Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii Kuna nyumba moja hapa mtwara, imeshauzwa mara nane, kila ananunua hakai anapiga mnada,..... Chanzo aliyeuza alikuwa na wake wawili.... Sasa alikuwa na madeni bank, akamuomba mke mkubwa auze nyumba yake, mke mkubwa akakataa akamwambia akauze ya bi mdogo, mume kwa kiburi akauza ya mke mkubwa heheheheheh balaaaa mke mkubwa akaenda kwa mganga Ile nyumba anaenunua akiingia ndani anakuta miti tupu mle ndani yaani poriii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwisho wiki zilizopita imetangazwa kuuzwa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Achaaaa Kuna watu ni washenzi, sisi tumeshawahi kaa home unakuta mpo zenu mnapiga story kitu kinacheka ukutani , "hahahahahaha " na mkiangalia hakuna kitu... Tulipata tabu hapo watoto kila siku homa za ajabu tembea hospital maliza mno pesa hakuna ugonjwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanajua kuroga jamani..khaaa!! Msituuu....!!?? Nimejikuta navuta picha nje mjengo fresh ndani Kuna msitu...[emoji23][emoji23][emoji23] Daah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh! Huko huko mtwara?...mmhh na uoga huu jamani...ikawaje ? Mlihama au aliacha kucheka?Achaaaa Kuna watu ni washenzi, sisi tumeshawahi kaa home unakuta mpo zenu mnapiga story kitu kinacheka ukutani , "hahahahahaha " na mkiangalia hakuna kitu... Tulipata tabu hapo watoto kila siku homa za ajabu tembea hospital maliza mno pesa hakuna ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bakora za kutosha kudadadekiUkweli uchawi Upo tena uhakika
Mimi Nina visa 3 mwenyewe kwenye maisha yangu.
Cha kwanza kilinitokea nikiwa na miaka 6 mwaka 92 na cha pili kilinitokea mwaka 2008 nikiwa mkubwa na elimu yangu kwa hakika uchawi Upo tena sana
Mwisho nilipanga nyumba mtaa wa mecco Mwanza nyumba nzuri ipo katikati ya nyumba nyingi sana nikalipa zangu kodi 1.5m kipindi hiko nimehamia mwanza kikazi Niko zangu single
Usiku nilichapwa viboko sijawahi Ona ananichapa simuoni kesho yake nikasema labda ndoto,saa 2 tu usiku bakora za kutosha,nikaamua kwenda kulala guest asee
Baada ya siku nikahama
Hii nyumba mpaka leo ipo pale mecco kwa ambao hamuamini uchawi nenda kashuhudie mwaka wa 6 haina mpangaji wala binadamu anaishi pale
Waganga na waombaji hawajafua dafu
Inasemekana walimuua mwenye nayo wakaidhurumu malipo ndio hayo.
sikulazmishi kuamini but kma kuna mtu alishawahi kuishi kigoma muulize jna hlo
Kilwa hiyo mama, acha kabisa..... Tuhame wakati kwetu, ilifanyika kazi ya ziada tu sikuhizi Pana amani.... Palikuwa na vituko yaani kila nikikumbuka sina hamuDuuh! Huko huko mtwara?...mmhh na uoga huu jamani...ikawaje ? Mlihama au aliacha kucheka?
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikua unatoka masandare kuangalia mademu amaNlikutana na vibwengo laivu bila chenga...nikiwa same secondary...aisee usiombe ukutane na Hawa jamaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Njemba Njemba namfahamu aliwahi kuleta maiti pale lake tanganyika mechi ya Yanga , kipindi hicho kigoma KUna Mbanga FC ilikuwa inacheza ligi kuu.....dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.
ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa,Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi,ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake,basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.
Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha,lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake,akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama
pcha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee..poleni jamani..sijawahi kutana na vimbwanga ila nakumbuka zamani hivi tupo wadogo tukikaa ndani utasikia vishindo juu ya bati..Yani Kama watu wanaruka ruka mama angu alikuwa anawaambia mkimaliza mseme ili tulale..[emoji23][emoji23][emoji23]Kilwa hiyo mama, acha kabisa..... Tuhame wakati kwetu, ilifanyika kazi ya ziada tu sikuhizi Pana amani.... Palikuwa na vituko yaani kila nikikumbuka sina hamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini uwongo m'baya uchawi unarudisha sana maendeleo nyuma.Kijiji kimoja mkoa X, mzee mmoja alipowaona kuku wa jirani wanashambulia mahindi shambani mwake akaamua kuwatimua kwa kuwapiga na mawe.
Alipoamka asubuhi akajikuta mguu mmoja umetoka uko pembeni hakuna damu wala nini, akiwa katika taharuki nini afanye akalala tena kuamka kesho yake mguu wa pili pia umetoka uko pembeni.
Mpaka leo huyo jamaa yuko na ameshakuwa mzee haelewi nini kilimkuta anatumia wheel chair, uchawi upo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mama mmoja hapo Lindi, mwanawe wa kiume alioa, sasa yule mama hakumpenda binti aliyeolewa na mwanawe...... Akaenda kwa mganga ili awaachanishe, mganga akamwambia atampa dawa ambayo mtoto wake akilala na mkewe atageuka nyoka, yule mwanamke ataogopa atadai talaka,,, basi huyu mama akakubali mganga akatoa dawa, yule mama akamuwekea mwanawe kwenye chakula, ikawa ikifika usiku yule kijana akilala na mkewe anageuka nyoka, yule mwanamke kavumilia wiki Tatu, ikabidi aende kwao, wazazi wake wakamwambia afate talaka, akafuta na akapewa..... Kazi ikabaki kumrudisha kijana kwenye hali ya kawaida, yule mama akarudi kwa mganga kumwambia kazi imekamilika, hivyo anaomba mwanawe arudi kibinadamu, mganga akamjibu "nina dawa ya kumtengeneza awe nyoka tu sina ya kumrudisha kwenye hali ya kawaida" yule mama aliliaaaa,,,,,,.... Na huku home kijana anamwambia mama yake afanye amrudishe kwenye ubinadamu wake, basi hapo nyumbani taflani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana..Yani saana..Lakini uwongo m'baya uchawi unarudisha sana maendeleo nyuma.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Miaka kadhaa nyuma, bibi yangu mzaa mama, katika umri wake wa makamo, mrembo na mwenye kinywa kilichosheheni meno imara na meupeeee, aliamka asubuhi moja tusiyoisahau mpaka leo, kinywani akiwa hana jino hata moja. Alikuwa kibogoyo kabisa kama alizaliwa na kukua bila meno. Wakati ukoo mzima tumetunduwaa kwa mshangao, jamii ilitutuliza kwa kutuambia kuwa tuwe wapole na habari ndiyo ilikuwa imekwisha hivyo. Kuwa bibi yangu eti alifanya uzembe wa kuamka na kupiga kelele akidai meno yake hayamo kinywani. Kumbe ilimpasa, baada ya kuona kinywa chake kitupu, angerudi kimya kimya kulala. Meno yake yangerejeshwa na walioyaazima kwenda kutafunia nyama na bisi!! Ni juzi tu tumemzika bibi yetu akiwa kibogoyo kwa miaka kibao, kwani meno hakurejeshewa tena. Uchawi wa migombani Unyakyusa huu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwana kulitafuta mwana kulipata..mganga kamkomesha..wamama wengine bwana..
Sent using Jamii Forums mobile app