Sihusudu Ushirikina ujue.. Ila madame wahuni wakikuotea na Kukutoboa ndio utakumbuka.
Shangaa na wewe ndugu yangu, huko juu kuna watu wamesimulia walipopatwa na maswahibu walienda kwa waganga wakapona na sijaona watu wakitoa povu.... sasa kuna ubaya gani mtu akisema aliponea kanisani maana povu linalotolewa sio la hapaMhh, Mkuu mbona povu. Mi sijaona ubaya hapo. Maana wameconnect hayo makanisa na nguvu za giza walizofanyiwa. sasa tatizo lipo wapi. si wanatoa na solution. Au ulitaka salution iwe kwamba walienda kwa waganga wa kienyeji. ukiona unachukia sana mambo ya MUNGU au unakereka sana ukisikia habari za MUNGU basi ujue kuna tatizo mahali
Haya. Kila la heriSihusudu Ushirikina ujue.. Ila madame wahuni wakikuotea na Kukutoboa ndio utakumbuka.
Sifuatilii yoyote yanayohusu vitu hvi ila Nina mkosi wa kusingiziwa mambo mimi acha tu..
Ngoja nijifikirie..ikinipendeza nitaweka.
Kuna dawa hazitakiwi kuvuka mto.. fortunately lazima malagarasi uivuke.
Will do the necessary binti
Hii imetokea wiki iliyopita jumatano..
Nilienda kumtembelea rafiki angu fulani tumeanza nae lakwanza ila alipofika form four alifukuzwa shule, sababu kuu alipiga ofisi nzima ya walimu akiwa mwenyewe. Walimu walikua wanatumia kumpiga na viti ila hakutoka hata nundu ila walimu wote wa kiume aliwachakaza vibaya..
Je aliwezaje kuwapiga mwenyewe.?
Huyu rafiki angu alichanjwa dawa fulani inaitwa Vidono ambavyo vinamuongezea nguvu pia ukimpiga kwa siraha yoyote ile haumii wala kuvimba. Siraha inayoweza kumuumiza mtu mwenye vidono ni wembe tu kwakua wenyewe ndio ulio mchanja dawa.
Sasa siku hiyo jumatano tukawa tunakumbushia tukio hilo la kupiga walimu nikamwambia wale walimu wangejua wangechukua nyembe wangekuweza..Akasema kwake hata wembe haufanyi kazi maana kidono alichokula ni extra ordinary wembe haushiki. Nikabisha.
Alinieleza kua yeye ukimchana na wembe unaweza kumchana ila damu hazitoki kama mimi na wewe zinavyotoka..ukimchana zinaganda hapo hapo. Nikabisa.
Alienda chumbani akachukua wembe akajichana kwenye msuli wa mkono damu zilitoka kweli lakini hazikutiririka kwa maajabu kabisa baada ya dk tano kile kidonda kilikua kimeshapona kabisa kama hakuna kitu kilichotokea.. Nilishangaa sana hili tukio.
Nafahamu aina nyingi za vidono na nishawahi kuwa navyo siku za nyuma ila cha huyu jamaa ni kiboko akanieleza jinsi alivyochanjwa weeee na madawa yakiyotumika nikabaki nimeduwaa..
Hua twaona tu kwenye muvi za X men wolverine anachanwa kisu hapo hapo anapona ila hiyo siku nilithibitisha kua things are real in this world.
Niliharibu vidono makusudi kabisa maana mm sio mgomvi wala sijichanganyi kwenye makundi ya watu ila hua nikifikiria wale wahuni wa Kigigo,gongolamboto,Karakata,Sombetini,Ngarenaro, mianzini,Matejo,Sinoni,ungalimited No way itabidi nivitafute asee
Shangaa na wewe ndugu yangu, huko juu kuna watu wamesimulia walipopatwa na maswahibu walienda kwa waganga wakapona na sijaona watu wakitoa povu.... sasa kuna ubaya gani mtu akisema aliponea kanisani maana povu linalotolewa sio la hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa mchawi huyo maana kutajwa kwa makanisa kunamuumiza Sana nafsi yake.
Wote wanaotokwa na povu wapuuzieni tu,
mahondaw, Tanayzer endeleeni kutiririka tuendelee kujifunza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba sitak kujihusisha na mambo haya
MuhhhKuna kipindi nilikua natumia Misukule mno,kulimia ila roho inanisuta mpaka nimewakimbia washkaji
ambao walikua wananiuzia
Machache usiyoyajua Gamboshi zipo mbili Kuna moja ipo Mwanza na nyingne Zanzibar eneo la Bumbwini.hata hivyo nimezoea kwenda hasa Gamboshi ya Mwanza kununua vifaa,misukule pamoja na Dawa mbalimbali kibiashara.
All in All sipo huko tena na sirudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli uchawi Upo tena uhakika
Mimi Nina visa 3 mwenyewe kwenye maisha yangu.
Cha kwanza kilinitokea nikiwa na miaka 6 mwaka 92 na cha pili kilinitokea mwaka 2008 nikiwa mkubwa na elimu yangu kwa hakika uchawi Upo tena sana
Mwisho nilipanga nyumba mtaa wa mecco Mwanza nyumba nzuri ipo katikati ya nyumba nyingi sana nikalipa zangu kodi 1.5m kipindi hiko nimehamia mwanza kikazi Niko zangu single
Usiku nilichapwa viboko sijawahi Ona ananichapa simuoni kesho yake nikasema labda ndoto,saa 2 tu usiku bakora za kutosha,nikaamua kwenda kulala guest asee
Baada ya siku nikahama
Hii nyumba mpaka leo ipo pale mecco kwa ambao hamuamini uchawi nenda kashuhudie mwaka wa 6 haina mpangaji wala binadamu anaishi pale
Waganga na waombaji hawajafua dafu
Inasemekana walimuua mwenye nayo wakaidhurumu malipo ndio hayo.
Tatizo ni kwamba sitak kujihusisha na mambo haya
Unaamini kua naweza nikafanikisha kuuandika??Nahitaji uniandikie proposal flan hivi nikaiombee funds kwa wafadhili.
Thats a deal
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuuUnaamini kua naweza nikafanikisha kuuandika??
Good question....!!!!Sure mkuu. Huenda mchawi alimfanya amuone mke wake ni mchawi kumbe wala. Alichofanya mtoa mada cha kumuacha mkewe ni upungufu wa imani wa kiwango cha juu sana. Akiota yeye mwenyewe kageuka mbwa atajikataa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ni jirani yangu tuKwanini wewe ndio uliyeuliza?
Sawa mkuuHaya twaweza saidiana kufanikisha Lengo lake
hahahahhhh..Hujajibu niliyouliza.
Hayajanikuta yapi?
Na yakinikuta utajuaje yamenikuta kwa sababu ya uchawi na si kwa sababu nyingine yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaamini kua naweza nikafanikisha kuuandika??