Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kutoboa biashara.
1. Kuwa mbunifu kuja na idea ya biashara unayoipenda na yenye uhitaji, acha ujinga wa kufuata mkumbo kufanya biashara fulani kisa umesikia inalipa.

2. Usiwe na akili mgando kusubiri wateja waje uwauzie tu kisa wewe mwamba una mtaji na bidhaa zipo dukani, jifunze sales and marketing.

3. Usiwe na akili mgando kupata faida bila kufanya saving yoyote. Jifunze elimu ya fedha na siyo ujuzi wa kuuza tu bidhaa na kurudisha chenchi.

4. Usiwe na akili mgando kufanya biashara moja na kutegemeana kwa asilimia mia moja kiasi kwamba huna back-up yoyote in case biashara hiyo ikiyumba, hapa ndo dhana ya ndumba inapoanzia na kuwa na akili kama za mtoa mada.

5. Acha kuwa na akili mgando kufuata kila ushauri wa kibiashara au kimaisha unaotolewa Jf, wengine humu wana matatizo kuanzia ukoo wa babu zao hivyo matatizo hayo yanaama ukoo hadi ukoo.

Wenye akili za mkumbo wote huwa fursa kwa wanaojielewa. Chunguza utagundua.




Sent using Jamii Forums mobile app
Biashala ina mambo mengi ndugu uchawi ktk biashala upo nakupa kisa kimoja hivi miaka ya nyuma nilifanya biashala ya duka maeneo ya kwa mkandawile huko nikawa nikiweka mtaji biashala nauza vizuri ila hela jioni siioni nikajiongeza mana pale kulikuwa na waha wanauza hao mpk basi basi nikaenda sehemu kwa mzee mmoja kule Kunduchi yy ni marehemu kwa sasa akaniangalia nyota akasema inabidi kazi yako tuifanye siku ya j5 kulingana na ulivyo ila apatikane kuku mweupe ambaye tutatoa damu yake kweli nikaacha hela ya kuku pale nikaondoka siku nimefika akafanya mambo yake na akanichanja chale kadhaa mwilini yule mzee ni mha akaniambia nakupa hii azima kaiweke dukani kwako huyo ni jini atakuwa anakujazia bidhaa pale dukani na ndio wafanyabiashala wakubwa wanamtumia akanipa na masharti kadhaa basi nakumbuka nilikimbiza pale ila nilikuja kukosea sharti moja kila kitu kikafa ila tangu hapo hakuna ninachofanya kikaenda sawa tena mpk sasa
 
Jamaa yangu alipanga nyumba ya mruguru mmoja wa matombo... Sasa kila ikifika usiku sana anasikia watu wanatembea koridon na sauti ambazo kila akijaribu kusikiliza kwa makini hapati maana ya sentensi hata moja. Siku akaamua aende kwa mtaalam/mganga akapewa vijiti viwili akaambiwa avichome usiku akisikia zile vudugu za watu.. "shuka hivi vijiti ukivoma havitoi moshi wala arufu yoyote ila asubui utapata majivu yake" jamaa akafanya kama mganga alivyomuelekeza kufika asubui mwenye nyumba anampa notes anamwambia anachoma vitu vinanukisha nyumba mzima hawalali usiku.
kumbe ukweli ni kwamba ile harufu inawafukuza wale watu/misukule so mwenye nyumba alikua na kazi na kuwazuia wasikimbie wakamtia aibu mtaani.
 
