Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Nilishaandikaga sana hapo nyuma namna mwanaume anaweza kupata mke mwema. The only way katika hii corrupted world, ukapata mke mwema ni kwa Mungu pekee. Na nikasema kabisa ili upate mke mwema lazima kwanza ukubali kusubmit under God's authority.

Mungu ndo atoaye jicho la ndani ili uweze kutambua nani ni mke. Katika maandiko ya imani yangu, neno linasema mke mwema ana thamani zaidi ya Ruby(Mith 31:10). Ikiwa wanaochimba madini wanafanya either ushirikina au kuomba Mungu (kama wapo) ili kupata madini na they mean business je si zaid mke mwema? Maana kama ana thamani kuzidi ruby, it means mke mwema ni very expensive.

Watu wanafunga biashara na kutenga siku kabisa ili fedha waikamate je si zaid mke mwema? Kumpata mke mwema ni nzuri zaidi kama utatafuta msaada wa kiroho ili umjue vizuri. Maana kuna makucha mwanamke anaweza kuyaficha ili ayaonyeshe baadae lakin Mungu aonae sirin lazima atakufunulia ikiwa umekaa nae vizuri. So ni lazima mwanaume asubmit under full authority of his Master ambae ni Bwana Mungu, ili apate kilicho chema.

Kuna ambao huwa wanaenda kwa waganga ili kujua kama mwanamke wa kuoa ndo huyu au siye. Sasa baadhi ya wanaume hawatafuti msaada kwa Mungu au basi upande wa pili watamjuaje mke mwema? Ndoa nzuri ni kipengele mno hasa nyakati hizi za mwisho. Bila msaada wa kiroho mambo hayataenda.

Wengne wataobject na kusema unaweza uonyeshwe na bado akaja kubadilika ni kweli. Lakin hata biashara, au fedha si ingeweza kuisha. Kama hauko tayari for the risks then dont marry or get married. Ndoa is for the strong. Only the strong shall win. Kila mtu apambane na chaguo lake.
Maelezo mengi ila kwa kifupi unamaanisha ndoa ni kubahatisha!
 
Sawa ila mkeo tutapita naye.
We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Hujitambui suala la kuoa ni la mtu binafsi hakuna mtu aliyekushikia bundling uoe

Hii campaign yenu haitafanikiwa
Leo jmos zimefungwa ndoa nne kwenye kanisa ninalosali bado huko kwingine

Nyie endelezeni upumbavu wenu matahira na Mashona wenzako ndiyo watafuata huu upumbavu wako ulio Post hapa

Matako ya ngurue pori nyie mashoga dawa yenu ni shaba tuu kama North Korea
 
Kiukweli Niwe muwazi, naweza nikaja kuoa (baadae) lakini ndoa si kitu cha kukimbilia. Ikiwezekana sitaoa kabisa.

Kuna ule ujinga wanawake wa kisasa wanao, ukianza tu kufanikiwa anatafuta njia ya kuachana Ili mgawane mali. Na wale waalimu wanavyom-pump, utasikia

"Shogaang nenda ustawi wa jamii upate haki yako. Mpelekeko"


Fƍk marriage
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kumuibia mwanaume.
 
Umeongea kwa kuchuki nzito sana inaonyesha unatamani ungezaliwa Mwanamke..Pole sana “Eti umtolee Mahari, Umtunze,Utunze watoto,Umlinde na Umridhishe Kitandani”

Usipotoshe Vijana wewe kama Huoi baki ulivyo usituletee tafiti zako BUTU..VIJANA OENI MKIPATA WANAWAKE SAHIHI WA KUWAOA
 
Mtoa mada sijakuelewa unachoogopa ni kipi haswa kwenye ndoa.

1.Kuchapiwa mke ?

2.Mkeo kutumia Mali zako? Sasa na Baadae , ukifa.

3. Uchumi wako mdogo kuhudumia kama wajibu na haki ya wategemezi ?

4. Magonjwa ya ngono ?...

5. Mkiachana mtagawana Mali na huyo mke ?

Em funguka Kaka maana mpaka Sasa nna hints tatu
:Ww ni mtu mzima wa 40+ (nahisi)
: Una stress na shinikizo juu ya ndoa kutoka kwa jamii na familia.


Swali la Uzushi.
Je ww ni mtoto wa nje ya ndoa, kwa mama ako ?
Sioni faida ya kuoa. Hebu nipe faida tatu tu za kuoa ambazo nisipooa nitazikosa.
Zaidi naona hasara nyingi ndani ya ndoa.
 
Wazee wangu walikuwa wanasema "Sijakua" mpaka nioe. Kweli nilipooa nikafahamu maana yake. Ndoa ni mtihani sana ndugu zangu sikatazi watu waoe au wasioe bali wajimage sana kabla ya kuingia huku kiumeni.
Kifupi kwa mwanaume ndoa haina maana yoyote.
 
Unawasaidia kufanya nini hasa?

Kuoa au kuolewa nadhani ni swala binafsi sana, halihitaji mtu kuja kukushawishi au kukuhimiza uoe au usioe.

Wewe umeleta wazo lako ukiwa na malengo gani kwa ambao hawajaoa au kuoelwa?
Tunawasaidia vijana ambao wanampango wa kuingia kwemye ndoa bila kujua watakutana na nini huko.
Tunawapa dondoo za yaliyomo ndoani then wataamua wenyewe.
 
Wasiooa Wana stress na valentine nn mbona nyuz zimekuwa nyingi watu wako busy kutafutia wake zao na wakezao watarajiwa zawadi [emoji3]wakaenjoy mbona mna makasiriko sana [emoji23]
Kwetu Valentine ni kila siku, hatuna limitation.
 
We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Hujitambui suala la kuoa ni la mtu binafsi hakuna mtu aliyekushikia bundling uoe

Hii campaign yenu haitafanikiwa
Leo jmos zimefungwa ndoa nne kwenye kanisa ninalosali bado huko kwingine

Nyie endelezeni upumbavu wenu matahira na Mashona wenzako ndiyo watafuata huu upumbavu wako ulio Post hapa

Matako ya ngurue pori nyie mashoga dawa yenu ni shaba tuu kama North Korea
Wewe ndo mfano bora wa wanandoa. Tuliwaambia mtakufa kwa stress hamtaki kuelewa, angalia sasa ulichoandika!
Stress zitakuua.
 
Umeongea kwa kuchuki nzito sana inaonyesha unatamani ungezaliwa Mwanamke..Pole sana “Eti umtolee Mahari, Umtunze,Utunze watoto,Umlinde na Umridhishe Kitandani”

Usipotoshe Vijana wewe kama Huoi baki ulivyo usituletee tafiti zako BUTU..VIJANA OENI MKIPATA WANAWAKE SAHIHI WA KUWAOA
Mwanamke sahihi utamjua baada ya ndoa.
VIJANA MSIOE
#KATAANDOA
 
Back
Top Bottom