Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Binamu una madin mengi sana aitheee dats y I wish 1 day tuonane tupige story mbil tatu about maisha

Mi naamin uchawi upo sababu nipo karibu sana na boss wangu kuna baadhi ya mambo anafanya mpaka najihisi vibaya bt kwa nje mtu flan iv wakawaida

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukran sana binamu , mi nipo tu ukiwa free nichek tupige story mbili tatu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu ni kweli,vifo Vinci tunavyovishudia hivi Leo ,vingi si vile Mungu katupangia,kumbuka Mungu katuahidi 70-80 years ,hivyo Mungu hawezi kuwa mwongo kwa ahadi zake

Hivyo vifo vingi huwa ni mipango ya nguvu hasi (nguvu za Giza) so kuna namna ya kutumia dawa ili kukuepusha na nguvu basi,na kukufanya uzeeke

Kuna bibi frani huwa ni naye mazoea na ni mtaalamu wa madawa ya asili sana,ukimwangilia yuko na 100+ years na bado yuko ngangali,kuna siku kaniambia mjukuu wangu nataka nikuchanje dawa ya kutokufa mapema ili ufikie umri wa uzee,lakini alinitahadharisha kuwa ni mateso hii ni kulingana na yeye anavyoteseka kwani ana wish afe ili apumzike kwani amechoka kuishi

Hivyo nihitimishe tu kuwa dawa za kuongeza umri zipo na zinafanya kazi sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ni kweli mimi pia mama yangu alinihadithia babu yao alizeeka mno mpk akawa wa kutoa nje apigwe na jua na kurudishwa ndani...alizeeka hadi akaanza kuoza km mfu akawatuma baadhi ya wajukuu zake milimani wakaleta miti flani na dawa nyingine akaomba wamchanje ili afe kwani asingefanywa hvy angeendeles kuwa hai ilihali amechoka na kazeeka mno! Walivyomfanyia hvy kwa matakwa yk mama anasema mida ya jioni usiku wake alifariki! Anakwsmbia alivyokua kijana alikua na mali nyingi na mifugo hvy alijikinga asife mapema ili alinde vitu vyk matokeo yk ikawa hvy.
 
Hii ni kweli mimi pia mama yangu alinihadithia babu yao alizeeka mno mpk akawa wa kutoa nje apigwe na jua na kurudishwa ndani...alizeeka hadi akaanza kuoza km mfu akawatuma baadhi ya wajukuu zake milimani wakaleta miti flani na dawa nyingine akaomba wamchanje ili afe kwani asingefanywa hvy angeendeles kuwa hai ilihali amechoka na kazeeka mno! Walivyomfanyia hvy kwa matakwa yk mama anasema mida ya jioni usiku wake alifariki! Anakwsmbia alivyokua kijana alikua na mali nyingi na mifugo hvy alijikinga asife mapema ili alinde vitu vyk matokeo yk ikawa hvy.
Kuna mzee mmoja nae alifariki mwaka jana maeneo fulani uku usukumani nae alikua kashaoza ila kufa hafi na niliambiwa alikua kachanjiwa madawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wengi wananitumia PM kuomba namba za waganga. Ila hakuna hata mmoja ambaye nimempa, Coz nafsi yangu bado haijaridhia kumpa mtu yeyote iwe bure au kwa pesa. Halafu muwe makini sana na watu wanaowapa namba za waganga humu, mtaishiwa kutapeliwa na kupelekwa sehemu sio .

Nakumbuka kuna kipindi nilikua so desperate na waganga, nilihangaika sana yani kumpata mtu wa kunielekeza huko kwa mda mrefu. Mpaka ikabidi niombe dua hili nipate mtu sahihi kwa kunipeleka kwa waganga.

Mungu sio athumani, akaniunganisha na mtu sahihi aliyetimiza tamaa ya moyo yangu , tamaa ya kufanya ushirikina.

So ushauri wangu , watu wajaribu kutulia na kuongea na nafsi zao na kuomba, kama ni kweli ni kitu wanachokitaka kukifanya, basi watakipata tu kwa njia yeyote, wala hautahitaji nguvu. Roho zetu siku zote zinasikiliza tamaa zetu na kutupatia kile kinachostahili.

Mimi naweza kukupa namba za waganga nilioenda na bado usifanikiwe, so ni bora ukambana wewe mwenyewe kutafuta kile unachokitaka, pambana usikate tamaa.

Mimi ninachojua na nilichojifunza katika haya maisha , Watu wengi wakubwa hapa Duniani, wamefanikiwa kwa nguvu za shetani, inshort shetani ndie anayemiliki hii dunia , tutake tusitake.

Kitu kingine ambacho nilikua sikijui, kumbe kuna watu Tupo nao hapa duniani wanaenda kuongeza mda wa kuishi hapa duniani kwa nguvu za giza

Na kwa kuongezea tu , ni kweli nguvu za giza zipo , na zinatenda kazi .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Duh!hapo kuongeza muda mkuu !
 
Tusifanye maisha ya hapa duniani yawe magumu. Ukiona mambo yamekua magumu sana , jaribu upande mwingine tu , kuna watu wanahangaika sana kwenye haya maisha , kuna watu wana laana Kali hapa duniani , sasa usipokua mjanja na kuhangaika sehemu mbali mbali , utakufa na laana zako , na hizo laana zitaendelea kuathiri kizazi hadi kizazi.

Ukiona mambo hayaendi kwenye imani yako , basi jaribu kwingine, ukiwa ns mentality Sijui kwenda kwa mganga dhambi , umekaa ukajiuliza una dhambi ngap mpaka apo ulipo? ,


Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo wengi matapeli si kama mtu hataki kwenda
 
Ila kama umejipanga zaidi, nakushauri huende hata kwa waganga watatu tofauti huko huko... mi nikienda huwa nakaa wiki Nzima, napitia waganga kama sita hivi [emoji16]

Waganga Wengine ukifika tu kituon ukiwauliza madereva boda boda watakuambia sehem nzuri, Tanga kuna wachawi, nikutakie kila la kheri na mafanikio.

, huyo niliyekupa anakupigia ramli, anakusafisha mwili na kukupandisha nyota, ukitoka hapo majiran zako watakujua we ni nani[emoji23].


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ni kweli mimi pia mama yangu alinihadithia babu yao alizeeka mno mpk akawa wa kutoa nje apigwe na jua na kurudishwa ndani...alizeeka hadi akaanza kuoza km mfu akawatuma baadhi ya wajukuu zake milimani wakaleta miti flani na dawa nyingine akaomba wamchanje ili afe kwani asingefanywa hvy angeendeles kuwa hai ilihali amechoka na kazeeka mno! Walivyomfanyia hvy kwa matakwa yk mama anasema mida ya jioni usiku wake alifariki! Anakwsmbia alivyokua kijana alikua na mali nyingi na mifugo hvy alijikinga asife mapema ili alinde vitu vyk matokeo yk ikawa hvy.

Millennials hawajui mambo mengi , tumejikita zaidi na Dini za wazungu , tunasahau asili zetu, maisha ya mababu zetu, mambo kama haya hawawez kukuamin, lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Got you very well
Vifo asilimia nyingi vya watu husababishwa na watu sio asilia, so wengi huenda kujilinda kwa waganga na hivyo vifo na Yes kuongeza umri wa kuishi, lakini sio zaidi ya ule Mungu alioupanga mwanadamu kuishi (120).

Kuongeza umri namaanisha kinga, hawezi kudhuliwa na vitu vya ajabu ajabu au vifo vya kupangiwa na wanadamu. Utaishi as long as pale Mungu atakapoamua kukuchukuq


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi I think hulogwa kisa chuki na wivu,but my Bibi alizeeka mno Hadi akachoka kuishi akawa anaomba afe na hafi, ingawa yeye alikuwaga mtu wa Sala Sana aisee.
Mkuu ni kweli,vifo Vinci tunavyovishudia hivi Leo ,vingi si vile Mungu katupangia,kumbuka Mungu katuahidi 70-80 years ,hivyo Mungu hawezi kuwa mwongo kwa ahadi zake

Hivyo vifo vingi huwa ni mipango ya nguvu hasi (nguvu za Giza) so kuna namna ya kutumia dawa ili kukuepusha na nguvu basi,na kukufanya uzeeke

Kuna bibi frani huwa ni naye mazoea na ni mtaalamu wa madawa ya asili sana,ukimwangilia yuko na 100+ years na bado yuko ngangali,kuna siku kaniambia mjukuu wangu nataka nikuchanje dawa ya kutokufa mapema ili ufikie umri wa uzee,lakini alinitahadharisha kuwa ni mateso hii ni kulingana na yeye anavyoteseka kwani ana wish afe ili apumzike kwani amechoka kuishi

Hivyo nihitimishe tu kuwa dawa za kuongeza umri zipo na zinafanya kazi sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom