Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Huwezi kusema people+they kwa pamoja.Eople they have money duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kusema people+they kwa pamoja.Eople they have money duuh
Hili duka ndo milioni 4 imelala hapo?Kutokana na kuelemewa na majukumu yanayohitaji kusafiri mara kwa mara na kushindwa kuwa na usimamizi wa karibu tumeamua kuuza biashara yetu ya duka la nguo.
Kama unataka kuingia kwenye biashara hiyo kwa mtaji wa angalau sh milioni nne njoo chukua duka lililo tayari uanze mara moja.
Kwa mawasiliano zaidi 0678174862 au whatsapp 0656388678
Duka lipo Tabata, Dar.
View attachment 2730055View attachment 2730056View attachment 2730057
So i kust say people you...?Huwezi kusema people+they kwa pamoja.
Tabata AromaTabata kubwa,sehemu gani hiyo ya tabata
Siku hutofautiana mkuu hakuna general rule kwenye hiloNamaanisha mauzo kwasiku
Bora ujiandikie tu kiswahili... na hili jua utatapika bureSo i kust say people you...?
Ebhanaee hili duka mbona kama chumba cha mtu 👀👀 ceiling haivuji maji kweli hapo
Jibu la hili ni gumu! Bila shaka ndilo suala linalofanya duka kuuzwa. Sikatishi tamaa wanunuzi kwani kuna wengine wenye ujuzi wa biashara au wanaweza kutumia frame kufanya biashara nyingine, ila ukiona mtu anauza duka jambo la kwanza ni kuwa hakuna biashara hapo.Namaanisha mauzo kwasiku
Sababu ya kuuza nilishaieleza kwenye post ya kwanza. Kama una nadharia zako zingine hakuna anayekuzuia kusema!Jibu la hili ni gumu! Bila shaka ndilo suala linalofanya duka kuuzwa. Sikatishi tamaa wanunuzi kwani kuna wengine wenye ujuzi wa biashara au wanaweza kutumia frame kufanya biashara nyingine, ila ukiona mtu anauza duka jambo la kwanza ni kuwa hakuna biashara hapo.
Nimeisoma. Ila kumbuka hakuna anayesema anauza duka kwa sababu hakuna biashara.Sababu ya kuuza nilishaieleza kwenye post ya kwanza. Kama una nadharia zako zingine hakuna anayekuzuia kusema!
Sidhani kama tukilumbana kwa argument yako tutapata faida yoyote. Mnunuzi aende mwenyewe aone duka then atang'amua mwenyewe kwamba ni eneo stahiki kwa biashara hiyo au la.Nimeisoma. Ila kumbuka hakuna anayesema anauza duka kwa sababu hakuna biashara.
Why are you geting jealousBora ujiandikie tu kiswahili... na hili jua utatapika bure
Hahahaha imebidi nicheke kwa lipi?Why are you geting jealous
Eat more fruits mr Lusungo if the sun is too hot in townHahahaha imebidi nicheke kwa lipi?
Mpe basi ya bure.Wana JF kweli ni masikini, yaani milioni 3.2 ndo inawatoa povu like this way?? Hii ni chupa moja ya Hennessey hapa Bukoba Club.
Phd yako ulichukulia chuo gani??Mpe basi ya bure.
Cha babako.Phd yako ulichukulia chuo gani??
Let me vommit but i like thus language or you want me to speak my mother tongue kisambaa....?Nimekwambia lugha za watu mwishowe utatapika bure!