Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia mkuu nahitaji maombi make ukweni kwa dogo walitaka kumchukua mtoto kichawi na kumfundisha uchawi mama yake ili wawe wanaruka kuwanga na Kufanya mambo yao ya uchawi pamoja ila tangu yalipotokea hayo mauzauza na kujua hayo kupitia kanisani nilimpiga stop dogo kutokanyaga ukweni ila ukweni wanadai wanataka kumuona mtoto wao eti damu yao huwa haiendi mbali. .ni changamoto sana na story ndefu hapa nakatisha katisha tu
Wachawi wanajuana
Kwa kesi ya dogo wangu kuna

1. Wifi yake ambae ni mkuu wa wachawi
2.aliekuwa housegel wangu wakazi ambae nilimtafuta pindi dogo anataka kujifungua na kama bahati tu nilimwambia aje kujifungulia kwangu na si ukweni alikotaka kujifungulia huko.
Acheni mungu aitwe mungu.

Cc Smart911

Mkuu habari yako.... ninaweza kukusaidia kwa maombi (kama upo mkoa wang) au kukuelekeza jinsi ya kusali ni rahisi sana sema tu Ur Mam inabidi awe tayari kusali na kuwa na imani.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko insta kuna page za maombi moja inaitwa anointed-room nyingine bishopemmanuel. Angalieni kama maombi yao yatawafaa
 
Mkuu namimi naomba umwambie aniombee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhuu interesting

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saint anne Ushawahi kuona moto unawaka kitandani na hakuna alieuwasha? ? Na kitanda hakijaungua? ? Kitanda kinatikisika hakuna alietikisa earthquake ikasome Ushawahi ona? ? Ile umekaa na Kachanga kitandani mara vuup unaona kama shoti imepiga kitandani mara tatu. Paaaa moto unawaka unazima unawaka unazima na kitanda chumba chote kama tsunami inapiga Umewahi ona????!!
It happened nyumbani kwangu ...

Ilikua hivi. .
Kachanga kalipozaliwa tu ndipo kasheshe likipoanzia. Baada ya kujifungua tu dogo usiku alikua anaota kama ndoto ambazo kumbe hazikuwa ndoto bali ni uhalisia alikua anaota kama kuna mtu anakuja usiku anakua anamziba pua hivi na kumfanyia vitu ambayo wakati huo yeye anaona kabisa kama anafanyiwa ila akitaka kupiga kelele kuomba msaada hakuna anayemsikia yani sauti haitoki. .taka kupiga kelele za msaada wapi. .hata akitaka kumwita anaelala nae chumba kimoja hawezi.
Akiamka asubuhi ananihadithia kuwa dada tangu nilipojifungua usiku usiku natokewa nahivi na vile. .Mi nikawa namwambia kuna nguvu za giza zinakufatilia. .inaonekana zilikutafuta sana tangu ukiwa mjamzito lakini hazikufanikiwa stil zinakufatilia. Sali sana dogo dunia ina mambo mengi. (Nina imani kali sana mimi yani moyo wangu ukikataa kitu lazima kinakua hovyo au cha majanga yani ninachodoubt mara nyingi huwa hivo hivo kama nilivohisi )
Ikaendaa Ikaendaaa muvi yenyewe ilikua siku mtoto ametimiza mwezi mmoja kamili yani the same tarehe amezaliwa mwezi uliopita wakuuuuu. .omba yasikukute kumbe Tarehe 15 kuamkia 16 ndipo wifi mtu( mkuu wa wachawi na team yake walikuja kumchukua mtoto na hapo nyuma housegal alikua ameshampa dawa mtoto nyingine alishamnywesha na kuwafanyia vitu kadhaa kwa kulazimishwa nahuyo wifimtu . Walijuanaje mimi mwenyewe nilishangaa sana.)Kwani baada ya wiki kadhaa ndiye aliyekua anawahudumia mama na mtoto
Mtoto alizaliwa tarehe 16 sasa Ile tarehe 15 usiku wakati tumelala dogo aliona kama kuna mtu ambae alikua ni mdada alikuja na kuwa kama anachukua mkono wa dogo ( mamamtu) na kuupeleka shingoni kwa Kachanga dizain kama anamlazimisha mamamtu amkabe mtoto..dogo akawa anatoa mkono ile ya kukataa huyo dada anamlazimisha kumkaba mtoto dogo anagoma vutana vutana dogo anaishiwa nguvu badae akashtuka na kumuangalia mwanae mtoto alikua analia sanaaaaaaaa. . Akasali na kulala asubuhi akaja kuniambia tena dada usiku nimetokewa na hivi. .
Ile kunisimulia nami nikakumbuka usiku huo huo wa tarehe 15 kuamkia 16 niliota ndoto kuwa mtoto( Kachanga ) gafla amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na mama yake yupo ukweni ila amekondaaaaa ngozi imekua kama mzee. .Hapo ukweni ndugu zake tumeenda kumuona ndugu yetu ila tunaona wanapitisha sahani zenye mapaja ya nyama za watu yaliyochomwa paja jekunduuuuu mara mikono ya watu lakini kama nyama ambazo watu wanakula. The same night kuna dada yetu mwingine yeye aliota mtoto wa dogo amefariki ila anaonekana yupo dirishani kwenye chumba fulani.
Niliposikia hayo ya dogo nikaunganisha ile ndoto yangu nilishtuka sana nikamwambia dogo jiandae leo mchana tunaenda kwa mchungaji hii hali si ya kawaida.
Ukapita mchana wote jioni imefika usiku saa 2 kasoro ndio nikashtuka OMG mbona hatukwenda kanisani kwa mchungaji? ? Nikamwambia dogo sasahivi vaa muache mtoto twende kanisani mara moja Kwani alijifungua kwa oparesheni. .na ndokwanza alikua anatimiza mwezi mmoja. Dogo akawa anasema aaahhh dada bwana usiku umeingia tutaenda kesho. .mimi roho ilikataa kabisa nikamlazimisha vaa twende anasema tutaenda kesho asubuhi dada roho iligoma kabisa nilisema hapana moyo wangu umegoma kulala leo bila kwenda kwa mchungaji huwezi jua .usiku mkubwa na roho haikubali kabisa kuacha kwenda
Akavaa tukaenda hapo saa mbili usiku..tukaenda hatukumkuta mchungaji tukamsubiri
Dada akamuhadithia kwa ufupi tu mchungaji akasema kwakua ni usiku wacha nimuombee kidogo ili awahi mtoto si akaanza kuomba troooobaaaa....
Dogo alikua kama wale wenye mapepo

