Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Kama una angalau "F" inakupasa kujua kuwa Yanga SC haitokutana na TP Mazembe, Raja wala Belouizdad wakifika makundi

Simba mbona haionekani wakuu?
Ninachoamini ni kwamba Simba inakwenda kuweka historia mpya ya kuchukuwa kombe la Shirikisho this time kisha baada ya miaka 30 ndipo Yanga nayo ichukuwe Kombe hilo.

Nakumbuka Simba ilifika fainali mwaka 1992 then baada ya miongo mitatu na ushee ndipo Yanga ikafika fainali. Simba imefika robo fainali mara nyingi tena mfululizo na baadae saaaaana tena kwa mbinde ndipo Yanga ikafika Msimu huu uliopita. Hata mwaka huu Yanga anaishia Makundi .

Simba inastahili heshima kubwa sana maana hutengeneza njia ili wengine nao waje kupita. MWAKA HUU SIMBA INACHUKUWA KOMBE LA SHIRIKISHO
 
Kama timu zote zitafuzu hivi ndivyo itakavyokuwa kwenye pot mbili za juu

Pot 1

Al Ahly
Es Tunis
Mamelod
Petro Luanda

Pot 2
Tp Mazembe
Belouizdad
Raja Casablanca
Young Africans

Hivyo Yanga itakutana na timu moja kutoka pot 1, timu moja kutoka pot 3 na timu moja toka pot 4.
Makundi ni timu 16

Makundi 04.

Timu nne nne
 
muongo Yanga hata akichukua ubingwa wa CL na Simba akatoka hii hatua ya pili bado ataendelea kuwa juu kwenye rank
 
muongo Yanga hata akichukua ubingwa wa CL na Simba akatoka hii hatua ya pili bado ataendelea kuwa juu kwenye rank
Hizo hesabu za wapi? Yanga na simba wamepishana alama 7 pekee. Endapo Yanga atatinga nusu fainali basi itamlazimu Simba kuwa bingwa shirikisho ili kuendelea kusalia juu ya Yanga
 
Ninachoamini ni kwamba Simba inakwenda kuweka historia mpya ya kuchukuwa kombe la Shirikisho this time kisha baada ya miaka 30 ndipo Yanga nayo ichukuwe Kombe hilo.

Nakumbuka Simba ilifika fainali mwaka 1992 then baada ya miongo mitatu na ushee ndipo Yanga ikafika fainali. Simba imefika robo fainali mara nyingi tena mfululizo na baadae saaaaana tena kwa mbinde ndipo Yanga ikafika Msimu huu uliopita. Hata mwaka huu Yanga anaishia Makundi .

Simba inastahili heshima kubwa sana maana hutengeneza njia ili wengine nao waje kupita. MWAKA HUU SIMBA INACHUKUWA KOMBE LA SHIRIKISHO
GVl8aDbXUAAdFOT.jpeg

Nionyeshe picja kama hii na medali zenu niwaonyeshe miguu ya nyoka 😂😂😂 Yanga ndiyo timu ya kwanza Tanzania kucjeza fainali ya movhuano mikubwa ya CAF barani Afrika
 
Baada ya Petro de Luanda kuondolewa ina maana Yanga sasa ana asilimia 25% za kukutana na TP MAZEMBE kwenye hatua ya makundi kwakuwa hawatokuwa tena kwenye chungu kimoja.
 
Baada ya Petro de Luanda kuondolewa ina maana Yanga sasa ana asilimia 25% za kukutana na TP MAZEMBE kwenye hatua ya makundi kwakuwa hawatokuwa tena kwenye chungu kimoja.
Belouizdad naye ilikuwa chupu chupu, ni sahihi kutolewa kwa Petro de Luanda kunaifanya Tp Mazembe kusogea hadi Pot 1 na Yanga kusalia pot 2 hivyo kuna uwezekano wa Yanga kuwa katika kundi moja kati ya Al Ahly, Es Tunis, Mamelod au Tp Mazembe
 
Belouizdad naye ilikuwa chupu chupu, ni sahihi kutolewa kwa Petro de Luanda kunaifanya Tp Mazembe kusogea hadi Pot 1 na Yanga kusalia pot 2 hivyo kuna uwezekano wa Yanga kuwa katika kundi moja kati ya Al Ahly, Es Tunis, Mamelod au Tp Mazembe
Hawa wote hakuna anaetaka kuwa kundi moja na yanga
 
Belouizdad naye ilikuwa chupu chupu, ni sahihi kutolewa kwa Petro de Luanda kunaifanya Tp Mazembe kusogea hadi Pot 1 na Yanga kusalia pot 2 hivyo kuna uwezekano wa Yanga kuwa katika kundi moja kati ya Al Ahly, Es Tunis, Mamelod au Tp Mazembe
Tunamtaka Mamelodi ili tuheshimiane.
 
Back
Top Bottom