Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kwani hata waganga si huwa wanatabiri? Mtu kutabiri na mambo yakawa hivyo sio uthibitisho kuwa ana Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hata waganga si huwa wanatabiri? Mtu kutabiri na mambo yakawa hivyo sio uthibitisho kuwa ana Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
ila inategemea unatabiri kwa jina la nani na unatumia nini?? Kama mtu anatabiri kwa jina la Yesu hakuna shida kabisa.....maana hakuna uhusiano direct WA nguvu za nuru na giza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo sidhani km atakua hai mpaka leo pengine ngoma ilishamchukua
 
Siamin haya madini nmeyaokota bure[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa bwana ulimwacha mke kwa kuwa kawa mbwa usiku mmoja tu km na yy alitumika na wachaw huoni km ulimuonea? au kuna tukio lingine lilijitokeza.
 
Bado kuna watu wanasema Mungu hayupo aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, pole sana maandiko huwa unasoma kweli? Kwamba mtu akishataja jina la Yesu basi

Sent using Jamii Forums mobile app
kila siku nasoma biblia jina la Yesu linanguvu sana na umefuatilia sala yangu hapo juu kwamba sijatoa usaliji wa maandiko.... but all in all Mungu ndo anajua na nina mengi sana ya kushuhudia ukuu wake sikuanza tu kumtafuta Mungu kwa kusoma biblia mkuu nimepitia vipindi vigumu sana maishani mwangu.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mahondaw na Tanayzer natamani muendelee kuandika...
Ubarikiwe mkuu maisha yana vitu vingi sana.... Mimi kuna siku weekend kwenye saa 4 asubuhi bi mkubwa alianza kuumwa tu ghafla mwili mzima ulimuuma alizidiwa sana, alilia kama mtoto hapo yupo na dogo angu wa kike, alilalamika maumivu karibu saa zima alishinda anagaragara sakafuni.... na kuna kitu ni kama kilikuwa kinamkaba shingoni kuongea anaongea kwa tabu sana sauti ya kukoroma na kupumua kwa shida......

nikamwambia twende hospital mama akasema hospital haitasaidia sababu ile ni roho ya mauti hapo kwako tabu sana anaongea na analia sana....nikaingia chumbani kwangu nilisali kama dakika 7 tu ila kwa hisia kali sana bila hata kumgusa.....baada ya dakika 5 mama alinyanyuka kwatabu akasema anataka alale alilala dakika 20 sjaamka mzima na kutabasamu juu hadi akatoka nje akaendelea na shughuli zake....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiwango hicho kinatosha maana ndicho Mungu alichoweka kwako mkuu na endapo kutatokea kitu ambacho Mungu atataka uone utaona tu.... Mungu aendelee kukupigania mimi nikinena kwa lugha ndiyo napata amani

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen
Nimejifunza kitu kutoka kwako..
"Kuandika mahitaji wakati wa kuomba"
Nilikuwa nachukulia kawaida tu ila kumbe ni njia nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…