Kama una machozi ya karibu pita mbali na huu uzi,Kenya hali ni mbaya

Tanzania hatujawahi kupata political assassination, labda failed assassination ya Tundu Lisu pekee, ila Kenya ni zaidi ya watu 300 tena viongozi wa ngazi za juu wa kisiasa na viongozi wa dini.
Yes, hakuna kitu mnaweza kamilisha, you are bogus on everything and fail on everything... kila kitu kwenu ni failed hadi simple assassinations mna-fail vile mnafail kwa projects zenu....bure kabisa.
 
Yes, hakuna kitu mnaweza kamilisha, you are bogus on everything and fail on everything... kila kitu kwenu ni failed hadi simple assassinations mna-fail vile mnafail kwa projects zenu....bure kabisa.
Eti simple assassinations wanafeliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Yes, hakuna kitu mnaweza kamilisha, you are bogus on everything and fail on everything... kila kitu kwenu ni failed hadi simple assassinations mna-fail vile mnafail kwa projects zenu....bure kabisa.
You never fail in
1)Political assassination
2)Police killings with impunity
3)Corruption
4)Tribalism
5)Terrorism
6)Unemployment
7)Hunger
8)Poverty
9)Nepotism
10)Land grabbing
When it comes to projects, your are very good implementers, congratulations for exemplary projects like
1)Green field terminal
2)Galana irrigation project
3)Mumia sugar factory
4)Procurement of old model diesel engines trains
5)Transportation of little crude oil by road.
Failed state indeed.
 
achana na hizo stori za vijiweni,huku kuna freedom of speech kubwa
Acha kuandika uharo hapa..
Tanzania kuna freedom of speech gani??
Ben Saanane, Azory na DED wa kule Kigoma wamepotezwa sababu ya Freedom of Speech..vipi Lissu na Roma Mkatoliki..na Nay Wa Mitego..??
AIBU.
 
Pamoja na yote hayo huwezi kulinganisha na Kenya, hapo umetaja watu watano, Mimi nitakutajia wakenya mia tano wsliokwisha uliwa na wengine kupotea katika mazingira ya kutatanisha.
Acha kuandika uharo hapa..
Tanzania kuna freedom of speech gani??
Ben Saanane, Azory na DED wa kule Kigoma wamepotezwa sababu ya Freedom of Speech..vipi Lissu na Roma Mkatoliki..na Nay Wa Mitego..??
AIBU.
 

Unaona hamna cha kushangaza hapo sio🀭🀭!! Wewe kweli umeichoka kenya. Madeni hayakatazwi lakini ninyi mnavyoyatumia kikora hiyo tu ndio sikitiko, na effect yake ya mida mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…