Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Kumbe na wewe umemuona? [emoji23][emoji23][emoji23] huyo jamaa amenifurahisha sana
Ni kama wale husoma biashara kwenye vitabu wanakuwa na nadharia zao vichwani
Hao watu ambao hawajawah kutafuta pesa ni shida tupu , wanaonaga kama watu wengine akili hawana, subiri tu life liwafundishe
 
Fala Sana wewe. Umeongea kama vile wewe ni wale fai waka mnaofanya Kazi hapo kiwanda.

Kama biashara inaweza kukupa Faida ya 10k alafu wewe ukawa unapata 3k ukaona poa kisa unapata Faida nasi wewe utakuwa mjinga wa mwisho.

Anyway nisamaraizi kwa kusema nimadamu tumatofautiana.binafsi huwa naangalia gaida na mfa niliotumia pamoja na kapital niliyoweka.

Kwa mfano niweke eti niwe na mtaji wa mbuzi 60 alafu gaida yake iwe 360k kwa mda wa wiki mbili hata kwa wiki sifanyi.

Kama nilivyosema tunatogautiana kimtazamo na mipango. Bila kusahau uwezo pia.

Siku nyingine uwe na adabu huwezi jua nani atakupa fursa.

Na kukuthibitishia ninacho kuambia kuna biashara nimeamua kutuma M7 Kati ya hizo M7; 1.3M ni tiketi ya ndege; 500k kula na kulala lakini Faida yake ambayo iko projected ni 6M. Nitaleta ushuhuda suni
Fursa vp mbona umefunga DM.....nimekuchek
 
Nimeenda mpk huko vijijini kabisa...kufatilia hii kitu!
Minada inafanyika daily wewe tu pesa yako kununua na kujua wataka was Aina gani ili usipigwe bei..
Napenda kusema hivi kama mtumishi wa Umma yakupasa ufanye wikiendi tu la sivyo itakugharimu maana kuna kulala huko huko km mzigo haujatosha na ni vzr pia ufanye mwenyewe Ili kuepusha lawama au muandikishane
Kaka ameelezea kila kitu na kwa uwazi kabisa hajaficha kitu!
Ila Nilichopenda Kondoa warangi watu wazuri sana hongera zao!
 
Nimeenda mpk huko vijijini kabisa...kufatilia hii kitu!
Minada inafanyika daily wewe tu pesa yako kununua na kujua wataka was Aina gani ili usipigwe bei..
Napenda kusema hivi kama mtumishi wa Umma yakupasa ufanye wikiendi tu la sivyo itakugharimu maana kuna kulala huko huko km mzigo haujatosha na ni vzr pia ufanye mwenyewe Ili kuepusha lawama au muandikishane
Kaka ameelezea kila kitu na kwa uwazi kabisa hajaficha kitu!
Ila Nilichopenda Kondoa warangi watu wazuri sana hongera zao!

Aise mimi mwenyewe warangi niliwapenda sana mrangi Asanteni sana.
 
Nimeenda mpk huko vijijini kabisa...kufatilia hii kitu!
Minada inafanyika daily wewe tu pesa yako kununua na kujua wataka was Aina gani ili usipigwe bei..
Napenda kusema hivi kama mtumishi wa Umma yakupasa ufanye wikiendi tu la sivyo itakugharimu maana kuna kulala huko huko km mzigo haujatosha na ni vzr pia ufanye mwenyewe Ili kuepusha lawama au muandikishane
Kaka ameelezea kila kitu na kwa uwazi kabisa hajaficha kitu!
Ila Nilichopenda Kondoa warangi watu wazuri sana hongera zao!
Kaka ningeomba unitajie vijiji ulivyotembelea na ufikaji wake huko, na kama unapata mzigo unawasafirishaje mpaka kiwandani? Mana nna mpango wa kufanya ziara na mimi huko vijijini kbl cjaingia rasmi ktk huo mchongo..ili nijue km naweza kupata bidhaa ya kutosha ili nione tija ya hii biashara.
 
Kaka ningeomba unitajie vijiji ulivyotembelea na ufikaji wake huko, na kama unapata mzigo unawasafirishaje mpaka kiwandani? Mana nna mpango wa kufanya ziara na mimi huko vijijini kbl cjaingia rasmi ktk huo mchongo..ili nijue km naweza kupata bidhaa ya kutosha ili nione tija ya hii biashara.
Jana kulikua na mnada mtiriangwi,minada inaenda kwa tarehe Leo ulikuwepo Gwandi Wilaya ya Chemba!
Usafiri upo kuna magari ya minada pia!Mimi nilienda majuzi nilienda majuzi nimesavei sana tu!ukiwa tayari ntafute!
Mzigo pesa yako tu!
 
Mkuu ukifika Kondoa mjini ulizia madalali au wanunuzi wa mbuzi, watakupeleka minadani. Minada inakuwa vijijini kila kijiji kina siku yake na pale Kondoa mjini pia kuna siku yake.

Kuhusu soko hadi mimi nasitisha baada ya kupata ajira nje ya nchi, lilikuwa la uhakika sana na ilikuwa March mwaka huu. Hata ungepeleka lori zima wananunua, kiwanda ni kikubwa sana na hawa jamaa wanapeleka nyama ya mbuzi, nchi za kiarabu, Oman, Qatar na kwingineko kwa hiyo soko ni uhakika sana.
Kwa kuanzia ni mtaji kiasi gani mtu anaweza kuanza nao?
 
Nataka fanya utafiti nikijiridhisha nianze mchakato japo kwa udogo wake. Nataka ikibidi niwapigie simu nione kama bado wananunua na terms zao zipoje? Nitakapowasikia na nikajiridhisha na mchakato basi niende kondoa machakani huko nako nikajifunze. Wadau mm ni msakatonge tuu nipo morogoro mjini hapa. Tushirikiane kutafiti hili alilotupa mwezetu. Ikishindikana kupata simu zao itabidi niende physically.
Mkuu vipi ulishaanza mchakato?
 
Jana kulikua na mnada mtiriangwi,minada inaenda kwa tarehe Leo ulikuwepo Gwandi Wilaya ya Chemba!
Usafiri upo kuna magari ya minada pia!Mimi nilienda majuzi nilienda majuzi nimesavei sana tu!ukiwa tayari ntafute!
Mzigo pesa yako tu!
shukrani, haina shida tutatafutana kwa infor zaidi...ila usalama upo huko watu wasijegundua una pesa hlf ukaviziwa ukapigwa robber.😅
 
Mkuu vipi ulishaanza mchakato?
Nimefanya upekuzi wa mazingira ya kondoa mpaka kiwandani . Ni hivi kwa sasa wakulima wamepata hela ya mbaazikwahiyo mbuzi wana bei kidogo . Kwa mujibu wa ushauri wa mwenyeji wangu alishauri nianze mwezi wa 11. Hata hivyo tar 15 Oct naanza mdogo mdogo. Kiwandani soko lipo wazi kabisa na bei ni 8500/kg. Karibu tupambane
 
kwa uzoefu kidogo hiko hiv, mvua zikinyesha za kutosha na mipaka kufungwa1.nchi inapata neema ya mazao ya nafaka na bei kushuka. 2.maumivu yanakwenda kwny unga wa mahindi sbb watu upendelea kula wali kwsbb bei ya mchele inakua chini wkt mwengine karibu sawa na bei ya unga wa mahindi. 3.pumba za mahindi bei upanda sana sbb watu hatuli tena ugali. 4.sbb nafaka ipo ya kutosha wafugaji nao hawaoni sbb ya kuuza mifugo yao sbb nao ni wakulima siku hizi lkn pia akiuza hata mbuz mmoja tu anaweza kununua chakula kingi hivyo mifugo upanda bei sana. 5.kwa vile mvua zilikua za kutosha hivyo nyasi kwaajili ya mifugo yao pia zinakua nyingi hivyo mfugaji halazimishwi na kitu chochote kuuza mifugo yake na kwanza sio utamaduni wa mfugaji kuuza mifugo yake ile ni pride tu wanapenda kuona wanamifugo mingi bila kujali kama inawafaidisha au la!
 
