That umbo can save the coast of material, ndugu zangu watanzania si lazima ununue kitambaa cha kufunika msambwanda. Mini dress can save the coastKwani Na wewe una umbo namba 9 ze bigiiiiii nyonyozzzz ze legz laiki tuthipiki?
Lol... poor you.Povuu la mlonjo au?
Ahahahahah wapo weng sana wa dizain hiiWengine wakiwa na kigimbi wanajua ndo mguu wa bia[emoji16]utashangaa mtu anajisifia nimenyimwa shape lakini guu nnalo[emoji23][emoji23][emoji23]ukisema ucheki guu lenyewe linalosifiwa[emoji134][emoji134][emoji16][emoji16]
Picha zoteunataka kuona mguu wa bia au mlonjooo?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ahahahahah wapo weng sana wa dizain hii
Good Girl.Nina miguu km fito ila sketi fupi siachi , najikubali nilivyo sisikilizi maneno ya watu!!
Pole kwani ni ulemavu kuwa hatembei.. Acha utoto, tangu uwe na mguu wa bia umekusaidia nnHa ha haaa...pole
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kifalaBora mlonjo peke ake, ukikuta una nyongeza ya kigimbi....mguu unakua kama rungu.
Mmmh tukianza kuchambua nguo za kuvaa kutokana na maumbile kuna watu watatembea uchi!!!
Mimi navaa vile nnavyojiskia as long as I'm comfortable na sivunji sheria za nchi!!!
Mtakuja kusema sense mikono kama ya Isha Mashauzi wasivae nguo za mikono wazi...
Mi naona mavazi ni kujiamini, baaaasi!
[emoji23] [emoji23] duh!Sasa uo mguu wako unadhan hata tunauhitaji sisi wanaume. Hauna matumizi yeyote. Mi naomba kuuliza. ... kama unamguu wa bia, Vip K nayo ni ya Nyamachoma au Supu?