King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Jibu la hili ni gumu! Bila shaka ndilo suala linalofanya duka kuuzwa. Sikatishi tamaa wanunuzi kwani kuna wengine wenye ujuzi wa biashara au wanaweza kutumia frame kufanya biashara nyingine, ila ukiona mtu anauza duka jambo la kwanza ni kuwa hakuna biashara hapo.
This Case is Closed , Boma Liwanza ,Boma Ye!