kwa uzoefu kidogo hiko hiv, mvua zikinyesha za kutosha na mipaka kufungwa1.nchi inapata neema ya mazao ya nafaka na bei kushuka. 2.maumivu yanakwenda kwny unga wa mahindi sbb watu upendelea kula wali kwsbb bei ya mchele inakua chini wkt mwengine karibu sawa na bei ya unga wa mahindi. 3.pumba za mahindi bei upanda sana sbb watu hatuli tena ugali. 4.sbb nafaka ipo ya kutosha wafugaji nao hawaoni sbb ya kuuza mifugo yao sbb nao ni wakulima siku hizi lkn pia akiuza hata mbuz mmoja tu anaweza kununua chakula kingi hivyo mifugo upanda bei sana. 5.kwa vile mvua zilikua za kutosha hivyo nyasi kwaajili ya mifugo yao pia zinakua nyingi hivyo mfugaji halazimishwi na kitu chochote kuuza mifugo yake na kwanza sio utamaduni wa mfugaji kuuza mifugo yake ile ni pride tu wanapenda kuona wanamifugo mingi bila kujali kama inawafaidisha au la!
Solution hapa ninayoiona ni mtu kuingia chimbo na kuanza kufuga mwenyewe huko usingidani au popote. Labda sasa aje mtu mwenye uzoefu na ufugaji atuelezee changamoto zake. Kwasababu kwa mtizamo wangu ukiweza kufuga ukauza mbuzi hapo kiwandani na ukawa na uwezo wa kusupply consistently basi unaweza kumaximize faida mara dufu.
 
Jana kulikua na mnada mtiriangwi,minada inaenda kwa tarehe Leo ulikuwepo Gwandi Wilaya ya Chemba!
Usafiri upo kuna magari ya minada pia!Mimi nilienda majuzi nilienda majuzi nimesavei sana tu!ukiwa tayari ntafute!
Mzigo pesa yako tu!
Mkuu ninapenda kukupongeza sana na nimependa sana spirit yako!! Tangu huu mjadala umeanzishwa nimekuwa nikiufuatilia na nimeona una nia dhabiti na umeenda physically kiwandani na Ukaenda Kondoa pia, Big up!!! Nilichogundua watu wengi hasa wanaume hap JF ni lele mama wanapenda kutafuniwa hadi kumezeshwa imagine mchongo wameshapewa wanaingia kwenye simu zao na kuomba simu, hawa ndio hufuga na kulima kwa simu wakiwa kitandani (watoto wa mama, vijana walaini na nyororo, vijana wa kushinda mlimani city).

Njoo inbox tupange namna ya kushirikiana.
 
Nimeenda mpk huko vijijini kabisa...kufatilia hii kitu!
Minada inafanyika daily wewe tu pesa yako kununua na kujua wataka was Aina gani ili usipigwe bei..
Napenda kusema hivi kama mtumishi wa Umma yakupasa ufanye wikiendi tu la sivyo itakugharimu maana kuna kulala huko huko km mzigo haujatosha na ni vzr pia ufanye mwenyewe Ili kuepusha lawama au muandikishane
Kaka ameelezea kila kitu na kwa uwazi kabisa hajaficha kitu!
Ila Nilichopenda Kondoa warangi watu wazuri sana hongera zao!
Hili la watumishi ni kweli toka Mkuu Jebel alivyoanza kuelezea huu mchongo niliona kabisa mtumishi ukifanya hii ni lazima kazini ulege lege au kwenye business ulege lege. Hivyo nilikata shauri kuifanya lakini na partiner ambaye hajaajiriwa. Pia naona kama mtu upo serious ba uwezo upo ni vyema kuestablish eneo na kuanza kufuga kwa wingi.
 
Kama tungekuwa na WaTanzania 80% wanaowaza kama wewe tungekuwa mbali sana. Wazo lako ni very mature na very commercial. Mwenyewe hii ni fursa ambayo nimefanya japo nilivyotoka nchini nimeistisha kidogo. Ukijenga banda na ukawa unaenda mnadani unanunua vimbuzi vya size ya kati kwa bei ya 30elfu hadi chini ya hiyo, kisha ukavilisha na kuviboost kwa mda wa miezi michache sana tuseme miezi 3/4, nakwambia unapiga faida bila hata kupeleka kiwandani. Unauza kwa wanaopeleka kiwandani au wachinjaji wa kawaida na unapiga bonge la faida. Utanicheki inbox kama una interest ya hili wazo ili nikupe ufafanuzi zaidi namna ya kuwalisha na kuwaboost mbuzi au mifugo yoyote na kuwauza kwa faida ndani ya mda mfupi tu.

Kaka dunia ya sasa ni practical, inahitaji watu wanaofikiria sana (instrumental rationalists) na wanaofanya vitu halisia siyo hao wanaokuja na stori za mtaji wa 6M unapata faida ya 6M....stupidity.

Kwa jinsi navyokutazama wewe mafanikio yapo mbele yako, Mungu akuongoze tu.
Upo sahihi Mkuu, nitakuwa ninakucheck. Ngoja nianze na utafiti. Leo ninaelekea Kibaha.
 
Back
Top Bottom