Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Hao watu ambao hawajawah kutafuta pesa ni shida tupu , wanaonaga kama watu wengine akili hawana, subiri tu life liwafundisheKumbe na wewe umemuona? [emoji23][emoji23][emoji23] huyo jamaa amenifurahisha sana
Ni kama wale husoma biashara kwenye vitabu wanakuwa na nadharia zao vichwani