Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Mimi binti yangu nkiniombea kitu kwa Mungu napata yaani mpaka huwa tunashangaa sana na mkewangu ni mdogo muaka mi nne tu ila huwa anaomba utamsikia Mungu naomba baba apate ela aweke mafuta atupeleke mikumi aisee keshoyake hata iweje lazima nipate pesa yakutosha tu ni mengi sana kanifanyia.

Sent using Jamii Forums mobile app
imani ya binti yako ni kubwa mkuu mtumie vizuri na kama akikua hivyo atawasaidia sana maana atakuwa kama mhimili wa familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saint anne Ushawahi kuona moto unawaka kitandani na hakuna alieuwasha? ? Na kitanda hakijaungua? ? Kitanda kinatikisika hakuna alietikisa earthquake ikasome Ushawahi ona? ? Ile umekaa na Kachanga kitandani mara vuup unaona kama shoti imepiga kitandani mara tatu. Paaaa moto unawaka unazima unawaka unazima na kitanda chumba chote kama tsunami inapiga Umewahi ona????!!
It happened nyumbani kwangu ...

Ilikua hivi. .
Kachanga kalipozaliwa tu ndipo kasheshe likipoanzia. Baada ya kujifungua tu dogo usiku alikua anaota kama ndoto ambazo kumbe hazikuwa ndoto bali ni uhalisia alikua anaota kama kuna mtu anakuja usiku anakua anamziba pua hivi na kumfanyia vitu ambayo wakati huo yeye anaona kabisa kama anafanyiwa ila akitaka kupiga kelele kuomba msaada hakuna anayemsikia yani sauti haitoki. .taka kupiga kelele za msaada wapi. .hata akitaka kumwita anaelala nae chumba kimoja hawezi.
Akiamka asubuhi ananihadithia kuwa dada tangu nilipojifungua usiku usiku natokewa nahivi na vile. .Mi nikawa namwambia kuna nguvu za giza zinakufatilia. .inaonekana zilikutafuta sana tangu ukiwa mjamzito lakini hazikufanikiwa stil zinakufatilia. Sali sana dogo dunia ina mambo mengi. (Nina imani kali sana mimi yani moyo wangu ukikataa kitu lazima kinakua hovyo au cha majanga yani ninachodoubt mara nyingi huwa hivo hivo kama nilivohisi )
Ikaendaa Ikaendaaa muvi yenyewe ilikua siku mtoto ametimiza mwezi mmoja kamili yani the same tarehe amezaliwa mwezi uliopita wakuuuuu. .omba yasikukute kumbe Tarehe 15 kuamkia 16 ndipo wifi mtu( mkuu wa wachawi na team yake walikuja kumchukua mtoto na hapo nyuma housegal alikua ameshampa dawa mtoto nyingine alishamnywesha na kuwafanyia vitu kadhaa kwa kulazimishwa nahuyo wifimtu . Walijuanaje mimi mwenyewe nilishangaa sana.)Kwani baada ya wiki kadhaa ndiye aliyekua anawahudumia mama na mtoto
Mtoto alizaliwa tarehe 16 sasa Ile tarehe 15 usiku wakati tumelala dogo aliona kama kuna mtu ambae alikua ni mdada alikuja na kuwa kama anachukua mkono wa dogo ( mamamtu) na kuupeleka shingoni kwa Kachanga dizain kama anamlazimisha mamamtu amkabe mtoto..dogo akawa anatoa mkono ile ya kukataa huyo dada anamlazimisha kumkaba mtoto dogo anagoma vutana vutana dogo anaishiwa nguvu badae akashtuka na kumuangalia mwanae mtoto alikua analia sanaaaaaaaa. . Akasali na kulala asubuhi akaja kuniambia tena dada usiku nimetokewa na hivi. .
Ile kunisimulia nami nikakumbuka usiku huo huo wa tarehe 15 kuamkia 16 niliota ndoto kuwa mtoto( Kachanga ) gafla amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na mama yake yupo ukweni ila amekondaaaaa ngozi imekua kama mzee. .Hapo ukweni ndugu zake tumeenda kumuona ndugu yetu ila tunaona wanapitisha sahani zenye mapaja ya nyama za watu yaliyochomwa paja jekunduuuuu mara mikono ya watu lakini kama nyama ambazo watu wanakula. The same night kuna dada yetu mwingine yeye aliota mtoto wa dogo amefariki ila anaonekana yupo dirishani kwenye chumba fulani.
Niliposikia hayo ya dogo nikaunganisha ile ndoto yangu nilishtuka sana nikamwambia dogo jiandae leo mchana tunaenda kwa mchungaji hii hali si ya kawaida.
Ukapita mchana wote jioni imefika usiku saa 2 kasoro ndio nikashtuka OMG mbona hatukwenda kanisani kwa mchungaji? ? Nikamwambia dogo sasahivi vaa muache mtoto twende kanisani mara moja Kwani alijifungua kwa oparesheni. .na ndokwanza alikua anatimiza mwezi mmoja. Dogo akawa anasema aaahhh dada bwana usiku umeingia tutaenda kesho. .mimi roho ilikataa kabisa nikamlazimisha vaa twende anasema tutaenda kesho asubuhi dada roho iligoma kabisa nilisema hapana moyo wangu umegoma kulala leo bila kwenda kwa mchungaji huwezi jua .usiku mkubwa na roho haikubali kabisa kuacha kwenda
Akavaa tukaenda hapo saa mbili usiku..tukaenda hatukumkuta mchungaji tukamsubiri
Dada akamuhadithia kwa ufupi tu mchungaji akasema kwakua ni usiku wacha nimuombee kidogo ili awahi mtoto si akaanza kuomba troooobaaaa....
Dogo alikua kama wale wenye mapepo

NITAENDELEA KESHO NIKIPATA MUDA

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana.
Mnahitaji maombi Sana..
Napendekeza muanze wenyewe kuomba..maana hakuna mtu atakuombea vizuri kuzidi unavyojiombea mwenyewe.

