Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Pole mkuu juzi tu tarehe 26 nilikuwa Bukokwa hadi sukuma ni kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nilivyoyaona hayo mazingira yalivyo na wasukuma wengi nilihisi kutakuwa na uchawi mwingi
Uchawi ni kweli Upo, Nikiwa Nimeenda Kurudia Shule Baada ya kukosa Nafasi ya kujiunga Form One 1994..Baba yangu Mkubwa..Tumbo moja na Baba Alikuwa anafundisha Shule ya Msingi Nyabhutanga Jimbo La Buchosa wilaya ya Sengerema 1990--1995.. Mzee wangu Alikuwa Anatembeza Bakora kama hana Akili nzuri siku moja Akachapa mwanafunzi wa Darasa la 6 na inasemekana Alikuwa hachapwi na walimu sababu ya Mama yake kuogopwa kwa Uchawi.. sasa baada ya Kwenda kushitaki kwa Mother yake, Saa 2 Usiku mother mtu Alikuja kumuonya Mzee wangu Home Asirudie tena kumchapa Binti yake.. Mzee Akamwambia Asimtishe na Asirudie tena kuja kumletea vitisho..

Siku nyingine tena Miezi kama 3 Baada ya Tukio la mwanzo.. Yule Binti sijui Alikosea nini bhana Mzee Akamcharaza tena Bakora za Kutosha, mother usiku saa 1 Akaibuka home Kwetu Akamfokea sana Mzee wangu na kumuonya tena, Sasa Ba mkubwa Alivyokuwa mbishi sijui nini kilimpa si Akamdaka yule mother Akaanza kumtembezea Bakora za kutosha hadi walimu Jirani wanakuja kuamua Alikuwa Amemvuruga sana.. Hakwenda Polisi wala Hospital Alijiuguza hadi Akapona.. mwisho kwa Ile Fedheha Akahama Kijiji. Lakini mwaka Mmoja Baadae Ba mkubwa Akiwa Anakunywa Pombe kijiji Jirani cha Bukokwa Alishangaa Kumuona Yule mother Akiwa miongoni mwa wahudumu, Akashangaa Sana Ile bado Akiwa hajui La kufanya Akamwambia Afanye Matengenezo ya maisha yake Kisha ghafla kama upepo Akapotea.. Ba mkubwa Akiwa na Pombe kidogo kichwani Alimpuuza Lakini Alikuja Kutusimulia Kesho yake..

Baada ya Mwezi mmoja Ba mkubwa Akiwa Anatoka Kijiji cha Sukuma Akija Nyabhutanga Usiku Kama Saa 6 hivi Akiwa Anaendesha Baiskeli Ghafla Aliona Fuso Linakuja kwa kasi(Na kwa siku hiyo huo muda Hakuna Gari lilikokuja hapo kijijini kwa muda huo) Alijaribu kulikwepa na Kuishia kuanguka na kupoteza Faham. Alikaa Sengerema Hosptl miezi 3 baadae Tukamhamishia Bugando..Baada ya miezi 3 Akiwa Bugando Hospital Alifariki.. Huwa Naumia sana Kila nikitafakari tukio Hilo Maana Nilikuwa Nasomea Hapo kwake na Ndo Alikuwa kila kitu kwangu kwa wakati huo..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gwajima si ndio ilikuwa kazi yake??
apo kwenye kurudisha msukule....nna shida napo...kuna mganga anaiweza iyo kazi..? maana kuna mtu.nampenda kweli na walimchukua msukule..na hata kila siku namuota ila haongei...nahisi washamkata ulimi....nahitaji sana kama kuna mtu anaiweza iyo kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa dodoma mtaa wa chang'ombe mwaka 2000 nilikua na rafiki mmoja ambae baba alikua mwanajesh(mzigua) na mama nesi ,wazazi wa huyo rafiki niliekua nae walitumia stuli kuhifadhia pesa,ilizibwa pande zote kwa vipande vya sealing board,
Wakati wa likizo moja ya mwezi wa sita ,huyo fafiki yangu alikua akija na pesa na tukatumia kwa mambo tuliojua wenyewe kwa wakati huo,
Alikua akiiba pesa kwa zaidi ya wiki tatu,jioni moja alipanga kuleta pesa ili twende club moja maarufu kama NK ,alikamatwa na bibi yake akitokea chumbani kwa wazazi wake na pesa,

Baada ya baba kurudi kazini ilikua ni kipigo cha mbwa mwizi,
Siku moja baada ya kipigo kwa huyo rafiki yangu nilifuatwa asubuhi na bibi yake akitaka nimpe kila alichoninunulia mjukuu wake,mimi nikatoa saa niliyokua nimevaa mkononi na kumkabidhi

Kilichofuata ni kuumwa magonjwa yasioeleweka,kila hospital walisema hawaoni kitu,ilikua navimba kiungo kimoja baada ya kimoja kwa kulala tu ,hata kama ni mara nne kwa siku bas nitavimba sehemu nne tofauti.
Niliish na mama wa kambo peke yake wakati huo huku mzazi wangu(baba) akiwa safarini kikazi,
Ilimbidi atafute njia mbadala (mtaalamu wa jadi) ili niweze kupona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kahawa kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]

I remember back in the days in the village when i used to trick boda guys..because our house was close to a cemetery.Once i climbed the bike i would stuff my nostrils with cottonwool without him knowing. Then when we got infront of the cemetery i would scare him and he would run for his life! On this fateful day, i boarded the bike as usual and stuffed my nostrils with cottonwool.when we got to the cemetry i scared him but this time he just stared at me.I danced all the ghost songs i know..but he didnt even move.I even spoke pidgin "oga..you no dey fear ghost!?" nothing happened.He got up and held my shirt "nipatie pesa zangu mjinga ii" I begged the guy to calm down and let me get it for him..i went into the cemetry as he held my shirt and followed me.As i was walking..i jokingly knelt down on a grave and knocked on it "Habari..nsaidie na 200 nipatie hii ghasia iniachilie" i thought this would scare the guy..but nothing! kidogo kidogo a hand stretched out from the grave holding 200/- note "chukua hii na unirudishie ukipata" My brothers and sisters..to date..i still dont know who carried who between me and the bikeman out of that cemetry.ile kitu nakumbuka tu ni nilijipata juu ya pikipiki at a neighbouring town.As for the bikeman sijui alienda wapi..i still have the bike parked at home [emoji23][emoji23].whenever i pass by that place,i always see my one pair of gucci shoe that fell off as i was running [emoji23].It is not that i cannot go and get it oooo...just that i dont like gucci stuff anymore.Infact..i dont like shoes again!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Happy 2020 Fam!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kahawa kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]

I remember back in the days in the village when i used to trick boda guys..because our house was close to a cemetery.Once i climbed the bike i would stuff my nostrils with cottonwool without him knowing. Then when we got infront of the cemetery i would scare him and he would run for his life! On this fateful day, i boarded the bike as usual and stuffed my nostrils with cottonwool.when we got to the cemetry i scared him but this time he just stared at me.I danced all the ghost songs i know..but he didnt even move.I even spoke pidgin "oga..you no dey fear ghost!?" nothing happened.He got up and held my shirt "nipatie pesa zangu mjinga ii" I begged the guy to calm down and let me get it for him..i went into the cemetry as he held my shirt and followed me.As i was walking..i jokingly knelt down on a grave and knocked on it "Habari..nsaidie na 200 nipatie hii ghasia iniachilie" i thought this would scare the guy..but nothing! kidogo kidogo a hand stretched out from the grave holding 200/- note "chukua hii na unirudishie ukipata" My brothers and sisters..to date..i still dont know who carried who between me and the bikeman out of that cemetry.ile kitu nakumbuka tu ni nilijipata juu ya pikipiki at a neighbouring town.As for the bikeman sijui alienda wapi..i still have the bike parked at home [emoji23][emoji23].whenever i pass by that place,i always see my one pair of gucci shoe that fell off as i was running [emoji23].It is not that i cannot go and get it oooo...just that i dont like gucci stuff anymore.Infact..i dont like shoes again!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Happy 2020 Fam!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa ina sikitisha kwakwel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka hiki kisa,

Mbeya mjini nilikutana na kisanga cha kubebeshwa mkojo na wazee wanacheza drafti, bao na kunywa kahawa,
Unakuta wanacheza wewe unaenda shangaa pale (mimi nilikua nasubiri coaster za usiku za dar) nimeshangaa wee baada ya dk 20 hivi nkabanwa mkojo nkarudi kwa mwenyeji nkamuomba anielekeze pa kujisaidia, nimerudi kujisaidia naenda kushangaa na kuskiliza stori zao, yaani ndani ya lisaa nilienda chooni mara 3, nkawa najisemea mapema yote hii hata maji sijanywa mkojo mwingi hivi?
Kwa sababu nilikua na safari niliogopa kunywa maji japo nilikua na kiu sana kwa hofu ya kusumbua gari njiani kuchimba dawa,

Gari ilivyokuja nkaanza pakia carolight zangu nkamaliza nilipotaka kurudi pale kuendelea kushangaa mwenyeji wangu akaniambia twende huku (hapo tunasubiri gari ijae abiria) tukakaa mahali tunapiga stori za hapa na pale ndio akaniambia nimekuona unabebeshwa mikojo tu hata huelewi, nkabaki namshangaa...
Ndio akaniambia ukienda shangaa pale kama hauko vizuri wale wazee wakiskia mkojo wanakubebesha wewe unaenda kuukojoa badala yao, yaani wanaweza kukaa asubuhi hadi jioni hata chooni wasiende ila wee kila mda unapiga ruti tu..
Hiyo ilikua mwaka 2010 pale uyole.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wallah nimecheka acha
 
Rombo kwa uchawi ni kawaida sana
Hii imewahi nitokea mkuu ilikua mkesha wa mwaka mpya usiku kama saa nane nimemsindikiza demu hadi kwao ile narudi ukapita mwanga mkali halafu wa moto kama jua wakati kulikua na giza totoro aisee zile mbio ingekua mashindano hata Hussein bolt ningemshinda

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom