Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Nani Ngabu mwenyewe kaenda US kwa msaada wa wataalam kutoka Gambosh.
Acha kubisha bisha kwenye mysterious things.
Uchawi hauchunguzwi kwa darubini wala telescope.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo umeandika Nani Ngabu wakati mimi namzungumzia Nyani Ngabu.

Uchawi ni nini? Utajuaje huu uchawi na hiki ni kitu sijakijua tu lakini si uchawi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vidono

Uchawi wa watu wa kigoma.usithubute Mr polymath

Siku unakata roho utateseka sana nishashuhudia waliochanjwa wakifa huwa wanaangaika sana mpaka huruma wanakiona chamoto

Halafu sasa unachanja nadhan ni shida unajitafutia maana kuna wengine ukiwapiga panga hawakatiki sindano haipiti siku ukiumwa ukiitaji sindano hapo ndo hatari unaumbuka [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naskiaga tu almaarufu kwa jina la ndere ila naskiaga ikiisha makali unakataliwa hadi na kuku utakuwa na gundu balaa baada ya kuenjoy kwa mda hiyo ndo inaitwa price hapo ndo unalipia [emoji3]

All magic comes with a price..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine ukiona hivyo amiini katika dini

Labda ni kweli ni mchawi

Labda alikuwa na imani ikapungua ikatetereka baada ya kuona muumba anayemuomba amsikilizi amemletea maumivu na masononeko makubwa mnoo na kumchukulia vitu, watu wa muhimu kwake ilihali amebariki wengine na furaha na vitu na watu wa muhimu yaani kama kuna ubaguzi na kaupendeleo Fulani hivi so hakuna haja kuendelea kuomba au kuamini maana kuna upendeleo

Pengine labda kajiskia kuandika tu

Pengine ye dini tofauti na hiyo inayozungumziwa

So hao watu waacheni tu msiwajibu [emoji3]
Atakuwa mchawi huyo maana kutajwa kwa makanisa kunamuumiza Sana nafsi yake.
Wote wanaotokwa na povu wapuuzieni tu,
mahondaw, Tanayzer endeleeni kutiririka tuendelee kujifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Connection... Connection..[emoji3]

Mkuu we sio mchawi ila ulinunua misekule

Maswali yangu

Huwa unawanunua bei gani mfano mmoja anakuuzia bei gani au unanunua jumla kwa mafungu ?

Mmoja anauwezo wa kulima heka ngapi ?je hata kupalilia wanapalilia na kuvuna na kubebea magunia na kuyahifadhi vizuri ?maana vibarua sikuhiz wanazingua plus kukodisha tractor wanapiga sana watu cha juu

Vipi na kumwagilia wanaweza ? Na kuweka dawa? Wanafanya kazi kwa Masaa mangapi ? Na wanatakiwa wafanye kazi mwisho saa ngapi ?

Hivi hawa watu ukiwa nao 100 utawahifadhi wapi au kwenye chumba wanakaa hivohivo kimiujiza ? Ni lazima uwalishe ? Je kama ni lazima usipowalisha ni nini kitatokea Maana nlisikia wanakula unga

Unaweza kuwarudisha ktk hali yao ya kawaida ?


Nitarudi baadae kwa maswali zaidi






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye kuwa dini tofauti hakutuzuii kuandika tunachokiamini.
Kwani Nani amemkataza kuandika kuhusu dini anayoiamini yeye??
Nawashangaa wameshadadia kutuzuia tuache utadhani wao ndo wanampangia mtu nini ahadithie..
BTW tulishawapuuza ndiyo Maana hatukuagaika kuwajibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashart gn mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh Mbona hasara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh mkuu ilikuwa mwaka gani hii? maana nmesoma pale Gamba boys 2005
 
Duh Mbona hasara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote uchawi una hasara hauna faida

Na wakichanjiwa navyo wanakuwa na nguvu balaa mwanaume mmoja ana nguvu za wanaume kama kumi wa mikoani kwa hyo hawa watu sio wa kugombana nao watakupoteza mtu gani anapigwa hatoi damu ,hachaniki



Mfano kama kuna kundi mmekaa kuna watu wana vidono wamechanjiwa ikitokea mmoja ametibuka au vimpenda kichwani wakaribu yake kama wanavyo nao wanatibuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa style hii lazima mtu apate shida kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…