NITAENDELEA KESHO NIKIPATA MUDA

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
 

kumbe ndiomana watu wengi wakianguka chooni wengi sijui wanakuaje hata. .Wengine wanakufa.
Yani huyo houseg alisema mengi sana na wakati dogo anaombewa kule kanisani nguvu yamungu ikifanya kazi hadi moto kuwaka kitandani alipokuwa amelala mtoto binti wakazi alikua ameenda chooni kuwasiliana na mkuu wao Kwani tayari reaction walishaipata kupitia yale maombezi ..hizi ajali nyingine ni Shetani yuko kazini. . Mnaona ajali kumbe mkuu keshapuliza tu puuu dakika sifuri midamu hioo barabarani anatuma watu wake wengine waje kuchukua damu wengine wabebe miili huku huko kuzimu wengine wanakua wanachemsha maji ya kupika hizo nyama zinazoletwa kutoka kwenye ajali endapo huyo hao mlengwa atakuwa ni wa kuliwa nyama kwani Wengine wanafanywa mizukule tu yakufanya kazi zao.

MY GOD IS LIVING AND HE LOVES ME AND MY FAMILY

Cc Smart911
 
hizi ni mambo za kiwaki dadeq zenu mnatulisha matango pori inamaana mnataka kusema kuwa hivyo vitu haviwezekan bila kuvihusisha na hizo nguvu zenu za uchawi/';`1
 
hii chai naona majani yamezid kidgo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibi yangu ni mchawi, anamtesa sana Mama yangu, anataka kumuua. Ni muda sasa mama anateseka na maradhi yasiyo pona. Tumezunguka sana... ila basi tu
Mpelekeni kwenye maombi hafu naye aamini kwamba anapokea uponyaji.......Na atenge muda wa kusoma vitabu vitakatifu kulingana na iman aliyonayo mkristo au muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True servant of God.......The choosen one....Mlee kidini mhamasishe ili akue akimpendeza Mungu aje kuwa mtumishi wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…