaishi kulikuwa kuna shida ya maji na maranyingi yanatoka usiku.

Siku hiyo yakaanza kutoka wanachuo wenzangu wakatoka njee maana bomba lilikuwa njee wakaanza kuchota maji ilikuwa SAA nane usiku nikatoka na Mimi

Sasa ile hostel ilikuwa karibu kabisa na main road nikaona mfano wa gari lakini linawaka likapita kwa road baadae kidogo nikaona kitu mfano wa kisicho naumbo maalum kinawaka mfano wa nyota kimebeba mkuki kinazunguka ile nyumba nawaangalia washkaji hawana habari kila nikitumia njia zakuwazuia jamaa wasiendelee kuchota maji wao wanaendelea kuchota Mimi nikaamua kurudi ndani ilipofika asubuhi nikaawambia wanafunzi wenzangu ikawa ndo mwisho wa kuchota maji usiku nakuishia kunipongeza kutowaambia usiku ule maana ingekuwa balaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu hapa ni uongo tena uongo wa hali ya juu.

Tunasafari ndefu sana na hivi visa vyenu vya kufikirika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mungu anathibisha uchawi upo kwenye maandiko, wewe ni nani nikuamini kuwa uchawi hakuna?? Mimi nimeshuhudiwa mambo mengi sana kwa macho ya Damu na Nyama mkuu.. Mungu akusaidie husije ukaangukia kwa hao watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu ni chai tu hizo na magonjwa ya akili.... maandiko gani bana wewe,vile ni vitabu vya hadithi za kale tu hamna cha maana mule
Kama Mungu anathibisha uchawi upo kwenye maandiko, wewe ni nani nikuamini kuwa uchawi hakuna?? Mimi nimeshuhudiwa mambo mengi sana kwa macho ya Damu na Nyama mkuu.. Mungu akusaidie husije ukaangukia kwa hao watu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…