Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inawezekana hataki stress au ni mchoyoKuna jamaa ana miaka 40 na hana mpenzi wa kutarajia kufunga naye ndoa,ukimuona utadhani ana miaka 23
Kupanga ni kuchagua
Ha ha ha ha litakupata tu mkuuHili jiwe limelenga wengi hili
ngoja nijifiche chini ya muembe lisinipate
ha ha ha haUkisema kwamba ni wewe kuna ubaya mpendwa 😁
ha ha ha tunaondoa misongo ya mawazo tu mkuuEQUATION X yupo kazini aisee.. Leo kaja na thread za kurekenisha tabia 😂
Kwa nini mkuu?🏃🏃
Nitarudi kusoma reply
nangoja zijae jaeKwa nini mkuu?
Sawa mkuuNgoja waje kukupa muongozo
acha uchokozi basiUkisema kwamba ni wewe kuna ubaya mpendwa 😁
Kwa hali ya sasa mbona kawaida tu mzee baba hio.Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30,na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha na wewe familia,jaribu kujichunguza.
Inawezekana unatabia mbaya, maudhi, kujisikia au una tatizo lingine la kimuundo. Kitaalamu wanasema, kujua tatizo ni nusu ya tiba...haya chukueni hatua.
ha ha ha inawezekana kuna kinachokuchelewesha mkuuKwamba nijuchunguze na hii 35 yangu!!..[emoji848][emoji848]