Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nipo na shangazi yako kwa miaka 21.Nakupa "kapiriansee"/expiriance mkuu.Ndoa siyo maigizo.This is for real,my hommie!Naenjoy sana mimi labda nyie mnafeli kwa kusikiliza maneno ya watu kua huyo sio wako tena ,
kama ipo ipo tu kikubwa mawasiliano tu yawe safi na kuacha kusikiliza maneno ya watu kama yaliwatokea wao , wewe rekebisha yasikutokee, , ,
Kwa kweli namshukuru Mungu mke yupo mbali lakini ninamuhandle kama nipo nae karibu.Have you ever come "desire" examination?Na kwa nini muwe mbali?Juzi tu mheshimiwa waziri ametamka na kuwataka weznza wakae pamoja.Hili ni jambo sensitive mnoo.Laa sivyo,hasa kwa watumishi wa umma watapotea/kufa sana.Muishi pamoja.Stay as close as together like witches!
Haina shida.You are blessed!ππKwa kweli namshukuru Mungu mke yupo mbali lakini ninamuhandle kama nipo nae karibu.
Kubwa sifikirii anachepuka au laa maana kama mchepukaji hata akiwa karibu anachepuka tuu, ni kuijenga akili kuwa mtu wangu ananipenda basi mengine achana nayo
Nifah naongopa hapa
MoisemusajiografiiNipo na shangazi yako kwa miaka 21.Nakupa "kapiriansee"/expiriance mkuu.Ndoa siyo maigizo.This is for real,my hommie!
Tatizo ni asili uliyoumbwa nayo; kichupa kikijaa kinatakiwa kipunguzwe baada ya muda fulani; tofauti na hivyo unaweza kuanzisha kijitabia ambacho si kizuri.Changamoto tu maisha za hapa na pale kutafuta riziki lakini kama nampenda kweli siwezi kuvunja mahusiano yangu mimi na yeye maana anajua natafuta na nikipata ni chetu wote hivyo huwa anakuwa na subira sana kwani nampenda na yeye ananipenda
Utakuja kulia mdomo juu kama mbwaWataalamu wa Saikolojia na Uhusiano wanadai Mapenzi ya mbali ni kitu cha kawaida na Mtu unaweza kuyafurahia kama vile upo karibu na Mtu wako na siku zote mkaridhishana kimwili na kiakili (bila kuwaza kuchepuka), iwapo tu kati yenu kutakuwa na mawasiliano mazuri, urafiki wa karibu, uaminifu na kujitoa Mapenzini
ππππShukrani mkuuHaina shida.You are blessed!ππ
Summary ya huu uzi ni hii π
DISTANT LOVE KILLS π€π
KujiendekezaTatizo ni asili uliyoumbwa nayo; kichupa kikijaa kinatakiwa kipunguzwe baada ya muda fulani; tofauti na hivyo unaweza kuanzisha kijitabia ambacho si kizuri.
Sio kujiendekeza, kutokufanya muda mrefu kunapelekea mtu mkubwa kuwa na mawazo ya kitoto toto pamoja na kuwa na hasira hasiraKujiendekeza
Kinacho kwamisha mapenzi ya mbali mawasiliano tu,Utakuja kulia mdomo juu kama mbwa
Fimbo ya mbali......Fimbo ya mbali haiui Nyoka!
Wahenga hawakukosea huu usemi
Waliona mbali π
Sawasawa.Sasa ingia ulingoni uione ngondo!Moisemusajiografii
Wanasema aliwazalo mtu ndilo limfikalo,
Kutokana na aina hii ya mahusiano
Tunaeza kuyatafasili katika mitazamo miwili yote ni kutokana na mlengwa mwenyewe
Lakini kuna kupendana na siyo kuvutana au kuvutia pande moja,
Ukibahatika kuvuta kwa pamoja hakika utafurahia mnoo hata ikiwa itakuwa umbali kiasi gani.
Mawasiliano ni nguzo muhimu sana baina ya wapendanao, humfanya kila mtu kuhisi uwepo wa mwenzi wake hata kama atakuwa mbali nayekinachotokea hapo sasa ni either tukuzike au ubaki kilema ukiugulia maumivu π€π
Usiwatishe ndugu yangu. π€£π€£π€£Habari na picha..
πSawasawa.Sasa ingia ulingoni uione ngondo!
KabisaUsiwatishe ndugu yangu. π€£π€£π€£