Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nitajaribu.Mimi mwenyewe mpaka nilipopokea baraka nikiwa nasali kwa njia ya kuandika maombi ndio nikajua kuna nguvu sana....ubarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
nimeshindwa kuwaelewa eti.Yaani wote wamejichanganya kabisa
Jamaa alikuwa anamponda kiranga na hizi post zake za kusumbusumbua za kutuharibia Uzi na asipondwe kwani ye nani
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli unavyosema wachawi wana alama zao, nilihadithiwa na binti wa kike aliekuwa housegirl kwenye nyumba moja kbl hajaombewa na kurudi ktk hali yake ya kawaida. Ni kwamba, mtu anapopelekwa uchawini kwa mara ya kwanza huwa wanachanjwa, na hizo chanjo zinawafanya watambuane hata ktk maisha/dunia yetu hii ya kawaida.Hata kanisani kwetu mpaka sasa kuna binti mmoja aliekufa 5 years. . Badae alionekana akiwa kama huyo. .minywele mirefuuu kucha ndefuu yani alivo kwa mara kwanza ukimuona unaeza dhani ni mzukule. .The way anavokula sasa ... hata yeye anaongea lugha ambayo hatuielewi kabisa. .
Cha kushangaza hio lugha aliyokuwa anayoongea alielewana na kusikilizana na binti yangu wakazi kipindi nimempeleka binti kanisani kwenye maombi ya kufunguliwa baada ya kutaka kunifanyia mauzauza ya kutaka kuua . Binti yangu wakazi hapo kanisani kwenye maombi Kuna kipindi alikua sawa na anaongea kawaida tu ila wakianza kumuombea tu mapepo yanapanda anabadilika..anaongea lugha ambayo hatuielewi. . Ila alielewana nahuyo binti mwingine alieonekana baada ya kufa kwa miaka 5 iliyopita na ndugu zake wakampeleka kanisani. Hapo kanisani kuna muda Walikua wanaongea wanacheza wanaimba sijui vitu gani wanachekaaa sisi hatuvielewi. .. wachawi kwa wachawi wanajuana hata wakikutana wana alama zao wewe mtu wa kawaida huwezi kuziona/ kujua.
Nilishangaa sana Kwani mimi eneo hilo nilikua mgeni na binti nilimtoa sehemu nyingine mbali kabisa but alielewana lugha nahuyo mzukule wa hapo kanisani
Ni story ndefu na ina mengi ndani yake
Saint anne
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh... haya MamboHata kanisani kwetu mpaka sasa kuna binti mmoja aliekufa 5 years. . Badae alionekana akiwa kama huyo. .minywele mirefuuu kucha ndefuu yani alivo kwa mara kwanza ukimuona unaeza dhani ni mzukule. .The way anavokula sasa ... hata yeye anaongea lugha ambayo hatuielewi kabisa. .
Cha kushangaza hio lugha aliyokuwa anayoongea alielewana na kusikilizana na binti yangu wakazi kipindi nimempeleka binti kanisani kwenye maombi ya kufunguliwa baada ya kutaka kunifanyia mauzauza ya kutaka kuua . Binti yangu wakazi hapo kanisani kwenye maombi Kuna kipindi alikua sawa na anaongea kawaida tu ila wakianza kumuombea tu mapepo yanapanda anabadilika..anaongea lugha ambayo hatuielewi. . Ila alielewana nahuyo binti mwingine alieonekana baada ya kufa kwa miaka 5 iliyopita na ndugu zake wakampeleka kanisani. Hapo kanisani kuna muda Walikua wanaongea wanacheza wanaimba sijui vitu gani wanachekaaa sisi hatuvielewi. .. wachawi kwa wachawi wanajuana hata wakikutana wana alama zao wewe mtu wa kawaida huwezi kuziona/ kujua.
Nilishangaa sana Kwani mimi eneo hilo nilikua mgeni na binti nilimtoa sehemu nyingine mbali kabisa but alielewana lugha nahuyo mzukule wa hapo kanisani
Ni story ndefu na ina mengi ndani yake
Saint anne
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ndio nguvu ya imani, ni vyema kila mtu aitumie, itumie serious kwa kuamini, ukisali/omba usijidharau wewe mbaya, una dhambi, au lolote lile, omba kwa imani utafanikiwa utakacho.Ubarikiwe mkuu maisha yana vitu vingi sana.... Mimi kuna siku weekend kwenye saa 4 asubuhi bi mkubwa alianza kuumwa tu ghafla mwili mzima ulimuuma alizidiwa sana, alilia kama mtoto hapo yupo na dogo angu wa kike, alilalamika maumivu karibu saa zima alishinda anagaragara sakafuni.... na kuna kitu ni kama kilikuwa kinamkaba shingoni kuongea anaongea kwa tabu sana sauti ya kukoroma na kupumua kwa shida......
nikamwambia twende hospital mama akasema hospital haitasaidia sababu ile ni roho ya mauti hapo kwako tabu sana anaongea na analia sana....nikaingia chumbani kwangu nilisali kama dakika 7 tu ila kwa hisia kali sana bila hata kumgusa.....baada ya dakika 5 mama alinyanyuka kwatabu akasema anataka alale alilala dakika 20 sjaamka mzima na kutabasamu juu hadi akatoka nje akaendelea na shughuli zake....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes unaandika unachopemda Mungu akutendee mfano unachukua rimu unaandika kwa herufi kubwa pale juu MAHITAJI YANGU then chini unaandikaHii njia yakuandika inakuwaje mpendwa? Au unaandika kile unachopenda Mungu akutendee? Samahan msaada hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Mungu ni mkuuLeo nmepata muda ngoja nishuhudie na mimi jinsi nliumwa vitu vya ajabu...ilikua mwaka 2017 kuna sehem tulihamia mimi na mme wangu basi baada ya kuhamia eneo hili ambalo tulinunua kuepuka mambo ya kupanga sasa wakati tunafanya process za kununua tulitaka kufata sheria yaan kuuziana kupitia mwana sheria sasa mjumbe akawa amepigia mahesabu apate fungu hapa( hatukumpa hata senti) sasa tukawa tunafanya ukarabati kidogo maana lilikua gofu akawa anajifanya kuja kuzoa udongo mm nikawa nastuka uyu udongo wa nini lakin sikutaka kumwambia kitu wakati huo ashalalamika sana mtaani na kutangaza mbovu juu yetu nakuanza kutungombanisha na watu sisi tuliamua kukaa kimya...kashasha ikaanza usiku ukiingia nikawa naumwa magonjwa ya ajabu sana mara moyo kama unataka kuchomoka yaan nikawa nashindwa kupumua usiku tukawa tunakesha bila kulala hadi asubuhi nikiaenda hospital hakuna ugonjwa wowote nlizunguka hospital baadhi hakuna ugonjwa basi nikaanza kusali kidogo mwenyewe hali bado basi tukaamua kuhama na mme wangu tukahamia kibaha kulikua na nyumba ya bure cha ajabu kule nikawa nalala vizuri sana na siumwi kitu lakin tukawa tukirudi hapa tunapokaa ikawa naendelea kuumwa basi nakumbuka ilikua mwez wa 10 2017 nikaanza kuumwa tumbo yaan tumbo linavimba linakua kubwa afu gumu sana afu kila chakula nachokula naenda chooni kinatoka kama kilivyo yaan nikila wali hapohapo nikitoka kula naenda chooni wali unatoka kama ulivyo nikawa nikila chochote kinatoka ivyoivyo nikaenda hospital kupima sina ugonjwa wowote nikawa nampigia dadaangu ameokoka akawa ananimbea kwenye simu napata kaunafuu kidogo badae hali inaendelea palepale yaan nliteseka nlikonda sana ikafikia hatua nikaanza kutapika yaan nikila hata kama ni chungwa natapika huku nmevimba tumbo hasa mda mwingine naenda chooni huku haja kubwa huku natapika usiku silali nakesha nikienda hospital hakuna kitu sasa kuna sehem moja hivi nikaelekezwa kwenda kwenye maombi nikapewa namba za mtumishi hapo siwez kukaa siwezi kulala tumbo limevimba nahisi kufa yaan nlikua naenda kukata roho kabisa network zilikua zinakata kabisa nikawa nasali MUNGU anisadie yaan nikajikuta