Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

I think marriage is not for everyone tho there's someone for everyone
Dada nimepagawa na jibu [emoji38][emoji38][emoji38]

I agree with you but ONLY IF real sacrifise is involved
 
Mkuu
Naomba ufafanuzi hiyo haya ya mwisho

Yaani mwanaume huwezi kusonga mbele kimaisha kama huna mwanamke wa kudumu.

Wazungu walisema, kila mwanaume mwenyeafanikio, nyuma yake kuna mwanamke.

Ukiwa na mke unakuwa na utulivu wa kiakili na kuweza kupambana vizuri.

Pia, ukiwa na mwanamke pasua kichwa inakuwa kinyume.

Kimsingi, mwanamke anampa mwanaume hamasa sana.

Kumbuka katika jamii, mwanaume aliyeoa anaaminika zaidi kuliko asiyeoa.

Zamani ili uwe kiongozi, ilimpasa mwanaume awe ameoa.

Usipokuwa na mke maana yake huna maisha ya kudumu yenye msimamo yaani ni muhuni tu.
 
Ulichokiandika hapa mkuu kina sound irrelevant kibongo bongo. Sisi mara hufanya mambo kutokana na msukumo wa jamii
 
Nini kimebadilika hadi kufanya nyakati hizi hata wasiooa wapewe nyadhifa za uongozi ?
 
Hili tatizo La kimuundo linanicost aisee, natimiza 39 yrs sasa na sina hata mchumba wa kusingiziwa[emoji30] [emoji30] , mleta Uzi umeshaanzisha familia?,naomba tuanzishe wote kama vipii
ha ha ha Eqn y alishakuwai mkuu tangu miaka 12 iliyopita
 
Kuna watu wana hizo tabia ulizoainisha still wameoa au kuolewa.
 
Acha kupotosha Umma Nina brother hajaoa ana mafanikio makubwa katika maisha yake, anasema kuoa ataoa tu.Usitishe watu kwa msukumo wa kijamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…