Maombi Ni silaha.
Mimi sijawahi shuhudia hayo aisee na sitamani kushuhudia,huwa najitahidi Sana kusali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saint anne Ushawahi kuona moto unawaka kitandani na hakuna alieuwasha? ? Na kitanda hakijaungua? ? Kitanda kinatikisika hakuna alietikisa earthquake ikasome Ushawahi ona? ? Ile umekaa na Kachanga kitandani mara vuup unaona kama shoti imepiga kitandani mara tatu. Paaaa moto unawaka unazima unawaka unazima na kitanda chumba chote kama tsunami inapiga Umewahi ona????!!
It happened nyumbani kwangu ...

Ilikua hivi. .
Kachanga kalipozaliwa tu ndipo kasheshe likipoanzia. Baada ya kujifungua tu dogo usiku alikua anaota kama ndoto ambazo kumbe hazikuwa ndoto bali ni uhalisia alikua anaota kama kuna mtu anakuja usiku anakua anamziba pua hivi na kumfanyia vitu ambayo wakati huo yeye anaona kabisa kama anafanyiwa ila akitaka kupiga kelele kuomba msaada hakuna anayemsikia yani sauti haitoki. .taka kupiga kelele za msaada wapi. .hata akitaka kumwita anaelala nae chumba kimoja hawezi.
Akiamka asubuhi ananihadithia kuwa dada tangu nilipojifungua usiku usiku natokewa nahivi na vile. .Mi nikawa namwambia kuna nguvu za giza zinakufatilia. .inaonekana zilikutafuta sana tangu ukiwa mjamzito lakini hazikufanikiwa stil zinakufatilia. Sali sana dogo dunia ina mambo mengi. (Nina imani kali sana mimi yani moyo wangu ukikataa kitu lazima kinakua hovyo au cha majanga yani ninachodoubt mara nyingi huwa hivo hivo kama nilivohisi )
Ikaendaa Ikaendaaa muvi yenyewe ilikua siku mtoto ametimiza mwezi mmoja kamili yani the same tarehe amezaliwa mwezi uliopita wakuuuuu. .omba yasikukute kumbe Tarehe 15 kuamkia 16 ndipo wifi mtu( mkuu wa wachawi na team yake walikuja kumchukua mtoto na hapo nyuma housegal alikua ameshampa dawa mtoto nyingine alishamnywesha na kuwafanyia vitu kadhaa kwa kulazimishwa nahuyo wifimtu . Walijuanaje mimi mwenyewe nilishangaa sana.)Kwani baada ya wiki kadhaa ndiye aliyekua anawahudumia mama na mtoto
Mtoto alizaliwa tarehe 16 sasa Ile tarehe 15 usiku wakati tumelala dogo aliona kama kuna mtu ambae alikua ni mdada alikuja na kuwa kama anachukua mkono wa dogo ( mamamtu) na kuupeleka shingoni kwa Kachanga dizain kama anamlazimisha mamamtu amkabe mtoto..dogo akawa anatoa mkono ile ya kukataa huyo dada anamlazimisha kumkaba mtoto dogo anagoma vutana vutana dogo anaishiwa nguvu badae akashtuka na kumuangalia mwanae mtoto alikua analia sanaaaaaaaa. . Akasali na kulala asubuhi akaja kuniambia tena dada usiku nimetokewa na hivi. .
Ile kunisimulia nami nikakumbuka usiku huo huo wa tarehe 15 kuamkia 16 niliota ndoto kuwa mtoto( Kachanga ) gafla amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha na mama yake yupo ukweni ila amekondaaaaa ngozi imekua kama mzee. .Hapo ukweni ndugu zake tumeenda kumuona ndugu yetu ila tunaona wanapitisha sahani zenye mapaja ya nyama za watu yaliyochomwa paja jekunduuuuu mara mikono ya watu lakini kama nyama ambazo watu wanakula. The same night kuna dada yetu mwingine yeye aliota mtoto wa dogo amefariki ila anaonekana yupo dirishani kwenye chumba fulani.
Niliposikia hayo ya dogo nikaunganisha ile ndoto yangu nilishtuka sana nikamwambia dogo jiandae leo mchana tunaenda kwa mchungaji hii hali si ya kawaida.
Ukapita mchana wote jioni imefika usiku saa 2 kasoro ndio nikashtuka OMG mbona hatukwenda kanisani kwa mchungaji? ? Nikamwambia dogo sasahivi vaa muache mtoto twende kanisani mara moja Kwani alijifungua kwa oparesheni. .na ndokwanza alikua anatimiza mwezi mmoja. Dogo akawa anasema aaahhh dada bwana usiku umeingia tutaenda kesho. .mimi roho ilikataa kabisa nikamlazimisha vaa twende anasema tutaenda kesho asubuhi dada roho iligoma kabisa nilisema hapana moyo wangu umegoma kulala leo bila kwenda kwa mchungaji huwezi jua .usiku mkubwa na roho haikubali kabisa kuacha kwenda
Akavaa tukaenda hapo saa mbili usiku..tukaenda hatukumkuta mchungaji tukamsubiri
Dada akamuhadithia kwa ufupi tu mchungaji akasema kwakua ni usiku wacha nimuombee kidogo ili awahi mtoto si akaanza kuomba troooobaaaa....
Dogo alikua kama wale wenye mapepo

NITAENDELEA KESHO NIKIPATA MUDA

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Duh ninomaaa sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia mkuu nahitaji maombi make ukweni kwa dogo walitaka kumchukua mtoto kichawi na kumfundisha uchawi mama yake ili wawe wanaruka kuwanga na Kufanya mambo yao ya uchawi pamoja ila tangu yalipotokea hayo mauzauza na kujua hayo kupitia kanisani nilimpiga stop dogo kutokanyaga ukweni ila ukweni wanadai wanataka kumuona mtoto wao eti damu yao huwa haiendi mbali. .ni changamoto sana na story ndefu hapa nakatisha katisha tu
Wachawi wanajuana
Kwa kesi ya dogo wangu kuna

1. Wifi yake ambae ni mkuu wa wachawi
2.aliekuwa housegel wangu wakazi ambae nilimtafuta pindi dogo anataka kujifungua na kama bahati tu nilimwambia aje kujifungulia kwangu na si ukweni alikotaka kujifungulia huko.
Acheni mungu aitwe mungu.

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Madam mahondaw pole sana mkuu kwa mapito ya mdogo wako binadamu tunapitia mengi sana.....naomba umwambie mdogo wako kwanza afunge hata siku 1 huku akitamka mda wote Yesu naomba niguse, pia awe na nyimbo za kuabudu karibu nae mfano nyimbo 2 nilizoshuhudia ukuu wa Mungu ni HAUFANANISHWI wa Boaz danken NA NIGUSE (UKINIGUSA WEWE NITAKUWA SALAMA) YA glorious celebration......

Siku za kusali asubiri muda kutakako kuwa na utulivu kama sio muoga basi iwe usiku.....aandike mahitaji yake kwenye karatasi tu then awe anapiga magoti anavyosali karatasi aiweke chini mbele yake au akisimama awe ameisimamia karatasi yenye mahitaji yake...

basi atafute Luka 1:37, Yeremia 33:3 na mathayo 7:7-8..... asome hii mistari 3 na moyoni ajisemee Mungu naomba uniguse nahitaji kuona ukuu wako.... asali kwa mfano huu huku nyimbo ya kuabudu unaomba taratibu aanze kwa kuabudu kwanza

Asante Mungu wa rehema kwa upendo wako kwangu, najua mimi mkosefu na sistahili mbele zako Yesu wangu, naomba unisamehe dhambi zangu....nanyunyizia damu ya Yesu ya agano jipya ikanitakase dhambi zangu, mwili wangu, nafsi na roho yangu......

Neno lako katika luka 1:37 linasema hakuna linaloshindikana kwako nanyunyizia damu ya Yesu ya agano jipya juu ya maisha yangu na juu ya vifungo vyote vya kishetani nilivyofungwa damu ya Yesu ikanifungue na kuniweka huru.... Nanyunyizia pia damu ya Yesu kristo ya agano jipya juu ya familia yangu nikiomba ulinzi e Yesu wangu roho zote chafu juu ya familia yangu na mtoto wangu hazifananikiwa neno lako katika mathayo 7 linasema tuombe nasi tutapewa naomba ulinzi juu ya familia yangu Yesu...

Nanyunyizia damu ya Yesu kristo ya agano jipya iliyoamriwa na Mungu inene kwa ajili yangu juu ya nyumba nzima damu ya Yesu ikatupe ulinzi na kinga dhidi ya roho chafu na kama ilivyoandikwa katika ufunuo 12:11 kuwa nao wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo basi natumia damu ya Yesu kristo kushinda hila zote za shetani na nguvu za giza...Amen

Ila kama anataka KUNENA kwa lugha hata kama hajaokoka ila anadhamiri ya kutaka kusema na Yesu(Mimi nilinena kwa lugha nikiwa sijaokoa)

basi atafute nyimbo ya kuabudu nashauri iwe Haufananishwi aiweke afatishe nyimbo yote aimbe akijisemea moyoni nahitaji uniguse Yesu....

then aianzishe alafu nyimbo inavyoendelea kuimba aseme tu Asante Yesu mara nyingi asiache akiona unaanza kuishiwa kama pumzi vuta pumzi na endelea kusema asante Yesu mara nyingi awezavyo ndani ya dakika 5 ataanza kunena kwa lugha( kwenye kunena kwa lugha japo atakuwa anaongea lugha ya kipekee moyoni mwake aendelee kusema mahitaji yake)

mfano mimi siku niliyonena kwa lugha sikuacha kusema Mungu nahitaji uponyaji wako na hapo sikuwa nimeenda kanisani kama miezi 5,

nilisali hivyo kwa hiyo njia ya kunena kwa lugha it happened nilinena kwa lugha muda mrefu sana na miujiza nikapata... kwa mtu mmoja mmoja namshauri asali kwa kunena kwa lugha ataona kazi ya Mungu inavyotendeka na hata kama muoga, akianza kunena tu Mungu atakupa ujasiri wa ajabu (Ninauhakika na hii fanya leo usijaribu Mungu atakuonesha ukiulizwa wake)

naimani itawafaa katika kusali Stopper3 Antonio de Guzman



Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu wachawi wengi huwa wanajificha kwenye dini ili waonekane watu wema....