nmepata ka nguvu kidogo nikashika simu nikapiga namba ya mtumishi ikawa haipokelewi nikajua ndio nakufa hapo badae mme wangu akanibeba anipeleke hospital na hapo mm sitaki kwenda hospital roho ilikua inanituma nikienda hospital nakufa na nikamwambia kabisa mm naenda hospital ila siwez kupona nataka kwenda kwenye maombi ndio roho inanituma bade yule mtumishi nikamtumia msg kua na hali mbaya sijiwez naumwa nikiwa njian naelekea hospital ndio akanijib akaniambia tuko kanisan njoo tu ikabidi nikodi bajaji hadi walipo nlivofika nikaanza kuombewa nikadondoka nakumbuka nlivostuka niko chini yule mtumishi akaniambia usiku uliota nini nikamjibu nliota niko sehem afu nalishwa vitu vinanuka sana basi akachukua maji mapya kabisa akayaombea akaniambia kunywa hayo maji moyoni nimekata tamaa yakupona nikasema uyu ananipa haya maji ntapona kweli ila nikasema ngoja ninywe nlivokunywa yale maji nikasikia kutapika nikaenda chooni yaan nlitapika mavitu meusi kama mkaa mazito mno nikabaki nashangaa tu nikarud ukumbini nikayamalizia yale maji nikabanwa choo kwenda chooni nikajisaidia vitu vya ajabu sana nilivotoka chooni nikapona kabisa sikuamin macho yangu nikamshukuru sana Mungu kwakuniponya na yule mtumishi akaniambia nyumba ya pili upande fulani kuna mzee alikufanyia haya kwasababu fulani nikabaki namshangaa Mungu kua ni kweli huo upande kuna mtu wa hivyo na ni kweli tulikua na mgogoro yaan nlivorudi hme nikalala asubuh kuamka wakwanza kukutana nae afu akanikimbia yaan alinikimbia nikabaknamshangaa na tangu sikuile yule baba anaogopa hata kupita njia hii ya hapa kwangu na akiniona njian yeye anapita sehem nyingine ...najitahidi sana kusimama na Mungu tangu kipindo hicho sijawahi umwa hata maleria na hata kitu kibaya kikitaka kutokea najua na nasimama kukizuia na kinapita mtu mchawi akija kwangu namuona na wengi wananiogopa na nakili hakuna mchawi anaeniweza kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mkuu maana binadamu wote tunadhambi muda wote za kutenda au kuwaza ila tukiomba kwa imani tutapata mahitaji yetuhii ndio nguvu ya imani, ni vyema kila mtu aitumie, itumie serious kwa kuamini, ukisali/omba usijidharau wewe mbaya, una dhambi, au lolote lile, omba kwa imani utafanikiwa utakacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
IMANI...Ubarikiwe mkuu maisha yana vitu vingi sana.... Mimi kuna siku weekend kwenye saa 4 asubuhi bi mkubwa alianza kuumwa tu ghafla mwili mzima ulimuuma alizidiwa sana, alilia kama mtoto hapo yupo na dogo angu wa kike, alilalamika maumivu karibu saa zima alishinda anagaragara sakafuni.... na kuna kitu ni kama kilikuwa kinamkaba shingoni kuongea anaongea kwa tabu sana sauti ya kukoroma na kupumua kwa shida......
nikamwambia twende hospital mama akasema hospital haitasaidia sababu ile ni roho ya mauti hapo kwako tabu sana anaongea na analia sana....nikaingia chumbani kwangu nilisali kama dakika 7 tu ila kwa hisia kali sana bila hata kumgusa.....baada ya dakika 5 mama alinyanyuka kwatabu akasema anataka alale alilala dakika 20 sjaamka mzima na kutabasamu juu hadi akatoka nje akaendelea na shughuli zake....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiandik... Nin kinafata. MzeeYes unaandika unachopemda Mungu akutendee mfano unachukua rimu unaandika kwa herufi kubwa pale juu MAHITAJI YANGU then chini unaandika
mfano
1, nahitaji nipate mtu sahihi wa kuninyanyua nipate ajira
2, nahitaji mtoto
3, nahitaji baba/mama apone ni hivyo ila unaweza andika vyovyote tu haina formula na Mungu atatenda
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiandika unasali kwa utaratibu unaoendana na niliotuma hapo juu kidogo mkuu huku karatasi ikiwa mbele yako au umeishika....
Mwisho Wa kusajili ni lini jamani maana hata mimi mbado!!
