Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Had nimeanza kutafakari maisha kwa hii statement yako tu hapaTusifanye maisha ya hapa duniani yawe magumu. Ukiona mambo yamekua magumu sana , jaribu upande mwingine tu , kuna watu wanahangaika sana kwenye haya maisha , kuna watu wana laana Kali hapa duniani , sasa usipokua mjanja na kuhangaika sehemu mbali mbali , utakufa na laana zako , na hizo laana zitaendelea kuathiri kizazi hadi kizazi.
Ukiona mambo hayaendi kwenye imani yako , basi jaribu kwingine, ukiwa ns mentality Sijui kwenda kwa mganga dhambi , umekaa ukajiuliza una dhambi ngap mpaka apo ulipo? ,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Daah hlo neno linafikirisha kwelHad nimeanza kutafakari maisha kwa hii statement yako tu hapa
Wenye kuamini ushirikina mna kaaazi kwer kwer!Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi
Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri
Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma
Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma
Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea
Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge
si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.
wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.
Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele
Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hii inaitwaje kitaalamuView attachment 1481357
Hapo ndio utapata jibu kwanini Corona imeamua kuishi kistaraabu na wabongo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
WarumiiiiiNi kweli kama ukienda kinyume na wanavyotaka.. vinginevyo utaendelea kula maisha hadi kufa kwako
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo ndio utapata jibu kwanini Corona imeamua kuishi kistaraabu na wabongo
Af mbna km mshari hv...nn kinafanya upanic?"Kurumbana" ndiyo nini?
Wapi nimejadili kwa ubaya?
Wapi nimelazimisha mtu aamini kile ninachoamini mimi?
Ninachoamini mimi ni kipi?
Umejuaje hiki ndicho naamini mimi?
Umejuaje naweka umuhimu wowote kwenye kuamini?
Do not flatter yourself. I don't know you like that.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushari uko wapi?Af mbna km mshari hv...nn kinafanya upanic?
We kila mara lzm uandike Utumbo tu.Ushari uko wapi?
Unajuaje huu ni ushari na hii ni Socratic rhetoric?