Mara ya kwanza niliposali kwa kunena kwa lugha sikuamini Boss wangu ambaye ni Mama wa makamo na anayeonekanaga kashika sana dini kumbe behind anajua waliingia viapo na shetani (narudia waliingia viapo na shetani) ili watoto wawe hawafanikiwi katika eneo hilo eneo la kazi....na siku ya kwanza kuhudhuria ibada hiyo ijumaa(boss hakuwepo) tuluabudu na kusali tu na watoto... nikajikuta naanza kunena kwa lugha maana wakati watoto wanaabudu mimi nilijikita kusema asante Yesu mpaka leo naamini Mungu alinichagua mimi nibebe lile eneo kwa maombi,

Hilo eneo lilikuwa limejitenga kidogo na eneo la kazi, Nilivyorudi oficin nliendelea kunena kwa lugha zaidi ya saa zima, ilikuwa experience ngumu sana maishani mwangu nilioneshwa rohoni jinsi Boss na washirika walivyotoa kafara Vichanga kama miezi 7 au 8..... Happy ninavyonena kwa lugha roho inaniambia boss ndio mbaya

Boss alipigiwa simu na mtoto ikiwa saa 1 akacheka kwa dharau akasema mimi muongo..... but all in all Mungu yupo na anafanya kazi maana baada ya yale maombi viapo na shetani walivyoingia vilikuwa vinawalinda na kuwapa nguvu kiasi kilchofnya boss acheke kuwa mm mdogo kwake na nilipata kesi kubwa sana it was me going to jail for about 40 to 50 years ulimwengu wa shetani mbaya sana ila thanks God nilipona na sikufungwa japo kazi ilipepea maana dhumuni la shetani lilikuwa ni kuniondoa tu pale kazini waendelee kufanya hayo makafara......

Ila Mungu alivyo wa ajabu baada ya miezi michache tu nilipata connection ambayo niliomba Mungu apatikane mtu atakaenishika mkono kama alivyowapa wana wa Israel Musa... It happened nilikutana na black America mmoja around ninakokaa akanifanya mpango nikapata job yenye 100% salary rise....

Sio hivyo tu niliomba Mungu anifunge kwa mda nisijihusishe na Sex aiseh, kuna siku nimetoka kununua kinga kabisa nikawa nasema Mungu kama unanipenda naomba Nioneshe kitu chochote nisifanikiwe kwenye hili tukio..... akati narudi kutoka kununua kinga nilichokutana nacho kikanifanya niamini Mungu yupo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana.
Mnahitaji maombi Sana..
Napendekeza muanze wenyewe kuomba..maana hakuna mtu atakuombea vizuri kuzidi unavyojiombea mwenyewe.

Maombi Ni silaha.
Mimi sijawahi shuhudia hayo aisee na sitamani kushuhudia,huwa najitahidi Sana kusali

Sent using Jamii Forums mobile app
umenena vema sana kujiombea ni Muhimu na kuna nguvu zaidi mimi ninajiombeaga na huwa ninapata upako wa ajabu... Jaribu pia kusali kwa kuweka wimbo wa kuabudu kunakuwaga na nguvu zaidi....

But uoga wa nini mkuu? Jifunze kusali kwa kunena kwa lugha hautaogopa japo utaona mambo ya ajabu sana.....

Binafsi siku niliyosali kwa kuandika mahitaji kwenye karatasi na kuanza kusema tu asante Yesu huku wimbo wa haufananishwi ukiimba, nilikumbana na nguvu hatari zaidi za giza ila niliendelea kunena nikawa naoneshwa na roho nimuandikie mtu ambaye Yupo mlangoni amenasa kuwa Yesu hapendi hapo nikachukua peni na karatasi nikaandika nikamuandikia ghafla rohoni naona kuna mtu anasema niache it was tough na niliogopa kiasi kidogo ila kwakuwa nanena kwa lugha sikutishika.....

Nilimuangalia my mom ananituliza hapo kinywa kinashindwa sema nikawa naona naenda kufa basi namuangalia tu mama namshangaa natamani nimwambie kuwa Yesu tu ndo anaweza nipitisha usiku huu salama ila nikawa siwezi, nikaoneshwa mchawi wangu atajaribu kurudi na wenzie kwamba nimewakera hapo roho mtakafifu ndo ananipa taarifa ghafla tu nikaanza kulia sana nikamuandikia mama angu kwenye karatasi kuwa wale wabaya wangu wakirudia watakufa maana nilioneshwa watarudi huo usiku...

hapo saa 6 Yesu akanifunulia kuhusu hao watu kufa nilipata uchungu wa nafsi nikalia sana na hapo nikaomba Yesu asiwaadhibu kwa kuwaua wakishindana na nguvu zake, maana nitajihisi ninahatia ila niliona kabisa wakirudi basi asubuhi hawataamka hata mmoja.....

Muda nalala nikiwa naendelea kunena kwa lugha niliendelea kusali kwa moyo kuwa Yesu anakusudio gani namimi maana nilifunuliwa kuwa siwezi kufa maana ninaagano na Yesu na bado agano hilo halijatimia mpaka leo najiulizaga sana ninaagano gani na Yesu kiasi kwamba aliniokoa nisife usiku ule wakati mimi ni mtenda dhambi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umenena vema sana kujiombea ni Muhimu na kuna nguvu zaidi mimi ninajiombeaga na huwa ninapata upako wa ajabu... Jaribu pia kusali kwa kuweka wimbo wa kuabudu kunakuwaga na nguvu zaidi....

But uoga wa nini mkuu? Jifunze kusali kwa kunena kwa lugha hautaogopa japo utaona mambo ya ajabu sana.....

Binafsi siku niliyosali kwa kuandika mahitaji kwenye karatasi na kuanza kusema tu asante Yesu huku wimbo wa haufananishwi ukiimba, nilikumbana na nguvu hatari zaidi za giza ila niliendelea kunena nikawa naoneshwa na roho nimuandikie mtu ambaye Yupo mlangoni amenasa kuwa Yesu hapendi hapo nikachukua peni na karatasi nikaandika nikamuandikia ghafla rohoni naona kuna mtu anasema niache it was tough na niliogopa kiasi kidogo ila kwakuwa nanena kwa lugha sikutishika.....

Nilimuangalia my mom ananituliza hapo kinywa kinashindwa sema nikawa naona naenda kufa basi namuangalia tu mama namshangaa natamani nimwambie kuwa Yesu tu ndo anaweza nipitisha usiku huu salama ila nikawa siwezi, nikaoneshwa mchawi wangu atajaribu kurudi na wenzie kwamba nimewakera hapo roho mtakafifu ndo ananipa taarifa ghafla tu nikaanza kulia sana nikamuandikia mama angu kwenye karatasi kuwa wale wabaya wangu wakirudia watakufa maana nilioneshwa watarudi huo usiku...

hapo saa 6 Yesu akanifunulia kuhusu hao watu kufa nilipata uchungu wa nafsi nikalia sana na hapo nikaomba Yesu asiwaadhibu kwa kuwaua wakishindana na nguvu zake, maana nitajihisi ninahatia ila niliona kabisa wakirudi basi asubuhi hawataamka hata mmoja.....

Muda nalala nikiwa naendelea kunena kwa lugha niliendelea kusali kwa moyo kuwa Yesu anakusudio gani namimi maana nilifunuliwa kuwa siwezi kufa maana ninaagano na Yesu na bado agano hilo halijatimia mpaka leo najiulizaga sana ninaagano gani na Yesu kiasi kwamba aliniokoa nisife usiku ule wakati mimi ni mtenda dhambi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia huwa nasali kwa lugha na hakuna siku nilikuwa na nguvu Kama siku ya kwanza kunena.

Mkuu Sio kwamba naogopa... huwa sioni vitu na sijawahi kuona vitu live yaani moja kwa moja.
Huwa napewa kupitia mawazo au ndoto..unakuta Roho mtakatifu ananiambia ndani fanya Hiki,fanya kile, mwambie huyu hivi lakini sio muonaji wa vitu moja kwa moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo kwenye imani hizi za mitume na manabii wa kisasa za mafuta sitashangaa haya uliyonena

Ila Mungu hawezi kukufanyia ujinga huo iwe matangazo anao utaratibu wake maalum

Pengine una pepo la utambuzi ndani yako unalolifananisha na Roho Mtakatifu
umenena vema sana kujiombea ni Muhimu na kuna nguvu zaidi mimi ninajiombeaga na huwa ninapata upako wa ajabu... Jaribu pia kusali kwa kuweka wimbo wa kuabudu kunakuwaga na nguvu zaidi....

But uoga wa nini mkuu? Jifunze kusali kwa kunena kwa lugha hautaogopa japo utaona mambo ya ajabu sana.....

Binafsi siku niliyosali kwa kuandika mahitaji kwenye karatasi na kuanza kusema tu asante Yesu huku wimbo wa haufananishwi ukiimba, nilikumbana na nguvu hatari zaidi za giza ila niliendelea kunena nikawa naoneshwa na roho nimuandikie mtu ambaye Yupo mlangoni amenasa kuwa Yesu hapendi hapo nikachukua peni na karatasi nikaandika nikamuandikia ghafla rohoni naona kuna mtu anasema niache it was tough na niliogopa kiasi kidogo ila kwakuwa nanena kwa lugha sikutishika.....

Nilimuangalia my mom ananituliza hapo kinywa kinashindwa sema nikawa naona naenda kufa basi namuangalia tu mama namshangaa natamani nimwambie kuwa Yesu tu ndo anaweza nipitisha usiku huu salama ila nikawa siwezi, nikaoneshwa mchawi wangu atajaribu kurudi na wenzie kwamba nimewakera hapo roho mtakafifu ndo ananipa taarifa ghafla tu nikaanza kulia sana nikamuandikia mama angu kwenye karatasi kuwa wale wabaya wangu wakirudia watakufa maana nilioneshwa watarudi huo usiku...

hapo saa 6 Yesu akanifunulia kuhusu hao watu kufa nilipata uchungu wa nafsi nikalia sana na hapo nikaomba Yesu asiwaadhibu kwa kuwaua wakishindana na nguvu zake, maana nitajihisi ninahatia ila niliona kabisa wakirudi basi asubuhi hawataamka hata mmoja.....

Muda nalala nikiwa naendelea kunena kwa lugha niliendelea kusali kwa moyo kuwa Yesu anakusudio gani namimi maana nilifunuliwa kuwa siwezi kufa maana ninaagano na Yesu na bado agano hilo halijatimia mpaka leo najiulizaga sana ninaagano gani na Yesu kiasi kwamba aliniokoa nisife usiku ule wakati mimi ni mtenda dhambi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umenena vema sana kujiombea ni Muhimu na kuna nguvu zaidi mimi ninajiombeaga na huwa ninapata upako wa ajabu... Jaribu pia kusali kwa kuweka wimbo wa kuabudu kunakuwaga na nguvu zaidi....

But uoga wa nini mkuu? Jifunze kusali kwa kunena kwa lugha hautaogopa japo utaona mambo ya ajabu sana.....

Binafsi siku niliyosali kwa kuandika mahitaji kwenye karatasi na kuanza kusema tu asante Yesu huku wimbo wa haufananishwi ukiimba, nilikumbana na nguvu hatari zaidi za giza ila niliendelea kunena nikawa naoneshwa na roho nimuandikie mtu ambaye Yupo mlangoni amenasa kuwa Yesu hapendi hapo nikachukua peni na karatasi nikaandika nikamuandikia ghafla rohoni naona kuna mtu anasema niache it was tough na niliogopa kiasi kidogo ila kwakuwa nanena kwa lugha sikutishika.....

Nilimuangalia my mom ananituliza hapo kinywa kinashindwa sema nikawa naona naenda kufa basi namuangalia tu mama namshangaa natamani nimwambie kuwa Yesu tu ndo anaweza nipitisha usiku huu salama ila nikawa siwezi, nikaoneshwa mchawi wangu atajaribu kurudi na wenzie kwamba nimewakera hapo roho mtakafifu ndo ananipa taarifa ghafla tu nikaanza kulia sana nikamuandikia mama angu kwenye karatasi kuwa wale wabaya wangu wakirudia watakufa maana nilioneshwa watarudi huo usiku...

hapo saa 6 Yesu akanifunulia kuhusu hao watu kufa nilipata uchungu wa nafsi nikalia sana na hapo nikaomba Yesu asiwaadhibu kwa kuwaua wakishindana na nguvu zake, maana nitajihisi ninahatia ila niliona kabisa wakirudi basi asubuhi hawataamka hata mmoja.....

Muda nalala nikiwa naendelea kunena kwa lugha niliendelea kusali kwa moyo kuwa Yesu anakusudio gani namimi maana nilifunuliwa kuwa siwezi kufa maana ninaagano na Yesu na bado agano hilo halijatimia mpaka leo najiulizaga sana ninaagano gani na Yesu kiasi kwamba aliniokoa nisife usiku ule wakati mimi ni mtenda dhambi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
daah haya mambo magumu sana..ila all ina ll Mungu yupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia huwa nasali kwa lugha na hakuna siku nilikuwa na nguvu Kama siku ya kwanza kunena.

Mkuu Sio kwamba naogopa... huwa sioni vitu na sijawahi kuona vitu live yaani moja kwa moja.
Huwa napewa kupitia mawazo au ndoto..unakuta Roho mtakatifu ananiambia ndani fanya Hiki,fanya kile, mwambie huyu hivi lakini sio muonaji wa vitu moja kwa moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
kiwango hicho kinatosha maana ndicho Mungu alichoweka kwako mkuu na endapo kutatokea kitu ambacho Mungu atataka uone utaona tu.... Mungu aendelee kukupigania mimi nikinena kwa lugha ndiyo napata amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo kwenye imani hizi za mitume na manabii wa kisasa za mafuta sitashangaa haya uliyonena

Ila Mungu hawezi kukufanyia ujinga huo iwe matangazo anao utaratibu wake maalum

Pengine una pepo la utambuzi ndani yako unalolifananisha na Roho Mtakatifu
Mkuu imani za mitume?? With all due respect ninamjua Mungu wa kweli na umewahi kunena kwa lugha?? Hiyo hali yangu ni hali ya kawaida sana tena ni kiwango cha chini kabisa kwa mtu anaenena kwa lugha.... na mchungaji ambaye anamshika mtu na kumwambia kama amefungwa kizazi labda na kweli ikawa hivo kumbe ni pepo wa utambuzi e??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me ktk maisha yangu nimeshuhudia mambo mengi sana ya kichawi ingawa mengine nikatka ndoto lakini yalikua na uhalisia

Ila tukio ambalo siwezi kusahau ni ktk hizi nyumaba za kupanga ambapo nilipanga na mmama mmoja hivi wa kiha, basi kuna rafiki yangu yeye alikua na mashetani ya uganga na nilikua nalala naye

Siku moja akaniambia ndg yangu huyu mama jirani yetu mchawi nilimuona kaingia humu na Lengo lake nikutuchezea nikachukulia kawaida

Basi yule jamaa alikuja akaondoka nikabaki Mimi na ndg yangu mmoja asa hapo Yule mama akawa anafanya utawala sasa full kututesa usiku kuna kipindi nikawa namuona kabisa anaingia kupitoa mlango mida ya usiku lakini nikawa nashikwa na bumbuwazi nashindwa kusema

Siku moja nilipoona mambo yamekua si mambo ikabidi niende Kwa dr mmoja hivi akaninipa dawa na kaniambia nenda kadeki ndani na utadeki Kwa muda wa siku 3 kweli Kesho yake asubuhi nikafanya hivyo kablacjaenda kwenye Mishe

Asa nilikuja kushanga ucku nilipo lala mishale ya saa 8 ucku niliskia sauti ya paka alilia mara3 nachakushangaza alitokea mlangoni na mlango nilikua nimefunga akaelekea uvunguni wa kitanda

Mpaka kuna kucha akawa yupo mle ndani na hali ya pale nyumani ikawa imezorota Fulani yaani mtoto wa Yule mama alikua mpole sana na hata mama yake akawa haonekani ovyo na hata nikikutana naye namuona yupo katka Hali ya unyonge na kisasi cha Hali ya juu

Ila nilifuata Yule Dr nakumueleza akaniambia Yule ni adui alivyoingia mle alikuta bahari hivyo akawa hana jinsi na akaniambia nenda kamalizie kudeki hiyo dawa

Ingawa kuna siku wakati nachanganya ile Dawa ili nideki alikuja Yule mtoto wa Yule mama akainyooshea kidodole ndoo ya dawa , ila hapa usiniulize nilimuona vp majibu nitakayokupa huenda hautaamini......

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh
 
hiyo hela ulitoa wapi ili urogwe? nenda bagamoyo katoe hilo dau halafu ulete majibu.
Kinachonishngaza juu ya hawa wanaodai hakuna uchawi/nguvu za giza hadi kufikia hatua ya kusema wanatoa dau ili warogwe,, hakuna kati yao ambaye amethubutu kwenda sehemu elekezwa (wanakopatikana wachawi) na kutangaza kwamba kama kuna mchawi amroge. Wengi wao wanaishia kusema mara watatekwa ama watadhuriwa physically kitu kinachoonesha kuwa wanajua hizi mambo zipo ila kwakuwa wako nyuma ya visimu na browser wahajifanya kupinga. Ikiwa hawaamini hili, wajaribu kwenda walikoelekezwa kisha walete mrejesho.
 
Leo nmepata muda ngoja nishuhudie na mimi jinsi nliumwa vitu vya ajabu...ilikua mwaka 2017 kuna sehem tulihamia mimi na mme wangu basi baada ya kuhamia eneo hili ambalo tulinunua kuepuka mambo ya kupanga sasa wakati tunafanya process za kununua tulitaka kufata sheria yaan kuuziana kupitia mwana sheria sasa mjumbe akawa amepigia mahesabu apate fungu hapa( hatukumpa hata senti) sasa tukawa tunafanya ukarabati kidogo maana lilikua gofu akawa anajifanya kuja kuzoa udongo mm nikawa nastuka uyu udongo wa nini lakin sikutaka kumwambia kitu wakati huo ashalalamika sana mtaani na kutangaza mbovu juu yetu nakuanza kutungombanisha na watu sisi tuliamua kukaa kimya...kashasha ikaanza usiku ukiingia nikawa naumwa magonjwa ya ajabu sana mara moyo kama unataka kuchomoka yaan nikawa nashindwa kupumua usiku tukawa tunakesha bila kulala hadi asubuhi nikiaenda hospital hakuna ugonjwa wowote nlizunguka hospital baadhi hakuna ugonjwa basi nikaanza kusali kidogo mwenyewe hali bado basi tukaamua kuhama na mme wangu tukahamia kibaha kulikua na nyumba ya bure cha ajabu kule nikawa nalala vizuri sana na siumwi kitu lakin tukawa tukirudi hapa tunapokaa ikawa naendelea kuumwa basi nakumbuka ilikua mwez wa 10 2017 nikaanza kuumwa tumbo yaan tumbo linavimba linakua kubwa afu gumu sana afu kila chakula nachokula naenda chooni kinatoka kama kilivyo yaan nikila wali hapohapo nikitoka kula naenda chooni wali unatoka kama ulivyo nikawa nikila chochote kinatoka ivyoivyo nikaenda hospital kupima sina ugonjwa wowote nikawa nampigia dadaangu ameokoka akawa ananimbea kwenye simu napata kaunafuu kidogo badae hali inaendelea palepale yaan nliteseka nlikonda sana ikafikia hatua nikaanza kutapika yaan nikila hata kama ni chungwa natapika huku nmevimba tumbo hasa mda mwingine naenda chooni huku haja kubwa huku natapika usiku silali nakesha nikienda hospital hakuna kitu sasa kuna sehem moja hivi nikaelekezwa kwenda kwenye maombi nikapewa namba za mtumishi hapo siwez kukaa siwezi kulala tumbo limevimba nahisi kufa yaan nlikua naenda kukata roho kabisa network zilikua zinakata kabisa nikawa nasali MUNGU anisadie yaan nikajikuta nmepata ka nguvu kidogo nikashika simu nikapiga namba ya mtumishi ikawa haipokelewi nikajua ndio nakufa hapo badae mme wangu akanibeba anipeleke hospital na hapo mm sitaki kwenda hospital roho ilikua inanituma nikienda hospital nakufa na nikamwambia kabisa mm naenda hospital ila siwez kupona nataka kwenda kwenye maombi ndio roho inanituma bade yule mtumishi nikamtumia msg kua na hali mbaya sijiwez naumwa nikiwa njian naelekea hospital ndio akanijib akaniambia tuko kanisan njoo tu ikabidi nikodi bajaji hadi walipo nlivofika nikaanza kuombewa nikadondoka nakumbuka nlivostuka niko chini yule mtumishi akaniambia usiku uliota nini nikamjibu nliota niko sehem afu nalishwa vitu vinanuka sana basi akachukua maji mapya kabisa akayaombea akaniambia kunywa hayo maji moyoni nimekata tamaa yakupona nikasema uyu ananipa haya maji ntapona kweli ila nikasema ngoja ninywe nlivokunywa yale maji nikasikia kutapika nikaenda chooni yaan nlitapika mavitu meusi kama mkaa mazito mno nikabaki nashangaa tu nikarud ukumbini nikayamalizia yale maji nikabanwa choo kwenda chooni nikajisaidia vitu vya ajabu sana nilivotoka chooni nikapona kabisa sikuamin macho yangu nikamshukuru sana Mungu kwakuniponya na yule mtumishi akaniambia nyumba ya pili upande fulani kuna mzee alikufanyia haya kwasababu fulani nikabaki namshangaa Mungu kua ni kweli huo upande kuna mtu wa hivyo na ni kweli tulikua na mgogoro yaan nlivorudi hme nikalala asubuh kuamka wakwanza kukutana nae afu akanikimbia yaan alinikimbia nikabaknamshangaa na tangu sikuile yule baba anaogopa hata kupita njia hii ya hapa kwangu na akiniona njian yeye anapita sehem nyingine ...najitahidi sana kusimama na Mungu tangu kipindo hicho sijawahi umwa hata maleria na hata kitu kibaya kikitaka kutokea najua na nasimama kukizuia na kinapita mtu mchawi akija kwangu namuona na wengi wananiogopa na nakili hakuna mchawi anaeniweza kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen Mungu ni mwaminifu sana, hiyo ilikuwa njia yako ya kumpokea Yesu vitu vya kuota ni vya kuombea sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia mkuu nahitaji maombi make ukweni kwa dogo walitaka kumchukua mtoto kichawi na kumfundisha uchawi mama yake ili wawe wanaruka kuwanga na Kufanya mambo yao ya uchawi pamoja ila tangu yalipotokea hayo mauzauza na kujua hayo kupitia kanisani nilimpiga stop dogo kutokanyaga ukweni ila ukweni wanadai wanataka kumuona mtoto wao eti damu yao huwa haiendi mbali. .ni changamoto sana na story ndefu hapa nakatisha katisha tu
Wachawi wanajuana
Kwa kesi ya dogo wangu kuna

1. Wifi yake ambae ni mkuu wa wachawi
2.aliekuwa housegel wangu wakazi ambae nilimtafuta pindi dogo anataka kujifungua na kama bahati tu nilimwambia aje kujifungulia kwangu na si ukweni alikotaka kujifungulia huko.
Acheni mungu aitwe mungu.