Biashala ina mambo mengi ndugu uchawi ktk biashala upo nakupa kisa kimoja hivi miaka ya nyuma nilifanya biashala ya duka maeneo ya kwa mkandawile huko nikawa nikiweka mtaji biashala nauza vizuri ila hela jioni siioni nikajiongeza mana pale kulikuwa na waha wanauza hao mpk basi basi nikaenda sehemu kwa mzee mmoja kule Kunduchi yy ni marehemu kwa sasa akaniangalia nyota akasema inabidi kazi yako tuifanye siku ya j5 kulingana na ulivyo ila apatikane kuku mweupe ambaye tutatoa damu yake kweli nikaacha hela ya kuku pale nikaondoka siku nimefika akafanya mambo yake na akanichanja chale kadhaa mwilini yule mzee ni mha akaniambia nakupa hii azima kaiweke dukani kwako huyo ni jini atakuwa anakujazia bidhaa pale dukani na ndio wafanyabiashala wakubwa wanamtumia akanipa na masharti kadhaa basi nakumbuka nilikimbiza pale ila nilikuja kukosea sharti moja kila kitu kikafa ila tangu hapo hakuna ninachofanya kikaenda sawa tena mpk sasa
utajiri wa ushirikina una gharama zake huyo mzee angekuwa hai angekuambia utoe kafara la mtu badala ya kuku.
 
utajiri wa ushirikina una gharama zake huyo mzee angekuwa hai angekuambia utoe kafara la mtu badala ya kuku.
Inawezekana ila kwa mjibu wake alisema ile haiitaji damu ya mtu ila ukifanikiwa vyema utaanza na mbuzi kama sadaka kisha ngombe yani kadri unafanikiwa ndio ukubwa wa sadaka unaongezeka ila ndio hivyo ngoja nipambane tena
 
Biashala ina mambo mengi ndugu uchawi ktk biashala upo nakupa kisa kimoja hivi miaka ya nyuma nilifanya biashala ya duka maeneo ya kwa mkandawile huko nikawa nikiweka mtaji biashala nauza vizuri ila hela jioni siioni nikajiongeza mana pale kulikuwa na waha wanauza hao mpk basi basi nikaenda sehemu kwa mzee mmoja kule Kunduchi yy ni marehemu kwa sasa akaniangalia nyota akasema inabidi kazi yako tuifanye siku ya j5 kulingana na ulivyo ila apatikane kuku mweupe ambaye tutatoa damu yake kweli nikaacha hela ya kuku pale nikaondoka siku nimefika akafanya mambo yake na akanichanja chale kadhaa mwilini yule mzee ni mha akaniambia nakupa hii azima kaiweke dukani kwako huyo ni jini atakuwa anakujazia bidhaa pale dukani na ndio wafanyabiashala wakubwa wanamtumia akanipa na masharti kadhaa basi nakumbuka nilikimbiza pale ila nilikuja kukosea sharti moja kila kitu kikafa ila tangu hapo hakuna ninachofanya kikaenda sawa tena mpk sasa
Ulikosea sharti gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikosea sharti gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah unajua kuna vitu ndugu yangu si rahisi kuvikwepa kwa mfano sharti nililokosea mie kama ingekuwa sasa hivi ingekuwa rahisi kulidhibit mana angalau nimekua sasa sharti kubwa nilijisahau kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke uhakikishe usiiguse ile azima mpk siku saba sasa dah ikawa bahati mbaya
 
Kumbe ungepanda hatua ,,ukifika kwa ng'ombe unadhani nn kingefata?? Mungu alikuwa na kusudio lake la kutaka tu ukosee shart ili urudi kwenye njia yake sahihi
Inawezekana ila kwa mjibu wake alisema ile haiitaji damu ya mtu ila ukifanikiwa vyema utaanza na mbuzi kama sadaka kisha ngombe yani kadri unafanikiwa ndio ukubwa wa sadaka unaongezeka ila ndio hivyo ngoja nipambane tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ungepanda hatua ,,ukifika kwa ng'ombe unadhani nn kingefata?? Mungu alikuwa na kusudio lake la kutaka tu ukosee shart ili urudi kwenye njia yake sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza ikawa hivyo ila bado najipanga nirudi tena vyovyote itakavyokua mana maisha ya biashala kwa bongo dah ni shida sana
 
Kumbe ungepanda hatua ,,ukifika kwa ng'ombe unadhani nn kingefata?? Mungu alikuwa na kusudio lake la kutaka tu ukosee shart ili urudi kwenye njia yake sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila haya mambo ya ushilikina si mchezo mana nakumbuka nilimkuta mtu mmoja wa dini pale anafanyiwa mambo ya mvuto
 
Mnamo mwaka 2000 maeneo ya Tabata..tulikuwa tuna Ng'ombe kama 6 hivi wakubwa na wazuri kwa kutoa maziwa..il mmoja wa hawa Ng'ombe alikuwa ndio anatoa Liters nyingi kwasiku moja...nakumbuka ilikuwa siku ya ijumaa majira ya saa 4 baada ya kumkamua maziwa yule Ng'ombe alianza kulia sauti za ajabu na kujipiga ukutani sana...

Ikabidi tumwitwe dokta wa mifugo fasta na alipofika kama dakika 15 hivi ikawa too late...yule Ng"ombe akawa ameshakufa...sasa ikabidi tumwambie tu Dokta kuwa ili tusije kuwapoteza na hawa wengine ebu tumfanyie postmotum tuone kilichomuua...

Aisee ndumba ni hatari sana kwa maendeleo yaani tulipomfunua tumbo tukakuta ameinginzwa Sindano zile zinazotumika kushonea magunia mwenye maini yake na simdano nyingine kubwa 3 zikiwa zimeingizwa kwenye Moyo wake..mpk leo zipo kama kumbukumbu...na dokta akasema hajawahi kuona kitu kama ichi ikabidi Ng'ombe azikwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa kingine niliweka Bwala la kufugia samaki na kuweka samaki aina ya kambale kama elfu 3 hivi...na walikuwa wanaendelea vizuri sana kiasi kwamba nikaanza kuipangia budget pesa ya kuwauza kabla hata sijavua....siku zikaenda na ikafika wakawa wakubwa sana na wapo tayari kuwavua.....siku moja kabla ya kuwavua nikaenda kwenye bwana na nikawatoa samaki kama 10 hivi wawe sample kwa mteja niliyempata ili akawaone.... mteja alifurahi sana akase.a atachukua samaki wote ila sasa kesho yake atakuja kuwafuata by saa 4 hivi ili akawauze na tulipane.... imefika kesho yake muda wa saa 3 hivi tukaanza kuona samaki wanaelea...ile kushuka majini kuangalia...dahhh hamna siku nimeumia kama ile maana nilikuta samaki wotee bwawani wamekufa na wengine wameoza kabisa wakti jana walikuwa wazima... hawa wachawi walaaniwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ni albadiri tu kwa hawa warudisha maendeleo nyuma
Kisa kingine niliweka Bwala la kufugia samaki na kuweka samaki aina ya kambale kama elfu 3 hivi...na walikuwa wanaendelea vizuri sana kiasi kwamba nikaanza kuipangia budget pesa ya kuwauza kabla hata sijavua....siku zikaenda na ikafika wakawa wakubwa sana na wapo tayari kuwavua.....siku moja kabla ya kuwavua nikaenda kwenye bwana na nikawatoa samaki kama 10 hivi wawe sample kwa mteja niliyempata ili akawaone.... mteja alifurahi sana akase.a atachukua samaki wote ila sasa kesho yake atakuja kuwafuata by saa 4 hivi ili akawauze na tulipane.... imefika kesho yake muda wa saa 3 hivi tukaanza kuona samaki wanaelea...ile kushuka majini kuangalia...dahhh hamna siku nimeumia kama ile maana nilikuta samaki wotee bwawani wamekufa na wengine wameoza kabisa wakti jana walikuwa wazima... hawa wachawi walaaniwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah unajua kuna vitu ndugu yangu si rahisi kuvikwepa kwa mfano sharti nililokosea mie kama ingekuwa sasa hivi ingekuwa rahisi kulidhibit mana angalau nimekua sasa sharti kubwa nilijisahau kuwa ukifanya mapenzi na mwanamke uhakikishe usiiguse ile azima mpk siku saba sasa dah ikawa bahati mbaya
Aisee pole mnoo na hapo ndo ujana na unapata vipesa doh kujisahau lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom