Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kujenga nyumba ukiwa na miaka 35 haina shida..
Kuoa ukiwa na 40 pia ni vizuri pia
Kutokua na familia wala kujenga ni bora zaidi.
Cha maana ni wewe binafsi usimame katika malengo na misimamo yako..
Huna haja ya kuwahisha mambo kisa idea za watu fulani.. Hakuna aliye nje ya muda. Time is Relatively
Acha kupotosha watu mkuu. Maisha yana formula na lazima zifuatwe na ukiyakosea umeyakosea milele kwa sababu maisha hayarudiwi kuishi na h.

Kama umeamua kuishi kiseja, uliyoyasema siwezi kuongeza point, lakini si kwa kujenga familia, tena familia imara kwa umri huo utakuwa umepitwa na wakati.

Embu tujadili maisha ya first born atakayezaliwa baada ya mzazi kufikisha umri wa miaka 40 jinsi utakavyomtunza na kumsomesha.

Piga piga hesabu zako, lakini siyo siri utaanza kusomesha ukiwa retired, umri unaotakiwa upumzike.

Kuwahi kujenga familia kuna umuhimu wake.
Maelezo ni mengi muda hautoshi.
 
Acha kupotosha watu mkuu. Maisha yana formula na lazima zifuatwe na ukiyakosea umeyakosea milele kwa sababu maisha hayarudiwi kuishi na h.

Kama umeamua kuishi kiseja, uliyoyasema siwezi kuongeza point, lakini si kwa kujenga familia, tena familia imara kwa umri huo utakuwa umepitwa na wakati.

Embu tujadili maisha ya first born atakayezaliwa baada ya mzazi kufikisha umri wa miaka 40 jinsi utakavyomtunza na kumsomesha.

Piga piga hesabu zako, lakini siyo siri utaanza kusomesha ukiwa retired, umri unaotakiwa upumzike.

Kuwahi kujenga familia kuna umuhimu wake.
Maelezo ni mengi muda hautoshi.
Natamani wote waelewe ulichokiandika
 
Issue ambayo sijawahi ielewa, unakuta mtu analalamikia maisha yake ya ndoa yalivyo magumu au yanavyomrudisha nyuma kimaisha lakini ikifika mahali pa kuongelea ndoa anakusisitizia uoe !!!!.....

Je, ndoa ni kufuata tamaduni, dini, kutimiza wajibu , kujenga heshima au kufurahisha umma ??...

Na kwa nini mtu achukue hii Risk hadi wengine waishie kujiua na kufubaza future za watoto wao

Is marriage not for everyone or just overrated
 
Acha kupotosha watu mkuu. Maisha yana formula na lazima zifuatwe na ukiyakosea umeyakosea milele kwa sababu maisha hayarudiwi kuishi na h.

Kama umeamua kuishi kiseja, uliyoyasema siwezi kuongeza point, lakini si kwa kujenga familia, tena familia imara kwa umri huo utakuwa umepitwa na wakati.

Embu tujadili maisha ya first born atakayezaliwa baada ya mzazi kufikisha umri wa miaka 40 jinsi utakavyomtunza na kumsomesha.

Piga piga hesabu zako, lakini siyo siri utaanza kusomesha ukiwa retired, umri unaotakiwa upumzike.

Kuwahi kujenga familia kuna umuhimu wake.
Maelezo ni mengi muda hautoshi.

Maisha hayana formula
 
Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30,na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha na wewe familia,jaribu kujichunguza.

Inawezekana unatabia mbaya, maudhi, kujisikia au una tatizo lingine la kimuundo. Kitaalamu wanasema, kujua tatizo ni nusu ya tiba...haya chukueni hatua.
Na kama hujawahi kbs kuwa kwenye mahusiano mpk kufikia umri huo inakuwaje?
 
Back
Top Bottom