Kama una mipango ya kununua subwoofer basi usithubutu kununua hii subwoofer.

Kama una mipango ya kununua subwoofer basi usithubutu kununua hii subwoofer.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
PXL_20240618_175225243~2.jpg

From my own experience nilijichanga ili geto nisikae kinyonge niwe nasikilizia muziki pamoja na Fm stations kilichotokea ni vice versa na hasara ya Tz shilling 110,000/= just imagine ndani ya miezi miwili ilianza kujizima ukiwasha unasikiliza hazipiti hata dk 2 inazima

Ikabidi nirudishe dukani waliniambia Ina warranty ya mwaka japo kwa kuzozana na mwenye duka akakubali kuipokea kwa makubaliano kuwa ataipeleka kariakoo kwa mafundi wao kujua tatizo ni nini na kulifanyia kazi niliomba nibadilishiwe brand wakakataa.

Radio ilikaa kwa mafundi wao kama wiki nikapigiwa simu kuenda kuichukua wakidai tatizo lishakuwa solved nilichukua Nika kaa nayo mwezi tatizo likajirudia vile vile

Sauti niliyorekodi wakati ikizima
 

Attachments

View attachment 3020724
From my own experience nilijichanga ili geto nisikae kinyonge niwe nasikilizia muziki pamoja na Fm stations kilichotokea ni vice versa na hasara ya Tz shilling 110,000/= just imagine ndani ya miezi miwili ilianza kujizima ukiwasha unasikiliza hazipiti hata dk 2 inazima

Ikabidi nirudishe dukani waliniambia Ina warranty ya mwaka japo kwa kuzozana na mwenye duka akakubali kuipokea kwa makubaliano kuwa ataipeleka kariakoo kwa mafundi wao kujua tatizo ni nini na kulifanyia kazi niliomba nibadilishiwe brand wakakataa.

Radio ilikaa kwa mafundi wao kama wiki nikapigiwa simu kuenda kuichukua wakidai tatizo lishakuwa solved nilichukua Nika kaa nayo mwezi tatizo likajirudia vile vile

Sauti niliyorekodi wakati ikizima
Pole
 
Hiyo redio ina shida kama ya kwangu kipindi flani, Nilihangaika nayo sana nkienda kwa fundi tatizo halioni, one day akalifumania akanambia kuna loose connection nyingi akaichoma choma tu, nkampa Buku 2, Nkatembea zangu.
Hadi leo haijarudia.
 
View attachment 3020724
From my own experience nilijichanga ili geto nisikae kinyonge niwe nasikilizia muziki pamoja na Fm stations kilichotokea ni vice versa na hasara ya Tz shilling 110,000/= just imagine ndani ya miezi miwili ilianza kujizima ukiwasha unasikiliza hazipiti hata dk 2 inazima

Ikabidi nirudishe dukani waliniambia Ina warranty ya mwaka japo kwa kuzozana na mwenye duka akakubali kuipokea kwa makubaliano kuwa ataipeleka kariakoo kwa mafundi wao kujua tatizo ni nini na kulifanyia kazi niliomba nibadilishiwe brand wakakataa.

Radio ilikaa kwa mafundi wao kama wiki nikapigiwa simu kuenda kuichukua wakidai tatizo lishakuwa solved nilichukua Nika kaa nayo mwezi tatizo likajirudia vile vile

Sauti niliyorekodi wakati ikizima
Tafuta mitumba ya Sony , jvc , Philips

Ukishindwa tafuta hata Hisense Mpya duka hata soundbar kama unataka heavy music chukua Hi Fi speakers.

Kama uko vizuri wavute wakina okyo, pioneer, JBL , bose , Anker
 
Tafuta hii Sony LBT-SH2000 hutajuta ila ujifunge kiongozi ninayo miaka 11 sasa bila shida yoyote nikiamua kuachia ngoma kitaa wanafunga Mike be yao
 
Back
Top Bottom