Don Carlos92
Senior Member
- May 8, 2018
- 157
- 188
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yoyote ambaye anakumbuka kipindi cha USWAZI cha Musa akiwa na Manyau Nyau? Manyau Nyau aliingia nyumba moja hivi Musa akawahoji tatizo ni nini hapa?
Wapangaji wakamwambia kuna ambaye anaishi kwenye hiyo nyumba ila hawamuoni.
Muda mwengine wakijisaidia haja kubwa wake kwa waume wanashangaa ghafla wanachambishwa halafu hawaoni mtu wala huo mkono uliyowachambisha!
Ni kwa vile hakujui na hakuna kinachomkwaza kuhusu wewe.Sasa kama mchawi kweli anashindwaje kuroga hadi kupata hizo access za majina yako kamili?
It's Scars
Nachotaka kujua mimi huyo mchawi hawezi kumjua mtu kwa kutumia uchawi wake?Ni kwa vile hakujui na hakuna kinachomkwaza kuhusu wewe.
Mwanzo wa uchawi au kuroga huwa ni kukwazika aidha kwa kumchokoza au hujamchokoza lakini anaumia na maendeleo yako.
Sasa wewe hakujui wewe ni nani na una nini atakuroga ili iweje?huoni hiyo itakuwa ni matumizi mabaya ya uchawi?unajua kuwa uchawi una gharama zake na huwa unauzwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aki ya mama hayatatoka mdomoni[emoji2] ,ukalie mishkaki meno ya watu yako umeyaweka reserve dah, ila wachawi wana roho mbayaa[emoji2][emoji2]Meno yako nayapenda siku moja nitakuja kuyaazima nikalie mishkaki.[emoji3][emoji3]
Soma post namba 42
soma post # 8 hata km hayawi kweli, lkn yapo, kuna jamaa mmoja wa Ifakara mtoto wa Bi Kalmbwana jamaa alinieleza wanaoga uchi kundi hakuna kugeuka wala kuongea. sasa ukisikia umeguswa nyuma/pakukalia kwanini usifeli?Mkuu hiyo ni stori tu wala haiwezi kua ukweli kama unavyonifahamu sijawahi kuamini katika uchawi
kua makini..jini ilo..ukichukulia poa linakuondoa. .take it serious..jiongezeCjawahi kuona mazingahombwe live Ila nimekuwa na tatizo la kuishiwa damu na hata Nile nini kuipandisha ni mitihani. Hili tatizo Sikuwa nalo kabla. Tatizo lilinianza baada tu ya kuishi wilaya flani kibiashara ambapo nilipigwa vita sana niifunge ile biashara nikakomaa.
nashukuru umemwambia...akichukulia utani ataondoka kweli
Anarudi hata kama ameondoka miaka 20 as long as una uhakika Bado yupo hai.apo kwenye kurudisha msukule....nna shida napo...kuna mganga anaiweza iyo kazi..? maana kuna mtu.nampenda kweli na walimchukua msukule..na hata kila siku namuota ila haongei...nahisi washamkata ulimi....nahitaji sana kama kuna mtu anaiweza iyo kazi
Meno yako bado makali yangu yashakuwa butuAki ya mama hayatatoka mdomoni[emoji2] ,ukalie mishkaki meno ya watu yako umeyaweka reserve dah, ila wachawi wana roho mbayaa[emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
achana nae falasi uyo..anajifanya anaongea kingereza na elimi ya wazungu..akati mezani kuna dili la wazungu wanataka msukule mwenye sifa fulani wakafanyie kazi zao..na wazungu hao anaowaamini nao ni wachawi balaa
nipe contact za uyo mtaalamu pm na za kwako...maana nishapeleka hela kwa wasio weza kazi mpaka nikaamue nistop kwa mda...naamini wapo wakali wa hizo kaziAnarudi hata kama ameondoka miaka 20 as long as una uhakika Bado yupo hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, sasa nyama za nini wakati huna menoo, pambana na hali yakoo [emoji23]Meno yako bado makali yangu yashakuwa butu
😀😀 Nyama ilivyo tamu hasa ya yule mnyama anayepigwa vita kila siku.Aisee, sasa nyama za nini wakati huna menoo, pambana na hali yakoo [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app