Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,389
- 2,025
Anaweza kua na kitu mfukoni ,akachanjiwa au akaweka mdomoni.Mkuu ongezea nyama zaidi kwenye maelezo.
Hapa mtongozaji anakuwa na kitu mfukoni mwake? Mdomoni au amechanjwa?
Tupe uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app