Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Hivi kwa nn wanapenda kuharibu watt wenye akili? Ndo mana tu masikini ,wangeloga wale maboya wawe na akili

Sent using Jamii Forums mobile app
Kikubwa nadhani ni kuharibia tu watoto wa wenzao ili wasifanikiwe, maana pia kuna jamaa yangu alivunjika mguu akiwa anacheza mpira, Ile mguu hospital haukupona, kufatilia fatilia ikaja kuonekana kumbe kisababishi cha yote ni mke mdogo wa Baba yake, maana huyu jamaa yangu ni mtoto wa mke mkubwa so chuki za mke mdogo zikamfanya amrogee mtoto wake ili awe mlemavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna watu wanajua kuroga jamani..khaaa!! Msituuu....!!?? Nimejikuta navuta picha nje mjengo fresh ndani Kuna msitu...[emoji23][emoji23][emoji23] Daah!

Sent using Jamii Forums mobile app
In chines medhod:-
Atayenunua aivunje yote atoe vifusi vyote akatupe mbali sana,hapo penye kiwanja apachimbe mita 2.5-3,pia autoe udongo wote akautupe mbali sana then hilo shimo ajaze udongo mpya afanye leveling aangushe mjengo wake swaafi sana.
n.b.waswahili wanatahia ya kufukia majini chini kwenye vichupa,babae zao.
 
In chines medhod:-
Atayenunua aivunje yote atoe vifusi vyote akatupe mbali sana,hapo penye kiwanja apachimbe mita 2.5-3,pia autoe udongo wote akautupe mbali sana then hilo shimo ajaze udongo mpya afanye leveling aangushe mjengo wake swaafi sana.
n.b.waswahili wanatahia ya kufukia majini chini kwenye vichupa,babae zao.
Kwakweli afanye tu hivyo lasivyo ataijutia pesa yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa cha 03

Hichi kisa nilihadithiwa na mzee Fulani nilipata kuzoeana alikuwa rafiki tu na tulikuwa tukikutana nae katika vijiwe vya kahawa maana nlikuwa napenda jion nikae na wazee nipate mawili matatu nae alikuwa mganga wa kienyeji huyu mzee alikuwa na mtoto wake mkubwa nae alikuwa mganga ila alishakufa


Story ni hivi anasema mwanae ktk shughuli za uganga alikuwa akisaidiana nae siku moja akaletwa mmama wa makamo kama mwenye late 40s kwa kukisia anasema alikuwa ametupiwa majini kwa hyo aliachwa hapo auguzwe basi wakaanza kumtibu yule mmama akapandisha majini wakawaambia sisi hatutaki kutoka kwenye kichwa cha huyu mtu nyie wadanganyeni tu walieni pesa zao waambieni kapona na sisi tutatulia kwa mda ila sisi msitulazimishe kutoka laasivyo tutakuja kwenu


Mzee akaguna halafu ukicheki ktk kipindi chote cha uganga hajawahi kutana na mgonjwa mgumu kama huyo akamwambia mwanangu embu tumuache naona kama roho haitaki nifanye hivo mwanae kwa kutaka sifa akamwambia kama baba umeshindwa kazi kwa uwoga wako niachie Mimi yule mzee akakaa zake pembeni akawa mtazamaji akasema sawa



Basi kijana akapiga kazi kwelikweli na akafanikiwa kuwatoa na hio kazi ilimpa sifa kweli na pesa maana wenye mgonjwa walishakata tamaa lakini wakashangaa mfumbuzi kapatikana walifurahi sana anasema kazi ilianza alfajiri ikaisha saa sita mchana


Jioni mzee akiwa kwenye kijiwe chake cha kahawa anaambiwa wahi haraka nyumbani maana walikuja vijana kumpa taarifa kijana wake walimuokota njiani na damu puani mida ya saa Tisa ameanguka mzee akawahi haraka nyumban kujua kulikoni na akamkuta kijana wake anahema kwa shida akamuuliza kulikoni

Mwanae akasema baba nilikuwa napita barabarani sasa nikakutana na watu wawili wamevaa mavazi ya rangirangi halafu warefu mno wakanisimamisha kwa kupeana mkono walikuwa na vidole vyembamba virefu wakanisalimia nikajiuliza hawa watakuwa wa kina nani au wateja nini lakini wakaniambia "we si tulikwambia usitutoe lakini hukutuskia sasa tunakuja kwako" jamaa hapohapo kizunguzungu akazimia ndo akashtuka yupo kwao kitandani akujua kilichoendelea


Yule mzee alimuugua mwanae siku hiyohiyo kesho yake jioni mwanae alikutwa amekata ringi kitandani na damu zikitoka puani