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Unasemea kwao Smart911
 
Leo nmepata muda ngoja nishuhudie na mimi jinsi nliumwa vitu vya ajabu...ilikua mwaka 2017 kuna sehem tulihamia mimi na mme wangu basi baada ya kuhamia eneo hili ambalo tulinunua kuepuka mambo ya kupanga sasa wakati tunafanya process za kununua tulitaka kufata sheria yaan kuuziana kupitia mwana sheria sasa mjumbe akawa amepigia mahesabu apate fungu hapa( hatukumpa hata senti) sasa tukawa tunafanya ukarabati kidogo maana lilikua gofu akawa anajifanya kuja kuzoa udongo mm nikawa nastuka uyu udongo wa nini lakin sikutaka kumwambia kitu wakati huo ashalalamika sana mtaani na kutangaza mbovu juu yetu nakuanza kutungombanisha na watu sisi tuliamua kukaa kimya...kashasha ikaanza usiku ukiingia nikawa naumwa magonjwa ya ajabu sana mara moyo kama unataka kuchomoka yaan nikawa nashindwa kupumua usiku tukawa tunakesha bila kulala hadi asubuhi nikiaenda hospital hakuna ugonjwa wowote nlizunguka hospital baadhi hakuna ugonjwa basi nikaanza kusali kidogo mwenyewe hali bado basi tukaamua kuhama na mme wangu tukahamia kibaha kulikua na nyumba ya bure cha ajabu kule nikawa nalala vizuri sana na siumwi kitu lakin tukawa tukirudi hapa tunapokaa ikawa naendelea kuumwa basi nakumbuka ilikua mwez wa 10 2017 nikaanza kuumwa tumbo yaan tumbo linavimba linakua kubwa afu gumu sana afu kila chakula nachokula naenda chooni kinatoka kama kilivyo yaan nikila wali hapohapo nikitoka kula naenda chooni wali unatoka kama ulivyo nikawa nikila chochote kinatoka ivyoivyo nikaenda hospital kupima sina ugonjwa wowote nikawa nampigia dadaangu ameokoka akawa ananimbea kwenye simu napata kaunafuu kidogo badae hali inaendelea palepale yaan nliteseka nlikonda sana ikafikia hatua nikaanza kutapika yaan nikila hata kama ni chungwa natapika huku nmevimba tumbo hasa mda mwingine naenda chooni huku haja kubwa huku natapika usiku silali nakesha nikienda hospital hakuna kitu sasa kuna sehem moja hivi nikaelekezwa kwenda kwenye maombi nikapewa namba za mtumishi hapo siwez kukaa siwezi kulala tumbo limevimba nahisi kufa yaan nlikua naenda kukata roho kabisa network zilikua zinakata kabisa nikawa nasali MUNGU anisadie yaan nikajikuta nmepata ka nguvu kidogo nikashika simu nikapiga namba ya mtumishi ikawa haipokelewi nikajua ndio nakufa hapo badae mme wangu akanibeba anipeleke hospital na hapo mm sitaki kwenda hospital roho ilikua inanituma nikienda hospital nakufa na nikamwambia kabisa mm naenda hospital ila siwez kupona nataka kwenda kwenye maombi ndio roho inanituma bade yule mtumishi nikamtumia msg kua na hali mbaya sijiwez naumwa nikiwa njian naelekea hospital ndio akanijib akaniambia tuko kanisan njoo tu ikabidi nikodi bajaji hadi walipo nlivofika nikaanza kuombewa nikadondoka nakumbuka nlivostuka niko chini yule mtumishi akaniambia usiku uliota nini nikamjibu nliota niko sehem afu nalishwa vitu vinanuka sana basi akachukua maji mapya kabisa akayaombea akaniambia kunywa hayo maji moyoni nimekata tamaa yakupona nikasema uyu ananipa haya maji ntapona kweli ila nikasema ngoja ninywe nlivokunywa yale maji nikasikia kutapika nikaenda chooni yaan nlitapika mavitu meusi kama mkaa mazito mno nikabaki nashangaa tu nikarud ukumbini nikayamalizia yale maji nikabanwa choo kwenda chooni nikajisaidia vitu vya ajabu sana nilivotoka chooni nikapona kabisa sikuamin macho yangu nikamshukuru sana Mungu kwakuniponya na yule mtumishi akaniambia nyumba ya pili upande fulani kuna mzee alikufanyia haya kwasababu fulani nikabaki namshangaa Mungu kua ni kweli huo upande kuna mtu wa hivyo na ni kweli tulikua na mgogoro yaan nlivorudi hme nikalala asubuh kuamka wakwanza kukutana nae afu akanikimbia yaan alinikimbia nikabaknamshangaa na tangu sikuile yule baba anaogopa hata kupita njia hii ya hapa kwangu na akiniona njian yeye anapita sehem nyingine ...najitahidi sana kusimama na Mungu tangu kipindo hicho sijawahi umwa hata maleria na hata kitu kibaya kikitaka kutokea najua na nasimama kukizuia na kinapita mtu mchawi akija kwangu namuona na wengi wananiogopa na nakili hakuna mchawi anaeniweza kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mambo nimoto, naomba unitafutie mchumba aliyeiva kiimani kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom