Kama una mpenzi ambaye yupo mbali yataka moyo sana

Mapenzi ya mbali ili yaende na yasikuvurugwe lazima ujizime data ujifanye ujui chochote. Ukipiga usipopokelewa au ikikatwa unatulia kama hakijatokea kitu vile na baadae ukiuliza ukajibiwa kubali tu majibu bila kujali ni uongo au n kweli.
 
Mm wangu alipata kazi mkoa tena wilayani kijijini huko eti after miezi 2 naona anaanza kunipandishia mapega kwanza alinirahisishia kazi sana nilikuwa namvutia rada ajae nijipangue..

Nilimwambia tu kelebu kule huna cha kunitisha zaidi ya uchawi tu huko ulipo kenge kabisa..!yakaishia hapo.
 
Mpenzi ya mbali ni mazuri bcoze Hakuna kusumbuana kila mtu na mishe zake yaan tutaonana kwenye mawasiliano tusipo wasiliana tunasema true love never die [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kusumbuana? Me najua kama unampenda kweli mwenza wako utahitaji kumuona kila iwezekanapo lkn kumbe ni kinyume
 
Mh wanasema hivyo mm hainiingii akilini kabisa uwepo wa mtu matters a lot
 
Mapenzi ya mbali ili yaende na yasikuvurugwe lazima ujizime data ujifanye ujui chochote. Ukipiga usipopokelewa au ikikatwa unatulia kama hakijatokea kitu vile na baadae ukiuliza ukajibiwa kubali tu majibu bila kujali ni uongo au n kweli.
Yaan yana dumu sana kikubwa imani
kinachosaidia watsp video call na kutumiana picha
 
Hongera kwako ila binafsi mahusiano ya mbali sitaki kabisa kusikia bora niwe singo kuliko kuwa na mahusiano ya mbali.
Hapana mkuu
Kwa mapenzi distance is not a barrier, what matters a lot ni honesty respect and faithfulness,

And through sir God everything is possible for he who believes (Mark 9:23)
 
Ahahahaha Magomvi ya mara kwa mara hufanya mmoja wenu ahisi kuchoka na mahusiano.
Inapotokea sababu za ugomvi ambao unahisi unaweza kuwa chanzo cha kuvunja mahusiano yenu ni afadhali ukazizuia na kutafuta siku nyingine ya kutatua tatizo hilo.
 
Kusumbuana? Me najua kama unampenda kweli mwenza wako utahitaji kumuona kila iwezekanapo lkn kumbe ni kinyume
Kwa wastani kama uanishi mbali na mpenzi wako, kama ni siku za kawaida hakuna dharura zozote wala kitu cha maana cha kuweza kuonane naye unapaswa kuongea naye si zaidi ya mara tatu kwa siku.

Ingawa mawasiliano ndiyo msingi mkuu wa mahusiano ya mbali kuhusu kuonana hilo suala lingine.
 
Hapana mahusiano ya mbali bora niwe single.
Kama kweli unampenda kwa dhati mwenza wako na mmetengana kutokana na sababu za kimasomo ama kazi kwa hakika utakuwa tayari kumtunzia penzi lake hadi mtakapokutana tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…