Naukimaliza maombi siunaweza kuichana2 hiyo karatasi? Je nawakati wamaombi hiyo karatasi unaishika mkononi au unaiweka wapi kwamfano unaomba huku umepiga magotiYes unaandika unachopemda Mungu akutendee mfano unachukua rimu unaandika kwa herufi kubwa pale juu MAHITAJI YANGU then chini unaandika
mfano
1, nahitaji nipate mtu sahihi wa kuninyanyua nipate ajira
2, nahitaji mtoto
3, nahitaji baba/mama apone ni hivyo ila unaweza andika vyovyote tu haina formula na Mungu atatenda
Sent using Jamii Forums mobile app
karatasi unaweza iweka mbele yako au ukawa umeishika na unaweza kupiga magoti (hii inanguvu sana nimeshuhudia) pia inategemea unasali siku ngapi ukimaliza hizo siku za kusali utaichana tu.... mfano mimi nilipanga kuomba siku 7 mfululizo kuanzia saa 5 ila siku ya 3 nikapata baraka zangu nilimalizia siku 7 then nikaiweka tu sehemu ila kama unataka unaichana baada ya maombi kama siku 1 sawa ichaneNaukimaliza maombi siunaweza kuichana2 hiyo karatasi? Je nawakati wamaombi hiyo karatasi unaishika mkononi au unaiweka wapi kwamfano unaomba huku umepiga magoti
Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja tu nimalizie kisa changu kingine,but huwa nikimsikia mtu anasema uchawi hakuna namwangalia na kutikisa kichwa tu.
Nimezaliwa na mama ambae ni mgonjwa wa sicle cell hali iliyokuwa inamfanya mama yangu kuumwa mara kwa mara hasa mifupa na hata kuishiwa damu mara kwa mara naweza kusema mama yangu haikuwahi kupita week bila ya kuumwa au kulazwa hospitali,hali iliyopelekea kuwa anatumia mara kwa mara dawa za valium na hata wakati mwengine kuwa anajichoma mwenyewe sindano za valium ili apunguze maumivu apate usingizi,ilikuwa ni usiku wa saa 8 usiku nimelala na bimkubwa naskia anaugulia maumivu makali mno ya mifupa,nikaanza kutafuta dawa hakuna sindano wala vidonge na nyumba tulikuwa mimi na yeye tu wakati huo simu ni anasa na usafiri huu wa boda boda hakuna na gari ilikuwa saa 4 mwisho, basi kila akiugulia maumivu akili yangu inahangaika mwisho wa siku nikamchukua nikamuweka mgongoni kulikuwa kuna dispensari fulani hvi ipo kigoma ujiji na sisi wakati huo tunakaa bimala kwa wenyeji wa kigoma wanakujua ni umbali wa kama dakika 10 kwa gari,basi nikamuweka mama yangu mgongoni safari ikaanza wakati huo nina umri wa miaka 12 tu,tembea sana kila nikiskia anazidi kuugumia na mm ndo naongeza spidi,basi tukafika sehemu moja inaitwa shine cinema ni ukumbi fulani hivi walikuwa wanaonyesha movies na pembeni kuna shule ya msingi ujiji, baada ya kufika pale ile shule tuliona imegeuka treni watu wanashuka na kupanda wakati huo upande wa pili kwenye ule ukumbi kwa nje tukaona watu wengi mno wapo nje wanapiga kelele mno wanasherehekea wako uchi wa mnyama wanauza vichwa vya watu ulimi na viungo vingne vya binadamu na kulikuwa kunanuka damu kweli kweli cha ajabu ajabu kufika pale nikashikwa na bumbuwazi kiasi cha kanga kulegea bimkubwa akaanguka lakini kwa kusimama sasa alivyofungua macho kuona kilichopo mbele yetu nilishangaa tu amenibeba juu alitoka mbio za ajabu huku akiwa amenibeba mgongoni mpaka ujiji kwenye ile dispensary alivyofika tu akazimia pale pale nakumbuka alikuja kuzinduka siku ya tatu na mtu wa kwanza kuniita alivyoamka tu nilikuwa mimi alinikumbatia na kuanza kulia sana(kisha akanitamkia nimekusamehe leo na siku zote za maisha yako) kauli hii aliirudia akiwa anafariki ndani ya mikono yangu mwaka 2007 kwa kunambia(nakufa mwanangu nakupenda sana na nakufa nikiwa radhi nawe uishi maisha ya kumpendeza mungu na uwapenda nduguzo kama ulivyokuwa unanipenda mama yako)
R.I.P my beloved mom
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂uko salama lakini?Me kuna kipindi naweza kulala nimevaa boxer nikiamka asubuhi niko uchi.
Mpaka sasa bado cjaelewa kitu, je ni nini hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu madam mahondaw ni dada angu huyo pia ni mkubwa kwangu same kwa mkuu smart911....