G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Shetani ni MUNGU? we jamaa!!
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Shetani na mawakala zake wana operate kwenye ulimwengu wa giza / Roho ambao sisi binadam wa kawaida hatuna uwezo huo . Na shetani ni mjanja na ana akili sana .
Kama umeamua kupambana na shetani , hakikisha una imani dhabiti iliyonyooka, don’t understimate the devil [emoji49]. Usifikiri unaweza kumchallenge shetani kipumbavu, remember shetani Ana uwezo wa kiungu, Ana Uwezo kama Mungu .
Inshort Shetani pia ni mungu, ingawa kazi zake nyingi ni uharibifu, lakin Shetani pia kuna mambo mengi tu mazuri anayafanya kama Mungu , kuponya watu , kuwapa watu utajiri na Mali , shetani Ana uwezo wa kufanya yale Mungu anayoyafanya so wewe binadamu wa kawaida usifikiri unaweza kupambana nae au kum oppose kirahis kama wengi wanavyofikiria.
If you can’t fight them , join them .
Mimi sio mpinga kristo , na wala sina nia ya kuingiza watu kuzimu,
the truth is , the best coffee is always DARK and BITTER .
Hata hao wachungaji mnaokimbilia kuombewa na kuponywa na kuchukua miujiza, wanaenda kuchukua nguvu kwa Mkuu wa ulimwengu huu ( lucifer)
Tena wanaenda kujinadi kabisa kanisan na kulitaja jina la Yesu bila aibu yeyote , na kupitia hilo hilo jina, watu wanaponywa. That’s how the devil operates .
Warumi
Sent from my iPhone using JamiiForums
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature