Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Shangaa na wewe ndugu yangu, huko juu kuna watu wamesimulia walipopatwa na maswahibu walienda kwa waganga wakapona na sijaona watu wakitoa povu.... sasa kuna ubaya gani mtu akisema aliponea kanisani maana povu linalotolewa sio la hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tz ingetoa mabingwa wa ndondi duniani,UFC nk kama kweli hiyo dawa inafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa mchawi huyo maana kutajwa kwa makanisa kunamuumiza Sana nafsi yake.
Wote wanaotokwa na povu wapuuzieni tu,
mahondaw, Tanayzer endeleeni kutiririka tuendelee kujifunza..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 

= wakaidhulumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…