Anamalizia kusimulia hvyo akaniambia kijana wangu we ni mgeni ktk huu mji na dunia kwa ujumla kuishi kingi ni kuona mengi hii dunia INA mambo ya ajabu ya kustaajabisha mwanzo sikumuelewa ila baada ya miaka kadhaa na mkasa mkubwa niliokumbana nao ktk maisha yangu japo sio wa uchawahi na hausiani na uchawi nilikuja kumuelewa dunia hadaa ulimwengu shujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusimulie huo mkasa
Kisa cha 03

Hichi kisa nilihadithiwa na mzee Fulani nilipata kuzoeana alikuwa rafiki tu na tulikuwa tukikutana nae katika vijiwe vya kahawa maana nlikuwa napenda jion nikae na wazee nipate mawili matatu nae alikuwa mganga wa kienyeji huyu mzee alikuwa na mtoto wake mkubwa nae alikuwa mganga ila alishakufa


Story ni hivi anasema mwanae ktk shughuli za uganga alikuwa akisaidiana nae siku moja akaletwa mmama wa makamo kama mwenye late 40s kwa kukisia anasema alikuwa ametupiwa majini kwa hyo aliachwa hapo auguzwe basi wakaanza kumtibu yule mmama akapandisha majini wakawaambia sisi hatutaki kutoka kwenye kichwa cha huyu mtu nyie wadanganyeni tu walieni pesa zao waambieni kapona na sisi tutatulia kwa mda ila sisi msitulazimishe kutoka laasivyo tutakuja kwenu


Mzee akaguna halafu ukicheki ktk kipindi chote cha uganga hajawahi kutana na mgonjwa mgumu kama huyo akamwambia mwanangu embu tumuache naona kama roho haitaki nifanye hivo mwanae kwa kutaka sifa akamwambia kama baba umeshindwa kazi kwa uwoga wako niachie Mimi yule mzee akakaa zake pembeni akawa mtazamaji akasema sawa



Basi kijana akapiga kazi kwelikweli na akafanikiwa kuwatoa na hio kazi ilimpa sifa kweli na pesa maana wenye mgonjwa walishakata tamaa lakini wakashangaa mfumbuzi kapatikana walifurahi sana anasema kazi ilianza alfajiri ikaisha saa sita mchana


Jioni mzee akiwa kwenye kijiwe chake cha kahawa anaambiwa wahi haraka nyumbani maana walikuja vijana kumpa taarifa kijana wake walimuokota njiani na damu puani mida ya saa Tisa ameanguka mzee akawahi haraka nyumban kujua kulikoni na akamkuta kijana wake anahema kwa shida akamuuliza kulikoni

Mwanae akasema baba nilikuwa napita barabarani sasa nikakutana na watu wawili wamevaa mavazi ya rangirangi halafu warefu mno wakanisimamisha kwa kupeana mkono walikuwa na vidole vyembamba virefu wakanisalimia nikajiuliza hawa watakuwa wa kina nani au wateja nini lakini wakaniambia "we si tulikwambia usitutoe lakini hukutuskia sasa tunakuja kwako" jamaa hapohapo kizunguzungu akazimia ndo akashtuka yupo kwao kitandani akujua kilichoendelea


Yule mzee alimuugua mwanae siku hiyohiyo kesho yake jioni mwanae alikutwa amekata ringi kitandani na damu zikitoka puani

Anamalizia kusimulia hvyo akaniambia kijana wangu we ni mgeni ktk huu mji na dunia kwa ujumla kuishi kingi ni kuona mengi hii dunia INA mambo ya ajabu ya kustaajabisha mwanzo sikumuelewa ila baada ya miaka kadhaa na mkasa mkubwa niliokumbana nao ktk maisha yangu japo sio wa uchawahi na hausiani na uchawi nilikuja kumuelewa dunia hadaa ulimwengu shujaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.hii nimeikuta mahali nimeona ni share
IMG_20191228_194722_661.JPG
Screenshot_20191228-194559.jpeg
Screenshot_20191228-194614.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uchawi upo kweli naamini upo,

Siku hiyo tunaandika wapiga kula kijiji fulani kinaitwa chokaa,kata ya rundugai , bwanaweee kwenye kupita nyumba kuomba tulilaze lili BVRmachine sio ndio kukutana nguo zimeanikwa zinaning'inia ila kamba haionekani
Hahaha BVR kit operator! ukafanyaje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi

Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri

Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma

Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma

Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea

Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge

si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.

wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.

Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele

Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi sio mnafiki! Ila mimi Niko pamoja na Kiranga kwa sabababu majibu yake yananiingia akilini mi huwa siamini kitu ambacho huwa hakiniingilii akili mfano yesu,shetani,Petro,mMohammed,kujilipua no
Mi nahisi ni mipango
Thanks
 
Back
Top Bottom