Kama una mguu wenye kigimbi au mlonjo umini unavaa wa nini?

Kama una mguu wenye kigimbi au mlonjo umini unavaa wa nini?

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habarini,
Unapokuja katika suala la mavazi mafupi, wapo wanawake ambao wamejaliwa na miguu yao mizuri ya bia wakivaa wananoga.

Uvaaji wa nguo fupi umekua unawachoresha hawa wenzetu wenye miguu mlonjo, unaamuonyesha nani milonjo yako!.

Kuna mavazi ya aina nyingi kama sketi ndefu, suruali, unaweza ukavaa na ukanoga tu.


NB: Nina guu la bia hataree, sitaki povu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kujikubali tu.

Mguu mlonjo ndio km wa sepenga nini?
 
Sasa uo mguu wako unadhan hata tunauhitaji sisi wanaume. Hauna matumizi yeyote. Mi naomba kuuliza. ... kama unamguu wa bia, Vip K nayo ni ya Nyamachoma au Supu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom