Kama una mguu wenye kigimbi au mlonjo umini unavaa wa nini?

Kwani hizo Nguo fupi, zilieekewa sheria kua niza wenye miguu ya bia,ulimbukeni tu
 
Weka picha
 

mashine mbovu ...mguu wa bia hautusaidii chochote
 
Ukisubr upate mnene utazeeka boravujivalie tu kama mimi na vmilonjo vyangu twende hakuna kumuogopa mtu
 
Kwa kweli mi napenda saana nikiona mwanamke anamguu mwembamba. Huwa nachanganyikiwa.

Nikiona limguu linene, sijui la bia aagh...!! Mzuka woote unaisha. Nafananishaga na kitu (mnyama) ambaye amevimba kwaajili ya kupasuka akiwa hatua za kuoza(ku-decompose)
 
Ngoja Supawuman aje
 
Jamanii, kwahiyo wenye fimbo tusivae vimini? Uhii mm nina mguu kama fimbo lakini naupenda sana sababu wengine hawana huo mguu, wanasota sababu hawawez tembea kama mm, namshukuru Mungu na ninavaa nguo ninayo itaka
 
Picha ikwapi???

Mingine hiyo sio miguu ya bia ni VIGIMBI..
 
Acha watu wavae..Mtu kajikubali kisa nina upungufu flani ndio ni si enjoy maisha? NEVER
 
Tena wenye miguu yenye vigimbi na iliyoshupaa na mapaja yaliyokomaa yasiyo na michirizi na membamba wanapendwa sana na watasha, nilijarijaribu kudodosa kwanini, wengi wao walidai hao wa namna hiyo wana K iliyoshupaa na kakamavu, pia eti ile miguu iliyoshupaa na vigimbi na mapaja makakamavu wanasifika kwa kumbana mwanaume vizuri awapo juu! 😎😛
kweli ya ngoswe mwachie ngoswe...Dunia ina mambo yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…