Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Maelezo mengi ila kwa kifupi unamaanisha ndoa ni kubahatisha!
 
Sawa ila mkeo tutapita naye.
We jamaa ni mpumbavu kiwango cha lami
Hujitambui suala la kuoa ni la mtu binafsi hakuna mtu aliyekushikia bundling uoe

Hii campaign yenu haitafanikiwa
Leo jmos zimefungwa ndoa nne kwenye kanisa ninalosali bado huko kwingine

Nyie endelezeni upumbavu wenu matahira na Mashona wenzako ndiyo watafuata huu upumbavu wako ulio Post hapa

Matako ya ngurue pori nyie mashoga dawa yenu ni shaba tuu kama North Korea
 
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kumuibia mwanaume.
 
Umeongea kwa kuchuki nzito sana inaonyesha unatamani ungezaliwa Mwanamke..Pole sana “Eti umtolee Mahari, Umtunze,Utunze watoto,Umlinde na Umridhishe Kitandani”

Usipotoshe Vijana wewe kama Huoi baki ulivyo usituletee tafiti zako BUTU..VIJANA OENI MKIPATA WANAWAKE SAHIHI WA KUWAOA
 
Sioni faida ya kuoa. Hebu nipe faida tatu tu za kuoa ambazo nisipooa nitazikosa.
Zaidi naona hasara nyingi ndani ya ndoa.
 
Wazee wangu walikuwa wanasema "Sijakua" mpaka nioe. Kweli nilipooa nikafahamu maana yake. Ndoa ni mtihani sana ndugu zangu sikatazi watu waoe au wasioe bali wajimage sana kabla ya kuingia huku kiumeni.
Kifupi kwa mwanaume ndoa haina maana yoyote.
 
Unawasaidia kufanya nini hasa?

Kuoa au kuolewa nadhani ni swala binafsi sana, halihitaji mtu kuja kukushawishi au kukuhimiza uoe au usioe.

Wewe umeleta wazo lako ukiwa na malengo gani kwa ambao hawajaoa au kuoelwa?
Tunawasaidia vijana ambao wanampango wa kuingia kwemye ndoa bila kujua watakutana na nini huko.
Tunawapa dondoo za yaliyomo ndoani then wataamua wenyewe.
 
Wasiooa Wana stress na valentine nn mbona nyuz zimekuwa nyingi watu wako busy kutafutia wake zao na wakezao watarajiwa zawadi [emoji3]wakaenjoy mbona mna makasiriko sana [emoji23]
Kwetu Valentine ni kila siku, hatuna limitation.
 
Wewe ndo mfano bora wa wanandoa. Tuliwaambia mtakufa kwa stress hamtaki kuelewa, angalia sasa ulichoandika!
Stress zitakuua.
 
Mwanamke sahihi utamjua baada ya ndoa.
VIJANA MSIOE
#KATAANDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…