Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Acha kupotosha watu mkuu. Maisha yana formula na lazima zifuatwe na ukiyakosea umeyakosea milele kwa sababu maisha hayarudiwi kuishi na h.

Kama umeamua kuishi kiseja, uliyoyasema siwezi kuongeza point, lakini si kwa kujenga familia, tena familia imara kwa umri huo utakuwa umepitwa na wakati.

Embu tujadili maisha ya first born atakayezaliwa baada ya mzazi kufikisha umri wa miaka 40 jinsi utakavyomtunza na kumsomesha.

Piga piga hesabu zako, lakini siyo siri utaanza kusomesha ukiwa retired, umri unaotakiwa upumzike.

Kuwahi kujenga familia kuna umuhimu wake.
Maelezo ni mengi muda hautoshi.
 
Natamani wote waelewe ulichokiandika
 
Issue ambayo sijawahi ielewa, unakuta mtu analalamikia maisha yake ya ndoa yalivyo magumu au yanavyomrudisha nyuma kimaisha lakini ikifika mahali pa kuongelea ndoa anakusisitizia uoe !!!!.....

Je, ndoa ni kufuata tamaduni, dini, kutimiza wajibu , kujenga heshima au kufurahisha umma ??...

Na kwa nini mtu achukue hii Risk hadi wengine waishie kujiua na kufubaza future za watoto wao

Is marriage not for everyone or just overrated
 

Maisha hayana formula
 
Na kama hujawahi kbs kuwa kwenye mahusiano mpk kufikia umri huo inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…