Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Wydady ni Timu inayopatikana Pot 1 au la pili kama hayupo Pot la uongo hilo maana Mamelodi,Petro hawajafikia Points za Wydady au Esperance..
Wewe nae unaelimishwa bado unakaza fuvu wydady hashiriki klabu bingwa msimu huu..
 
Sijaona maelekezo yako yana maana gani mkuu.
Ungetuelezea ni kwanini hawatakutana kabisa
 
Kwa hiyo Utopolo bado wanae Al ahly hadi ukamilifu wa dahari 🀣🀣🀣
 
Kwa hiyo Utopolo bado wanae Al ahly hadi ukamilifu wa dahari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si alikuwa nae msimu uliopita tena na kigogo Belouizdad halafu ikatokea nini?
 
Utopolo pot 2 katika lini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…