Camera isikosekane ili umtafute n uraiani then unamfukua tena tofaut n hapo atajikutA youtube
Hapo unatafuta vita ya 20 ya dunia na wachawi.Camera isikosekane ili umtafute n uraiani then unamfukua tena tofaut n hapo atajikutA youtube
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli,mzaliwa wa kwanza Ni lango.Ndio kuanza kukemea sasa mimi na hao watoto hadi wa la pili masikini yupo tu toka kwa jina la yesuuu ..nikawa nawambia watoto wengine waendelee kuimba nyimbo za kuabudu huku wakubwa tunakemea kemea kemea badae tukaona yule binti akiwa bado yupo kwenye hali ya kupandwa na mapepo akawa anamnyooshea kidole Kachanga akiwa ameshikwa nahuyo wa form 3 huku anacheka sauti kubwaaa anamnyooshea huku anacheka ha ha ha Haa hapo watoto mbioooo nyuma yangu nawambia hii ni vita msiache kuimba na kusali pia msiogope mnaona Mungu ametuonesha vitu tulikua hatuvijui siku zote tulikua tunaishi nae dada wa kazi bila kujua haya yote.
Baada ya kuona hivo ananyooshea Kachanga na kusema shangazi unaona umeniponza sasa shangazi umeniponza nikaanza kumemea huku namuamuru aseme yeye ninani. . na anataka nini akawa kafumba mdomo kwa nguvu namuamuru aseme wapiiiiii. .amuru wapiiiiii. .Badae akasema tu ametumwa na shangazi yake Kachanga huku akitaja jina lake halisi ( dada wa mume wa dogo ) .tukaendelea kukemea badae akawa anasema ana njaa na amechoka anaomba chakula na maji ( sasa nikawaza njaa imetoka wapi wakati tulikula kabla ya kuanza maombi? ? kumbe pale hakuwa katika hali ya kibinadamu bali alikua na hali ya kishetani / kichawi ambayo walimpa kazi hio ya kuja kuua Kachanga usiku huo ambao tulikesha kwenye maombi ila ndio akakutana na moto wa yesu maombi makali na songombingo hizo na kuishiwa nguvu hivo kudondoka )
kwahiyo ile njaa na kiu ni kutokana na nguvu ya mungu iliyokua ikifanya kazi hivo aliishiwa nguvu. na mtu wa hivo au pepo ukimpa maji au chakula tu unamuongezea nguvu upyaa .. hatukumpa chochote na baadae aliishiwa nguvu kabisa akawa kama anasota kuelekea ukutani kwenye kona ya sebule na kisha kushtuka kama mtu aliyekuwa usingizini akiwa na akili ya kibinadamu huku akitushangaa na kulalamika mbona a najisikia amechoka sana viungo vyote ??
hapo saa 11 asubuhi nikawaambia wote tulale. .tulilala hapohapo sebuleni tulitoa magodoro ila watoto walikuwa wanamkimbia na kumuogopa sana houseg hata kama yupo kwenye hali ya kawaida ya kibinadamu wakimuona mbioooo.
kesho yake Nikamwambia twende kanisani tukaenda.
Huko sasa alikuwa na mapepo kama 7000 hivi. .kumbe huyo houseg nae kwao ni wachawi. .wale wachawi nuksiiii walimuombea akasema yoooote aliyowafanyia . .( aliweka dawa na hirizi chini ya kitanda anacholala mama na mtoto kilasiku , aliwalisha dawa kwenye chakula nyingine alimuwekea kachanga kwenye kiganja cha mkono wa Kushoto usiku kiuchawi -hii usiku huo alikuja kuelekezwa na shangazi mtoto wakamuwekea mtoto ili atakapotimiza mwezi mmoja kamili waje kumchukua kiuchawi kwa urahisi )watu aliowaua watano Kachanga alikua wa 6 ila ameshindwa. .ilichukua wiki nzima akiwa kanisani huko huko alikua na madude mengi sana. .ambayo wakati anaombewa kila mmoja alikuwa anaongea sasa upande wa kwao binti na shangazi Kachanga. ..
yaliyotushangaza ni ya wifi mtu upande wa ukweni kwa dogo huko aliyetaka kumuua kwa kumchukua kiuchawi mtoto wa kaka yake kwakua kaka yake huyo ( baba Kachanga )alikataa kushirikiana nao katika mambo yao ( ya kichawi )
Muda mrefu sana walimwambia kuungana nao lakini alionekana kutovipenda / kuchukia hayo mambo ya kichawi na hataki hata kuvisikia wakati kwao ukoo ulimchagua na kumuona yeye ndiye mwenye nyota na anafaa kuwaongoza lakini alikataa hivo watawasumbua mke na watoto wake ..
pia sababu nyingine ni kwakua Kachanga alikua mtoto wa kwanza ..wachawi wanaita watoto wa kwanza nikama lango sijui lango la wapi hata ndiomana huenda kuchukua watoto wakwanza..... pia mtoto huyo Ana nguvu sana lakini pia watoto na vijana wa kiume wanapendwa na wachawi kwakua wana nguvu nyingi tofauti na wanawake hivo husaidia kazi nyingi huko kuzimu pia husaidia kunyanyua wazee wasio na nguvu huku kuzimu hivo angemchukua Kachanga angemlea mpaka angetimiza miaka 13 au 14 ( sikumbuki vizuri )angeanza kumtumia
itaendelea
Cc Smart911
Kuna kipindi nilikua natumia Misukule mno,kulimia ila roho inanisuta mpaka nimewakimbia washkaji
ambao walikua wananiuzia
Machache usiyoyajua Gamboshi zipo mbili Kuna moja ipo Mwanza na nyingne Zanzibar eneo la Bumbwini.hata hivyo nimezoea kwenda hasa Gamboshi ya Mwanza kununua vifaa,misukule pamoja na Dawa mbalimbali kibiashara.
All in All sipo huko tena na sirudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu wanazingua kinoma.Naanza kuamini kuwa shetani akizeeka anakuwa malaika na huu Uzi mwisho wake naona ndo umefika, naona wale wamakanisa ya baba baba nimeona ufalme wako baba ndo wameshika uskan na Yale mastori yetu ndo hakuna Tena
Mkalamo ipo pangani, Tanga
Msukule hautumiwi na mshirikina peke yake Mkuu,Mimi nilinunua Mara moja nikashindwa masharti nikamrudisha,so nikawa nalipa fedha kwa Mshirika(Mchawi) Nampa na eneo nalolitaka kufanyiwa kazi na si kilimo pekee kazi nyingi wanafanya tofaut na ulimaji.Kufika ukauziwa musukule wa kulimia ina maana na wewe ni mshirikina,je huko mwanza gamboshi iko wilaya gani, wanapokuwa wamalima hao musukule wewe wawaona live au unapeleka order then unakuta shamba limelimwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkalamo ipo wilaya ya Pangani mkoani Tanga.
Duh aisee..hapo Ni mtihani.
Ni kuomba hekima ya Mungu iwaongoze Cha kufanya.
Ningekuwa Mimi ningeshauri au kuwaomba kwamba wawape muda.mambo yatakapotengamaa Basi watamchukua mtoto wao.
Nimependa msimamo wa maombi wa huyo shemeji yako,
Watu wengi hukata tamaa Mambo yakiwazonga wanachanganya Na kwa waganga wa kienyeji na Mambo ndipo huanza kuwa mabaya zaidi kwa sababu uchawi hauwezi kutolewa na uchawi.
BTW yote yatapita,hata Hilo litapita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aisee..hapo Ni mtihani.
Ni kuomba hekima ya Mungu iwaongoze Cha kufanya.
Ningekuwa Mimi ningeshauri au kuwaomba kwamba wawape muda.mambo yatakapotengamaa Basi watamchukua mtoto wao.
Nimependa msimamo wa maombi wa huyo shemeji yako,
Watu wengi hukata tamaa Mambo yakiwazonga wanachanganya Na kwa waganga wa kienyeji na Mambo ndipo huanza kuwa mabaya zaidi kwa sababu uchawi hauwezi kutolewa na uchawi.
BTW yote yatapita,hata Hilo litapita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiachane..Wenyewe walisurrender wakasema mtoto atawatafuta mwenyewe badae akikua dogo nae adai kammisi mumewe na muda mwingin ananitoroka anaenda badae anarudi tehteh. .anasema as long as mumewe hasapoti uchawi mungu atawatetea
Ila sisi kama ndugu sasa ndio hatuelewi tunataka waachane kwani familia nzito ile
Cc Smart911
Msukule hautumiwi na mshirikina peke yake Mkuu,Mimi nilinunua Mara moja nikashindwa masharti nikamrudisha,so nikawa nalipa fedha kwa Mshirika(Mchawi) Nampa na eneo nalolitaka kufanyiwa kazi na si kilimo pekee kazi nyingi wanafanya tofaut na ulimaji.
Hapana Mimi si mshirikina mteja wao tu kwa wakati huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukule hautumiwi na mshirikina peke yake Mkuu,Mimi nilinunua Mara moja nikashindwa masharti nikamrudisha,so nikawa nalipa fedha kwa Mshirika(Mchawi) Nampa na eneo nalolitaka kufanyiwa kazi na si kilimo pekee kazi nyingi wanafanya tofaut na ulimaji.
Hapana Mimi si mshirikina mteja wao tu kwa wakati huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wazazi wetu tunawakosea kila siku, pengine tuna tabia mbaya zinazofanya tugombane nao kila wakatiUlimkosea nini mpaka akasema amekusamehe?
Kunapokuwa na tatizo na suluhisho lazima liwepoNaanza kuamini kuwa shetani akizeeka anakuwa malaika na huu Uzi mwisho wake naona ndo umefika, naona wale wamakanisa ya baba baba nimeona ufalme wako baba ndo wameshika uskan na Yale mastori yetu ndo hakuna Tena